Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

Pope ndio kiongozi mkuu wa freemason
Papa majuzi hapa kavaa msalaba wenye ribbon colors....

Mambo ya Walawi 20:13
Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.
 
Unachosema kwa Iman yako ni sawa
Lakn Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa nawala hafanan na kitu chochote.
Imani Yako ni Ipi.

Imetafsiri nn kuhusu "Messiah"?

Ktk maisha ya Ibrahim, Mungu amewahi kuja kwake amevaa mwili wa mtu 2times,

Alikuja kama Mfalme wa Salem, na aliitwa "Melkizedek" na alikuwa KUHANI pia, na Ibrahim alimtolea sadaka.

Mungu pia alikuja ktk mwonekano ya mwanadamu ukisoma aliposhuka kwenda kuichoma Sodoma na Gomora,walionekana watu watatu.

Mmoja kati Yao alikuwa Mungu mwenyewe na wawili walikuwa Malaika zake.

BIBLIA pia imeandika juu ya shetani kabisa kuja duniani na akawa mfalme wa TIRO, alikuwa mtu kabisa.

ROHO inaweza kuvaa umbo lolote, Pepo anaweza kuonekana kama mnyama, au kitu Cha thamani nk nk.

Mungu ni ROHO, mwili haiwezi mwona Mungu ktk macho ya MWILI Bali ktk ROHO.

Ndomana YESU alisema aliyeniona Mimi, amemwona Mungu sababu alikuja ktk umbo la mtu.

Kwa AKILI za mwanadamu huwezi kumjua Mungu, labda apende kujifunua.

Unasema Mungu haonekani, Adam na EVE Bustani ya EDEN walimwona na kuongea naye live.

Hata sasa, Mungu Tunaongelea naye na kumwona ktk Roho, inategemea ameamua kujifunua au kuonekana ktk form ipi.
 
Kwanini kwenu RC ni adui zaidi kuliko hata yule adui tuliyeambiwa tupambane nae??
Swali zuri na kwakua nakuona ni Great Thinker aliyo yafanya RC wakati wa Dark Age nafkiri unayafahamu, na atayarudia tena, (That's according to book of revelation) time will tell hapa, Hatuna shida na RC ila wanatimiza yale tusiyo yataka from Anti-Christ himself, like
1-Change the Law
2-Kuforce wengine kufanya anachokifanya. (refer to dark age na ufunuo 13)
 
Watu ambao sio wakatoliki hudhani hizi picha zimechorwa kutokana na mtu anavyohisi.Picha hizi zimechorwa kulingana na watawa/watumishi wa Mungu ambao waliweza kutokewa na Yesu au Bikira Maria.Mfano picha au sanamu za Bikira Maria zinazoonyesha kavaa nguo ndefu na mshipi wa blue na maua ya dhahabu miguuni yametoka kwa mt/mtawa Bernadette wa Lourdes.Kwa atakaye weza kusoma historia ya sister huyu ataweza kuelewa.
 
Watu ambao sio wakatoliki hudhani hizi picha zimechorwa kutokana na mtu anavyohisi.Picha hizi zimechorwa kulingana na watawa/watumishi wa Mungu ambao waliweza kutokewa na Yesu au Bikira Maria.Mfano picha au sanamu za Bikira Maria zinazoonyesha kavaa nguo ndefu na mshipi wa blue na maua ya dhahabu miguuni yametoka kwa mt/mtawa Bernadette wa Lourdes.Kwa atakaye weza kusoma historia ya sister huyu ataweza kuelewa.
Hapa ndo umeongea sijui ma nini sasa, hivi unaweza kutetea ulicho andika hapa kweli
 
Hapa ndo umeongea sijui ma nini sasa, hivi unaweza kutetea ulicho andika hapa kweli
Siwezi kutetea kitu na sina haja ya kutetea wala kukukonvice chochote.Baki na imani yako.Baada ya kufa kila mtenda mema yeyote ataenda mbinguni awe mkristo/muislamu/msabato simama katika unachoamini.Nimetoa maelezo ili kutoa ufahamu kuhusu wasioelewa dhana ya picha za Roman Catholic zinachorwa kwa misingi ipi
 
Swali zuri na kwakua nakuona ni Great Thinker aliyo yafanya RC wakati wa Dark Age nafkiri unayafahamu, na atayarudia tena, (That's according to book of revelation) time will tell hapa, Hatuna shida na RC ila wanatimiza yale tusiyo yataka from Anti-Christ himself, like
1-Change the Law
2-Kuforce wengine kufanya anachokifanya. (refer to dark age na ufunuo 13)
Nayafahamu yaliyotokea, lakini una hakika gani kwamba watayarudia tena???
 
Imani Yako ni Ipi.

Imetafsiri nn kuhusu "Messiah"?

Ktk maisha ya Ibrahim, Mungu amewahi kuja kwake amevaa mwili wa mtu 2times,

Alikuja kama Mfalme wa Salem, na aliitwa "Melkizedek" na alikuwa KUHANI pia, na Ibrahim alimtolea sadaka.

Mungu pia alikuja ktk mwonekano ya mwanadamu ukisoma aliposhuka kwenda kuichoma Sodoma na Gomora,walionekana watu watatu.

Mmoja kati Yao alikuwa Mungu mwenyewe na wawili walikuwa Malaika zake.

BIBLIA pia imeandika juu ya shetani kabisa kuja duniani na akawa mfalme wa TIRO, alikuwa mtu kabisa.

ROHO inaweza kuvaa umbo lolote, Pepo anaweza kuonekana kama mnyama, au kitu Cha thamani nk nk.

Mungu ni ROHO, mwili haiwezi mwona Mungu ktk macho ya MWILI Bali ktk ROHO.

Ndomana YESU alisema aliyeniona Mimi, amemwona Mungu sababu alikuja ktk umbo la mtu.

Kwa AKILI za mwanadamu huwezi kumjua Mungu, labda apende kujifunua.

Unasema Mungu haonekani, Adam na EVE Bustani ya EDEN walimwona na kuongea naye live.

Hata sasa, Mungu Tunaongelea naye na kumwona ktk Roho, inategemea ameamua kujifunua au kuonekana ktk form ipi.
Siku hizi tunauona mkono wa bwana (MUNGU)

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Nayafahamu yaliyotokea, lakini una hakika gani kwamba watayarudia tena???
Kitabu cha ufunuo kimesema kila kitu jisomee tu mwenyewe, mnyama aliekua na jeraha la mauti finally lilipona na kuendelea na mambo yake.
hii hapa reference.
Ufunuo wa Yohana 13 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹² Naye atumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake. Naye aifanya dunia na wote wakaao ndani yake wamsujudie mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.
¹³ Naye afanya ishara kubwa, hata kufanya moto kushuka kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu.
¹⁴ Naye awakosesha wale wakaao juu ya nchi, kwa ishara zile alizopewa kuzifanya mbele ya huyo mnyama, akiwaambia wakaao juu ya nchi kumfanyia sanamu yule mnyama, aliyekuwa na jeraha la upanga naye akaishi.
¹⁵ Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe.
 
Kitabu cha ufunuo kimesema kila kitu jisomee tu mwenyewe, mnyama aliekua na jeraha la mauti finally lilipona na kuendelea na mambo yake.
hii hapa reference.
Ufunuo wa Yohana 13 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹² Naye atumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake. Naye aifanya dunia na wote wakaao ndani yake wamsujudie mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.
¹³ Naye afanya ishara kubwa, hata kufanya moto kushuka kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu.
¹⁴ Naye awakosesha wale wakaao juu ya nchi, kwa ishara zile alizopewa kuzifanya mbele ya huyo mnyama, akiwaambia wakaao juu ya nchi kumfanyia sanamu yule mnyama, aliyekuwa na jeraha la upanga naye akaishi.
¹⁵ Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe.
Mnyama ni nani?
 
Swali zuri na kwakua nakuona ni Great Thinker aliyo yafanya RC wakati wa Dark Age nafkiri unayafahamu, na atayarudia tena, (That's according to book of revelation) time will tell hapa, Hatuna shida na RC ila wanatimiza yale tusiyo yataka from Anti-Christ himself, like
1-Change the Law
2-Kuforce wengine kufanya anachokifanya. (refer to dark age na ufunuo 13)
So Catholics are actually devil's and devil worshipers??
 
Imani Yako ni Ipi.

Imetafsiri nn kuhusu "Messiah"?

Ktk maisha ya Ibrahim, Mungu amewahi kuja kwake amevaa mwili wa mtu 2times,

Alikuja kama Mfalme wa Salem, na aliitwa "Melkizedek" na alikuwa KUHANI pia, na Ibrahim alimtolea sadaka.

Mungu pia alikuja ktk mwonekano ya mwanadamu ukisoma aliposhuka kwenda kuichoma Sodoma na Gomora,walionekana watu watatu.

Mmoja kati Yao alikuwa Mungu mwenyewe na wawili walikuwa Malaika zake.

BIBLIA pia imeandika juu ya shetani kabisa kuja duniani na akawa mfalme wa TIRO, alikuwa mtu kabisa.

ROHO inaweza kuvaa umbo lolote, Pepo anaweza kuonekana kama mnyama, au kitu Cha thamani nk nk.

Mungu ni ROHO, mwili haiwezi mwona Mungu ktk macho ya MWILI Bali ktk ROHO.

Ndomana YESU alisema aliyeniona Mimi, amemwona Mungu sababu alikuja ktk umbo la mtu.

Kwa AKILI za mwanadamu huwezi kumjua Mungu, labda apende kujifunua.

Unasema Mungu haonekani, Adam na EVE Bustani ya EDEN walimwona na kuongea naye live.

Hata sasa, Mungu Tunaongelea naye na kumwona ktk Roho, inategemea ameamua kujifunua au kuonekana ktk form ipi.
Utaamini vipi Mungu halafu utatu mtakatifu usiuamini?? Hizi si kufuru?? So huamini roho mtakatifu kumshukia Yesu alipobatizwa?? Na kushukia wanafunzi wakati wa kupaa kwake??
 
Utaamini vipi Mungu halafu utatu mtakatifu usiuamini?? Hizi si kufuru?? So huamini roho mtakatifu kumshukia Yesu alipobatizwa?? Na kushukia wanafunzi wakati wa kupaa kwake??
Naamini Mungu, Roho mtakatifu ambaye ni Roho wa Yesu Yupo bt siamini Ktk kumgawa Mungu Ktk nafsi tatu.

Mungu ni MMOJA ana nafsi Moja. Alipokuja Ktk mwili Bado Alikuwa Mungu yule yule Ktk mwili, na anapoact Ktk mwonekano wa Roho mtakatifu, ni Mungu yule yule.

Mungu ni Jina la office ya Mungu, bt Jina lake halisi tulopewa WANADAMU tumtambue, tumwamini na kumwita Anaitwa YESU KRISTO wa Nazareti.

Amen
 
Back
Top Bottom