Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga


 
Good question.

According to Hegelian Dialectic: ^thesis^ na ^antithesis^ huwa na synthesis yake ambayo ni compromise za components zake.

Therefore, Romanism + Christianity = Paganism or Catholicism
Duh.
 
Wasabato hawaamini juu ya kujazwa Roho mtakatifu na kunena Kwa lugha.

Hawaamini uwezo wa ROHO mtakatifu kuongea kupitia kinywa Cha Nabii kutabiri.

Wamempa Mungu mpaka.

Hata kufufuka Kwa Yesu hawaadhimishi, wao BADO Wana sikuukuu za vibanda za wayahudi.

Dini ya Kweli ni kuacha DHAMBI na kufuata SHERIA ya Mungu

Sheria kuu ni Upendo.

Mungu hakai tena HEKALUNI, Anaishi ndani ya moyo wa Aaminiye.

Mwili ndilo HEKALU la Mungu.

Amen
 
Kama Yesu angekuwa maarufu na anayejulikana Yuda asingewaambia hao maaskari maneno hayo.
Kuwa maarufu haina maana kwamba kila mtu anaijua sura yako. Unaweza kuwa maarufu kwa vile watu wanazijua habari zako.

Socrates na Plato na Aristotle ni maarufu? Ndiyo. Kama wangejitokeza leo, unaweza kuwatambua sura zao?

Kumbuka pia kwamba kwa mtu wa nje (Warumi, Wayunani, etc), Wayahudi walionekana kufanana wote. Ni kama vile aghalabu tunavyowaona Wachina ama Wazungu.

Kama Yesu angekuwa mashuhuri na maarufu wala asingewapa Wanafunzi wake Misheni ya kumtangaza yeye na habari zake.
Hadi Yesu anaangikwa msalabani na kufufuka, hatimaye akapaa mbinguni (33 AD), alifahamika vyema katika Uyahudi wote na maeneo mengi ya Rumi na kwingineko habari zilifika kumhusu.

Usisahau kwamba Mamajusi ama wenye hekima kutoka Mashariki walifunga safari umbali wa maili nyingi hadi Bethlehemu ili kumwona na kumwabudu akingali mdogo sana (around 2 years). Huo si umaarufu?

Waliporudi kwao unadhani walikaa kimya?


NB: Sikubaliani kabisa na dhana almost zote za Da'Vinci kuhusu mchoro wa sura ya Yesu.
 
Umejibu kishabiki sana. Jamaa aliposema kwamba wao hawaamini katika Roho Mtakatifu, ndipo nikaenda kwenye websaiti niliyoiweka hapo.

Kila kitu unachosema kwamba hawaamini, ni kinyume chake ukipitia hapo.

Kumbuka usimshuhudie jirani yako uongo. Nadhani unatumia nadharia zaidi kuliko facts.

Soma ili upate maarifa. Usidhani kwamba utaaminika zaidi kwa kutumia lugha ya mhemko na kuhitimisha kwa neno ^Amen!^
 
Ni Kweli Imani na DINI ni kama vinaendana bt Si kitu kimoja.

Mtu aliye mbali pasipo na DINI yoyote anaweza kuamini na kufanya IBADA bila dini yoyote.

Tafsiri ya Dini imebadilishwa na haitimizi mapenzi ya Mungu,

Dini ni kujali maskini na wagonjwa na kuonyeshana Upendo.

Tafsiri ya Dini sasa ni kusajili dhehebu Serikalini na kujenga majengo, maskini wanaachwa wakihangaika.

Dini zinabanwa hazikemei Serikali zisiwakandamize raia,

Dini zinaogopa kukemea viongozi Serikalini Wala RUSHWA kuogopa kufutiwa usajili.

Yohana Mbatizaji Nabii alikuwa anaishi porini na hakuwa na DINI yoyote bt alikuwa na Imani na alikuwa Nabii wa Mungu 100%

Yohana alimkemea mfalme live aache UZINZI Kwa Kumuona mke wa ndugu yake, jambo ambalo viongozi wa dini za wayahudi walilifumbia macho.

Yohana aliwakemea maaskari waziwazi wasipokee RUSHWA, bt dini za saizi huwezi kuwasikia wakikemea dhambi.

Mungu ni Mungu, Hana urafiki na dhambi hata kama zinafanywa na viongozi wa sirikali.
 
Wasabato ni wapinga kristo, Mungu hawatambui.

Mungu anakwenda kuzivuruga dini zote na kuanzisha KANISA aliloliacha kabla hajapaa kurudi Mbinguni.

Sabatow na catolica wanaokufa na kwenda kuzimu Kwa maelfu Kwa Sababu ya kuabudu ktk dini hizo.

UKWELI ni mchungu always.

Yesu aliuwawa na watu wa dini wayahudi.
 
Hakuwa maarufu Kwa ngazi ya kitaifa na kimataifa.

Zingatia huyo Yesu Route yake ilianzia wapi na kuishi wapi.
Zingatia pia hakuwa mwenyeji wa Jerusalem, ndio alikuwa amefika, hakuwa na muda mrefu wa kufahamika.
NAS Mark 6:14 ^And King Herod heard of it, for His name had become well known; and people were saying, John the Baptist has risen from the dead, and that is why these miraculous powers are at work in Him.^
 
Mtu asiye maarufu Ngazi za kitaifa habari zake zinafikaje kwa wakuu wa Nchi?
Herode alimjua Yesu ( au alisikia habari za yesu) kabla ya Yesu kupelekwa kwake?
Mtu ambaye habari zake zimefika mpaka Chemba za watawala unasemaje sio maarufu?
NAS Luke 23:8 Now Herod was very glad when he saw Jesus; for he had wanted to see Him for a long time, because he had been hearing about Him and was hoping to see some sign performed by Him.
 
Siko JF kutafuta umaarufu,

Nipo Kwa KAZI maalum from above all kingdoms and principalities.

Nionyenye thread niliyowahi andika JF ikiwa natafuta umaarufu.
 
Umeona sasa? Hapo huongelei DINI, bali unawazungumzia watu wanaoifuata dini. Ni kosa kuuchukia Ukristo eti kwa vile tu baadhi ya waumini wake wanatenda ndivyo sivyo kinyume na imani ya Ukristo. Hiyo ni akili finyu na kukosa imani.

Again, dini na imani ni misingi miwili isiyoweza kutenganishwa.

Kama ambavyo kuna dini ovu, vilevile kuna imani potofu. Pia, kuna imani sahihi katika dini ya kweli.

Mtu anayedai kwamba hana dini, ila ana imani ni mwongo; wala hajui maana ya dhana hizi mbili.
 
Nitajie dini sahihi duniani Kwa maana ya Taasisi zilizosajiliwa inayowapeleka watu wake Mbinguni direct kama utaipata hata moja.!!!
 
Uzi mzuri sana. Safi [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Nitajie dini sahihi duniani Kwa maana ya Taasisi zilizosajiliwa inayowapeleka watu wake Mbinguni direct kama utaipata hata moja.!!!
NAS Luke 23:8 Now Herod was very glad when he saw Jesus; for he had wanted to see Him for a long time, because he had been hearing about Him and was hoping to see some sign performed by Him.
Wabishi mmekutana mm natazama mpambano tu. Huku msabato huku shahidi JW sijui
 
Wabishi mmekutana mm natazama mpambano tu. Huku msabato huku shahidi JW sijui
Narudia Sina dini iliyosajiliwa na mifumo ya WANADAMU.

HEKALU ni MWILI wangu, Yesu Mungu anaishi ndani yangu.

Madhabahu ni MOYO wangu,

KANISA ni Mimi mwenyewe, Kanisa Si Jengo, Bali aaminiye.

Mungu nimwaminiye ni mmoja na Jina lake ni YESU kristo wa Nazareth.

Yesu alienda kwenye Dini hizo hawakumwelewa, wakamwuua.

Dini yangu ni Ile ya YOHANA Mbatizaji. Ni kusema Kweli ya Mungu bila Kona bila kuungana makundi ya wezi chini ya mwamvuli wa dini.
 
Wapi nimesema unatafuta umaarufu? Mie nimesema umejibu ^kishabiki.^ Maana yake ni kwamba huzingatii facts, bali hisia ya mambo ambayo kimsingi hayapo.

Mimi nimekuwekea facts za websaiti, ila ungali ukibishi. Hiyo inaitwaje kama siyo ushabiki, mhemko na kushuhudia uongo? Pole sana. Huenda hata hujui unachoandika katika hiyo ^kazi yako maalum from above.^

 
Nitajie dini sahihi duniani Kwa maana ya Taasisi zilizosajiliwa inayowapeleka watu wake Mbinguni direct kama utaipata hata moja.!!!
FYI: Hakuna mahali popote kwenye Maandiko ambapo hufundisha kwamba dini ama imani huwapeleka ^watu mbinguni direct.^

Badala yake Biblia imetuagiza kuwafundisha wote kuyashika yaliyomo, kuwafanya watu wawe wanafunzi.

Ndipo hatimaye, ^sote tutabadilika, kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu.^ 1 Corinthians 15:51-53
 
Siko kubishana nawe,

Umeshindwa kunitajia Dini sahihi iliyosajiliwa kimfumo ambayo mtu akiabudu humo, anapata ticket ya Mbinguni.

Narudia, Mashahidi wa Y... , Sabatotiw, catholiano , Anglicobe, Lutari, Islamee nk nk ni Dini za wapinga kristo.

Waumini wa dini hizo wanaenda kuzimu Kwa maelfu daily wanapofariki.

Mungu YESU, atavumisha upepo soon na kuzivuruga dini hizo zote Ili alirudishe KANISA lile aliloliacha kabla hajapaa Mbinguni.

Amen.
 
Yohana 8:58 ^Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, Mimi Niko.^

Also:
Kutoka 3:14
Mkuu elewa kiswahili,

Yesu amesema mimi ndie Mungu niabudini mimi tu,

Staki kujua kasema mimi nipo kabla ya ibrahimu na pia akisema hivyo bado andiko ni finyu kama maandiko mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…