Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

Yesu hakuwa na nywele ndefu kwa mujibu wa maandiko ilikuwa haifai kwa waebrania wa kiume kuwa na nywele ndefu.
 
Yesu hakuwa na nywele ndefu kwa mujibu wa maandiko ilikuwa haifai kwa waebrania wa kiume kuwa na nywele ndefu.
Mkuu wewe ni Shahidi wa Jehovah kiimani kama sijakosea. Hua hamuamini kama Yesu alitundikwa msalabani katika mti uliokaa kama jumlisha ➕ bali mti mmoja mnyoofu. So sishangai wewe kuona unasema Yesu alikua na nywele fupi.
 
With no offense, ulichokiandika hapa ni logical fallacy, not all well intuitive scientist , physicist, mathematician and astronomers wa mataifa ya ulaya i.e Germany, walikua influenced na Kazi ya bwana ibin al-haytham.

Of course he wrote a revolutionary book and we physicist are grateful for that, but science is contribution of many daring minds who devotedly ventured their minds into new horizons.
Usiandikie ushabiki ,
Also you've failed to instill the intent of Da'Vinci, he was trying to make a point that there has been a lot of artists who drew pictures into realistic Sense.
 
Kila imani ina wapuuzi kama hawa, huipokea imani kwa msisimko bila elimu sahihi.
Waliaibisha sana hao wakora
Ukisoma vitabu vya HGW utashangaa sana, kwao Shetani ni bora kuliko Catholic. Wamejifanyizia siku ya Ijumamosi kua sanamu yao wanayoiabudu.
Yesu hakuwa mnyonge, huduma yake aliiendesha kama taasisi.
Wale mitume 12 walikuwa ni watu wenye ujuzi kila mtu.

Hadi akawa na mtunza pesa, hivyo hakuwa hahe hohe kabisa.
Na hao ni 12 tu bado wengine wengi ambao hawakua officially ila wameshiriki kiasi kikubwa pamoja nae na wote walikua na Status tofauti tofauti. Huwezi kumtumikia Mungu ukawa maskini...Never.
Mavazi na Chakula utakipata kwa kondoo uchungao...ndio maana Wachungaji hua wamependeza hata kama kwake ana hali ngumu
 
Yesu ni zaidi ya chakula...
 
Rest in Heaven my scientist
Leornardo da Vinci
Huyu hana wa kumfananisha nae hii dunia alikuwa mwamba kweli kweli
Leonardo da Vinci hakua mwanasayansi bali Polymath kwamba hakuwa kwenye sayansj tu bali kila engo unayoifahamu yeye alikua anafit perfect. Kubwa zaidi alituachia vumbuzi ya ndege na Vifaru. Kumuita Vinci kua ni Scientist ni kumshushia heshima
 
Kutundikwa msalabani ni adhabu iliyotumiwa na Warumi kuadhibu wahalifu. Haikufanywa kwa Yesu pekee au Israel pekee bali kila eneo ambalo dola ya Rumi ilikua ipo. So unataka kusema Warumi walikua rafurafu???
 
Kisai, long time no see you. I hope you are doing just fine 🙏

Picha zao ni kweli hazikuwepo ila Portraits zao zilikuwepo. Watu walitumia michoro kuhifadhi kumbukumbu
 
Pyramid hata wamaya wa Mexico walizijenga na hawakua weusi. Kasome Aztec
 
Kutundikwa msalabani ni adhabu iliyotumiwa na Warumi kuadhibu wahalifu. Haikufanywa kwa Yesu pekee au Israel pekee bali kila eneo ambalo dola ya Rumi ilikua ipo. So unataka kusema Warumi walikua rafurafu???
Tutakubaliana kuwa adhabu zilitofautiana, mfano waliotuhumiwa kutaka kufanya uasi hadi wahalifu wa mitaani na Yesu alihukumiwa kwa msingi wa sheria ya watu wake.

Kisa cha mashtaka hadi hukumu ya Yesu hakina tofauti sana na kisa cha mashtaka hadi hukumu ya Sadam Husein, kwa Yesu Mrumi alikuwepo kuangalia tu sawa na Mmarekani kwa Sadam alikuwa anaangalia tu.
 
Umeanza vizuri sana ila ulipoanza kusema Azazel ndio Zeus na ndio Yesu nikaona umeandika fallacies. So sio tena Rockefeller wanaongoza dunia ni Warumi
 
Naona kama wewe ni mdini sana kama FaizaFoxy
 
Mheshimiwa
Kwanza fahamu kwamba ulichoweka hapa ni concpiracy tu hakuna uhalisia wowote kuhusu taswira ya Yesu. Hata ile shroud of Turin ni super hoax kwa sababu hakuna aliyechukua ile sanda na kuifanyia lolote. Mojawapo ya washuhudiaji wa sanda ya Turin wanasema kuwa ilitunzwa haikuharibika na kadhalika.

Ushuhuda pekee wenye nguvu kuwa Yesu alikuja na kuishi kwetu na hata kufa kwa ajili yetu ni kupitia Neno hai la Mungu na Kazi alizozifanya na anazoendelea kufanya kati yetu.
Roman Catholic ni Universal church lililobuniwa na kuandaliwa na dola la Rumi ndiyo maana Kanisa Katoliki linaongoza katika historia ya mauaji ya watu waliosimama kutetea na kuhubiri Injili ya kweli.
Tusimulie historia bila kuupotosha ukweli wa Injili kwa sababu hao unaosema ndiyo makao makuu ya Ukristo ni watumishi ambao Mungu hawakuwatuma kuleta makao makuu ya Ukristo duniani bali makao yetu makuu ni Mbinguni kwa Baba.
 
Ofcourse nime-Assume, lakini cha kuangalia ni kwamba je Assumptions zangu zina make sense au nimeandika matapu tapu
Haijalishi kama ni mataputapu, au zinamake sense. Bado zitabaki tu kua theory, not FACTS!

Kiufupi, haujathibitisha beyond reasonable doubts kwamba huo ndio muonekano wa Yesu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…