Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

Sio kwamba wale waliochoma mkiwaona wanapeta ndio mnashindwa kujielewa na ujinga wenu mliokuwa mnasambaza kwamba watakufa muda sio mrefu
Hakuna kitu kama hiko, maana waliowaziwa kufa ni ambao hawajachoma

Wakaambiwa mtapotea kama ndege, tena mtu mmoja kabisa akasema "I see dead bodies all over Africa "haya kiko wapi sasa?😂
 
Alafu unashangaa hivyo unavyoongea kuna watu watakuamini
 
Ni mapema mno kutoa matokeo ya hiyo chanjo yako ya kukuhasi uliyodungwa
 
Mungu pekee atosha na ndio chanjo kubwa kuliko zote .............tuliosema mungu pekee atosha tunadunda mpaka leo.............wale wa kumuamini binadamu mwenzako ndio tumewazika wengi sana.............sometimes tuamini kwa mungu tu hayo mengine nyongeza
 
Hii mada mpelekee gwajiboy pale ufufuo na uzima atakua na majibu mujarabu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwanzoni watu waliamini ukimwi ni pigo la Mungu, sasa watu wengi wamefunguka na kujua ni pigo la binadamu. Virusi vilitengenezwa maabara. Covid19 nayo ni biashara, ni kama mtu unapoamua kuuwa ili ufanikiwe.
 
Impact yake inachukuwa muda DNA yako, kizazi chako utazaa lakini watoto watakuwa na afya na akili mgogolo. Chanjo wamepiga marufuku nchi nyingi za Ulaya. Wewe endelea kujipa matumaini tu.
 
Nyinyi mkubali tu mliingizwa mkenge na Mabeberu! Mbona sisi wengine hatujachomwa hayo masindano, na bado tunadunda tu!
 
Ooooooh I'm alive,,tunashukuru ulituwakilisha na sie
 
Ukweli wa COVID vaccine - watu wameumia sana na wanaendelea kufa na kupata vilema vya maisha. Sikiliza wabobezi wa haya mambo dunia nzima inatetemeka, watu wako katika hali mbaya. Kama ulichoma ni muda tu bado immunity zako ziko strong lakini zitachoka tu utaanza kupata maradhi aina mbalimbali.


View: https://youtu.be/GqRh911Q1Hs?si=Q4zJHSOYHiegCh59
 
Kuvuka barabara huku umefunga macho na ukafika salama si jambo la ajabu, ila ni ajabu endapo utajisifu na kujitolea mfano kwa hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…