Kuchelewa prep ya asubuhi ndo kosa la kupigisha mtu pushups kwenye kokoto na fimbo kama zotealikuwaje huyo isije ikawa wewe ndo ulikuwa na shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuchelewa prep ya asubuhi ndo kosa la kupigisha mtu pushups kwenye kokoto na fimbo kama zotealikuwaje huyo isije ikawa wewe ndo ulikuwa na shida
Mimi sijawahi kuuelewa ule wimboThe glorious 💪
Inferiority tuu hamna ukweli wowote kwasababu shule za tech wanafunzi wake wanajipambania kama shule za kata tu,special treatment ni kwamba wanasoma masomo ya ziada ya ufundi na pia hawalipi mchango wowote.Unakutana na mtu katoka tech anakuletea swali mpka unajiuliza mara mbili mbili huyu jamaa yupo serious na shule ila unaambiwa darasa la saba alipiga marks kibao kwenda pale.
Mnakumbwaga na nini vipanga wetu wa darasa la saba
Naliona bweni langu la Jamhuri pale. Niliishi Cell D. Huo uwanja wa basketball upo karibu na town way pale Kwa Mbunge Kanjibai njia ya kuelekea Coast.View attachment 2645253Mtwara Technical Secondary school
sawa JK una ushauri mwingine ?Sasa shule inaitwa Technical alafu theory ni 100% si ujinga huu
hongera nahisi utakua the best sababu ya Technical drawing kuijua toka mdogo hivyo kuwatia vibao jamaa wa special na Private huko chuo (Engineering school)Naliona bweni langu la Jamhuri pale. Niliishi Cell D. Huo uwanja wa basketball upo karibu na town way pale Kwa Mbunge Kanjibai njia ya kuelekea Coast.
Miaka hiyo ilikuwa usafiri wa uhakika kwenda Mtwara ni meli tu. Barabara haikupitika kirahisi.
Mwalimu Mnelamwana alishawahi kunipa adhabu ya kung'oa visiki kule forest kama unaenda chuo Cha ualimu ufundi. Alifanya kurusha jiwe na kusema mwisho wa adhabu yako ni pale na ukimaliza adhabu uje kuripoti. Sikwenda kuripoti maana ilikuwa ni mtego wake kwani ukienda kuripoti huwa anakuja kukagua na kurusha Tena jiwe huku akisema mwisho wa adhabu yako sio hapa bali ni pale (anarusha jiwe upya).
All in all, hapa nilijifunza discipline kwenye maisha. Kwa sasa Mimi ni Civil Engineer.
Huo ni uwongo,mfano mzuri ingia ifunda tech pale uone madogo wanavopiga kazi kwa vitendoSasa shule inaitwa Technical alafu theory ni 100% si ujinga huu
Muongo,labda shule aliyosoma yeyeMtoa mada kasema "Ufundi mnasomea darasani tu hakuna vitendo"
Baada ya hapa nilipita MTC (Kwa sasa ni MUST)pale Ikuti, Mbeya. Somo la mchoro alikunksumbua hadi Bachelor.hongera nahisi utakua the best sababu ya Technical drawing kuijua toka mdogo hivyo kuwatia vibao jamaa wa special na Private huko chuo (Engineering school)
Kwahy mnaanza kupingana wenyew kwa wenyeweMuongo,labda shule aliyosoma yeye
sahihi mwalimu yule alikuwa anajitahidi hata mwalimu mmoja alikuwa anaitwaga Mwakosya (amestaafu) alikua anawapigisha kazi ye ni CarpenterMnatumia vitabu vimetungwa enzi za mjerumani kina mambo mengi balaa.
mashine ticha kaificha tu inapigwa na vumbi tu ofisini, hamtumii.
Kuna ticha anaitwa mwakasege pale iyunga wa welding, yule wanafunzi wake alikuwa anawafundisha mpaka practical. Naamini wale jamaa wakitoka pale wanaweza kujiajili.
si tulisoma miaka ya nyuma mkuuShule hizi zngetumika kuaandaa Technicians na sio kugawa vyeti tuu vy certificate
kweli kabisa kakaHuo ni uwongo,mfano mzuri ingia ifunda tech pale uone madogo wanavopiga kazi kwa vitendo
Elewa mada babu,kila mtu kaambiwa alete changamoto ya hizi shule,sasa mtoa mada kapiga iyunga tech labda ndo walikuwa wanapiga theory tuuu ila sie ifunda tech class ya civil engeneering tuligusa tope kwahiyo sio shule zote wanapiga theory tuuKwahy mnaanza kupingana wenyew kwa wenyewe
hadi Masters au PHDBaada ya hapa nilipita MTC (Kwa sasa ni MUST)pale Ikuti, Mbeya. Somo la mchoro alikunksumbua hadi Bachelor.
Yaani Ile elimu ya Mrusi (FTC) ilikuwa kisanga kweli. Ukitoboa wewe ni mtu na nusu.
Siku hizi shule imekuwa nyepesi sana. Ni rahisi kutoboa kuanzia Diploma Hadi Bachelor.
Atleast huyu alikua anajua nn anafanyasahihi mwalimu yule alikuwa anajitahidi hata mwalimu mmoja alikuwa anaitwaga Mwakosya (amestaafu) alikua anawapigisha kazi ye ni Carpenter