MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Me nimesoma naelewa kuna mwalimu mmoja huyo nilishasema popote tutakapokutana lazima zipigwe alikuwa mnoko sana kosa dogo mzazi.[emoji23][emoji23][emoji23]Cheki mende hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me nimesoma naelewa kuna mwalimu mmoja huyo nilishasema popote tutakapokutana lazima zipigwe alikuwa mnoko sana kosa dogo mzazi.[emoji23][emoji23][emoji23]Cheki mende hii
Tech wale TOP vipanga wao wanakuwaga wa moto sana advance ,ila hawa wanaotoka na Div 1.15 hawa huwa ni wa kawaida sana huku mbeleBongo ukiwa umenyooka hutaki konakona unaitwa mnoko after all hizi tech schools naona zilikuwa zamani sahvi hamna kitu hawa vijana wa tech nilikiwa nawaona vipanga ila advance weupe sana tu watoto wa kata tumejipigia tu.
Mkuu mkongwe sie mchikichini tulikuta pindi 300 mpka namalza form pindi likawa 400 badae si tuko advance tunalipa kwa topic pindi likawa jeroo....Kiukweli changamoto zipo nyingi sana katika shule za umma.
Changamoto hizo zinajumuisha Kwa uchache, ukosefu wa walimu, vifaa vya kujifinzia na kufundishia, Hali duni ya malazi Kwa wanafunzi wa bweni, shida za kibajeti n.k.
Lakini pamoja na changamoto hizo, tulijaribu kutafuta utatuzi. Mfano, sisi tuliokuwa tunatoka kwetu kupitia Dar, tuliweka kambi Kwa ndugu na jamaa Dar Ili kuendelea na tuition pale maeneo ya Mchikichini na Shule ya Uhuru Mchanganyiko.
Na hapa niwashukuru sana watu kama kina Mbuga, Hidden Agenda na wengineo ambayo walituwezesha kusoma tuition zao Kwa malipo ya Tsh. 200 Kwa kipindi. Walitusaidia sana.
Na baada ya kutudi shule, hatukuwa wachoyo. Tulijaribu kuwafundisha wenzetu ambayo hawana access na walimu hawa wa tuition Kwa sababu hawakuweza kwenda Dar wakati wa likizo. Tulisaidiana kupitia group discussions na wakati wa usiku wengine tulishika chaki ubaoni kama walimu. Waliosoma Mtwara Tech ni mashahidi.
Naamini kuwa Mwalimu hawezi kutoa 100% Ili mwanafunzi afaulu. Ni lazima mwanafunzi mwenyewe ajitafutie kama kuku au mbwa.
Pia tulikutana na changamoto za kukaa Kwa ndugu wakati wa likizo pale Dar. Tulikomaa na mihogo na viazi vya kukaanga pale Mchikichini mpaka jioni unaenda kulala ubavu Kwa masimango lakini asubuhi ukiamka unarudi tena kupambana tuition. Ila Leo tumetoboa na tumepiga hatua Kwa uvumilivu.
Hivyo basi, ni lazima mwanafunzi ajengewe spirit ya kujitafutia wakati yupo kwenye mbio za kushinda vita ya ufaulu.
Eeeh kuna chuma kimoja kilitoka tanga tech aisee yule mtu alifanya sifa pale kibaha.Tech wale TOP vipanga wao wanakuwaga wa moto sana advance ,ila hawa wanaotoka na Div 1.15 hawa huwa ni wa kawaida sana huku mbele
Naam ,ile Top cream ya Tech school ile huwa inachoma kama pasi,ila hawa wanaotoka na Div One za kawaida ,ndo watoto wa kata wanajipigia Advance VilivyoEeeh kuna chuma kimoja kilitoka tanga tech aisee yule mtu alifanya sifa pale kibaha.
Nakupata mkuuu,nilikuwa seuta moja hiyo.Mm nilikuwa bweni la mirambo K4 unapajua lyandembela??
hongera bila shaka anasoma na Yohana Kawonga muulizie ni binti yangu pia nimemtrain msingiNimeipenda hii naweza kuja pm maana nina binti yupo huko mtwara tech form 1
Sent using Jamii Forums mobile app
we acha tu kaka Eng inanoga sana hasa ukiweza kusolve hesabu zake basi unajitundikia A afu Physics unaitandika vibaya sanaPartical ya Moshi Technical nipo hapa from KARUME 33.
Moto " KUTII, KUWAJIBUKA NA KUZIBUNI MBINU ZA KAZI"
Nimesoma Plumbing (CIVIL).
Engineering science ilinifanya niione Mechanics ya Advance ni nyepesi sana wakati wenzangu wanalia.
Tech wale TOP vipanga wao wanakuwaga wa moto sana advance ,ila hawa wanaotoka na Div 1.15 hawa huwa ni wa kawaida sana huku mbele
anaitwa nani nimeweke kwenye threadEeeh kuna chuma kimoja kilitoka tanga tech aisee yule mtu alifanya sifa pale kibaha.
Hapa ndio nilisomea,, I felt proud to be there and I'm still proud to pass through that bridgeMusoma Technical secondary School
View attachment 2645450
mambo si ndo hayo kumbe tupo wengi tuHapa ndio nilisomea,, I felt proud to be there and I'm still proud to pass through that bridge
Naww ulikuwa pale mkuu?mambo si ndo hayo kumbe tupo wengi tu
no Iyunga Tech but tulikuwa sawa kwa kila kitu na Tech nyingineNaww ulikuwa pale mkuu?
Mwalimu Mpwayungu Village utakuwa umekula sana stick za Man to man wewe.Mm nilikuwa bweni la mirambo K4 unapajua lyandembela??
Naww ulikuwa pale mkuu?mambo si ndo hayo kumbe tupo wengi tu
Naww ulikuwa pale mkuu?