Waliosoma shule za Ufundi (Technical schools) Tukutane hapa

Waliosoma shule za Ufundi (Technical schools) Tukutane hapa

Bongo ukiwa umenyooka hutaki konakona unaitwa mnoko after all hizi tech schools naona zilikuwa zamani sahvi hamna kitu hawa vijana wa tech nilikiwa nawaona vipanga ila advance weupe sana tu watoto wa kata tumejipigia tu.
Tech wale TOP vipanga wao wanakuwaga wa moto sana advance ,ila hawa wanaotoka na Div 1.15 hawa huwa ni wa kawaida sana huku mbele
 
Kiukweli changamoto zipo nyingi sana katika shule za umma.

Changamoto hizo zinajumuisha Kwa uchache, ukosefu wa walimu, vifaa vya kujifinzia na kufundishia, Hali duni ya malazi Kwa wanafunzi wa bweni, shida za kibajeti n.k.

Lakini pamoja na changamoto hizo, tulijaribu kutafuta utatuzi. Mfano, sisi tuliokuwa tunatoka kwetu kupitia Dar, tuliweka kambi Kwa ndugu na jamaa Dar Ili kuendelea na tuition pale maeneo ya Mchikichini na Shule ya Uhuru Mchanganyiko.

Na hapa niwashukuru sana watu kama kina Mbuga, Hidden Agenda na wengineo ambayo walituwezesha kusoma tuition zao Kwa malipo ya Tsh. 200 Kwa kipindi. Walitusaidia sana.

Na baada ya kutudi shule, hatukuwa wachoyo. Tulijaribu kuwafundisha wenzetu ambayo hawana access na walimu hawa wa tuition Kwa sababu hawakuweza kwenda Dar wakati wa likizo. Tulisaidiana kupitia group discussions na wakati wa usiku wengine tulishika chaki ubaoni kama walimu. Waliosoma Mtwara Tech ni mashahidi.

Naamini kuwa Mwalimu hawezi kutoa 100% Ili mwanafunzi afaulu. Ni lazima mwanafunzi mwenyewe ajitafutie kama kuku au mbwa.

Pia tulikutana na changamoto za kukaa Kwa ndugu wakati wa likizo pale Dar. Tulikomaa na mihogo na viazi vya kukaanga pale Mchikichini mpaka jioni unaenda kulala ubavu Kwa masimango lakini asubuhi ukiamka unarudi tena kupambana tuition. Ila Leo tumetoboa na tumepiga hatua Kwa uvumilivu.

Hivyo basi, ni lazima mwanafunzi ajengewe spirit ya kujitafutia wakati yupo kwenye mbio za kushinda vita ya ufaulu.
Mkuu mkongwe sie mchikichini tulikuta pindi 300 mpka namalza form pindi likawa 400 badae si tuko advance tunalipa kwa topic pindi likawa jeroo....

Mbuga Mungu amuweke yule mjamaa ana roho safi sana
 
Partical ya Moshi Technical nipo hapa from KARUME 33.

Moto " KUTII, KUWAJIBUKA NA KUZIBUNI MBINU ZA KAZI"

Nimesoma Plumbing (CIVIL).
Engineering science ilinifanya niione Mechanics ya Advance ni nyepesi sana wakati wenzangu wanalia.
we acha tu kaka Eng inanoga sana hasa ukiweza kusolve hesabu zake basi unajitundikia A afu Physics unaitandika vibaya sana
 
cha ajabu wanakuja kusumbua sana kwenye vyuo vya Engineering
Tech wale TOP vipanga wao wanakuwaga wa moto sana advance ,ila hawa wanaotoka na Div 1.15 hawa huwa ni wa kawaida sana huku mbele
 
Moshi Technical Secondary school
P301212_12.55_[01].jpg
 
Nilikipiga Ifunda tech wakati huo, majengo yalikuwa hayana nuru kabisa kimuonekano japo yapo very strong.

Tulipiga sana prac kwenye somo la Plumbing tukiwa na Mwl Milinga(Mungu ambariki sana huyu mwalimu popote alipo)

Somo nililokuwa nikienjoy sana ni architectural draughting, nilikuwa naipiga sana michoro aisee.

Mitihani ya trade test ilikuwepo ila sjui kwa nini sikuipiga aise. Block A ilinihusu wakati ule.
 
Tanga Technical Secondary school
images (17).jpeg
service not self
images (18).jpeg
 
Back
Top Bottom