Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kum mmoja alitoka advance level na one point 12 ilboru kawa anajiona mwamba jamaa alikiwa kuwa kilaza wa shule na alipata 0 ACSEENaam ,ile Top cream ya Tech school ile huwa inachoma kama pasi,ila hawa wanaotoka na Div One za kawaida ,ndo watoto wa kata wanajipigia Advance Vilivyo
Nimesahau jina alitoka tanga tech na 1.8 huu mwaka shule za serikali 1.8 zilikuwa za kutafuta kwa tochi akaenda kibaha akapiga 1.4 PCB akamalizia phamarcy muhas hapo....sijui yuko wapi yule jamaaa nilimkubali sababu hakuwa na msuli kazi wa kukesha.anaitwa nani nimeweke kwenye thread
Kijana wa Mesini mla viwesendio haswa waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba
Kwa usichokujua kule Kuna workshop zenye mashine kibao kama beta vileSasa shule inaitwa Technical alafu theory ni 100% si ujinga huu
Mwakasege A.K.A kyege[emoji1]Mnatumia vitabu vimetungwa enzi za mjerumani kina mambo mengi balaa.
mashine ticha kaificha tu inapigwa na vumbi tu ofisini, hamtumii.
Kuna ticha anaitwa mwakasege pale iyunga wa welding, yule wanafunzi wake alikuwa anawafundisha mpaka practical. Naamini wale jamaa wakitoka pale wanaweza kujiajili.
Mwakosya tulimwita D.J mwalimuwa bendi[emoji1787]sahihi mwalimu yule alikuwa anajitahidi hata mwalimu mmoja alikuwa anaitwaga Mwakosya (amestaafu) alikua anawapigisha kazi ye ni Carpenter
Watu wa tech walikuwa wanapata A za bure sana kwenye ENGINEERING SCIENCE Wala sio ngumu sana kama physics mule Kuna mikaluu tuUmenikumbusha kitabu kimoja Cha Engineering Science kiliandikwa na mwamba mmoja aliitwa T.T Comb.
Yaani ukitembelea humo, ilikuwa kama unawachungulia NECTA wanavyoingia kwenye mfumo.
Mazengo ilifutwa 2005 au 2006 hiviKama Mazengo haijatajwa,huu Uzi ni batili[emoji2]
Iyunga moja hiyoKitu pekee nachojutia nilisoma shule ya ufundi halafu sikusoma ufundi[emoji1]
Joseph Mungai alaaniwe.
Mwaka tuanza form one akafuta ufundi halafu eti akaleta soma PHYSICS WITH CHEMISTRY. halina mtaala Wala silabasi.
Tulipoingia form 2 wakarudisha Yale masomo na kutenganisha phy with chem sio basi tena.
Shule tulikuwa tunataniwa wazee wa HISTORY maana technical school hawasomi history kabisa na biology na geography kwao ni option unachagua Moja unaacha lingine.
Shule nilioyosma Iko kati iwambi na nzove kwa upande wa mashariki na magharibi na kati ya Kalobe na Itigi kwa upande wa kaskazini na kusini.
Levavi Oculus.
Mashine bila kutumika ni upotevu wa rasilimaliKwa usichokujua kule Kuna workshop zenye mashine kibao kama beta vile
inaonesha ulikuwa unaikubali sana Iyunga TechKitu pekee nachojutia nilisoma shule ya ufundi halafu sikusoma ufundi[emoji1]
Joseph Mungai alaaniwe.
Mwaka tuanza form one akafuta ufundi halafu eti akaleta soma PHYSICS WITH CHEMISTRY. halina mtaala Wala silabasi.
Tulipoingia form 2 wakarudisha Yale masomo na kutenganisha phy with chem sio basi tena.
Shule tulikuwa tunataniwa wazee wa HISTORY maana technical school hawasomi history kabisa na biology na geography kwao ni option unachagua Moja unaacha lingine.
Shule nilioyosma Iko kati iwambi na nzove kwa upande wa mashariki na magharibi na kati ya Kalobe na Itigi kwa upande wa kaskazini na kusini.
Levavi Oculus.
ukiiweza tu basiWatu wa tech walikuwa wanapata A za bure sana kwenye ENGINEERING SCIENCE Wala sio ngumu sana kama physics mule Kuna mikaluu tu
nayo ni Tech ?🤣Kama Mazengo haijatajwa,huu Uzi ni batili[emoji2]
Umenikumbusha mbali sana aisee shule yangu miaka hiyo nilikuwa nakaa bweni la Chaburuma room F4.Ifunda Technical Secondary school
View attachment 2645250
Nasikia kuna mwingine aliitwa Man to Man...sijui alikua anafanya nn madentiIfunda tech moja hiyo,sema sahizi wameikarabati inavutia kinoma.
Changamoto lilikuwa liticha linaitwa mwakalago,yani ticha kama upo humu nakumind mpaka leo.Ulikuwa mnoko kichizi
Ilikuwa tech school Ilivunjwa 2005nayo ni Tech ?[emoji1787]
Sana mkuuinaonesha ulikuwa unaikubali sana Iyunga Tech