Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,250
- 3,607
- Thread starter
- #101
quality education science and technologySana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
quality education science and technologySana mkuu
ooh sawa sikuyajua hayoIlikuwa tech school Ilivunjwa 2005
Wanafunzi wote walisambazwa shule za tech zingine
Ndio mkuu, vipi unamjua man to manChaburuma na Seuta ndiyo kidogo zimekaribia Lyandembela
Mazengo Tech.. 1998-2001 sasa inaitwa St. John University.Habari za kazi wana Jf, Tunajua kuna level nne za shule (secondary/Ordinal level) hapa kwetu Tanzania
1. Special (Vipaji maalumu)
2. Technical (Ufundi)
3. Boarding (Bweni kawaida)
4. Teule (shule za halmashauri )
5. Day (kata)
wale waliosoma shule za ufundi tujadili ubora na madhaifu yaliyokukuta/ulioyaona kwenye shule hizi (Iyunga, Ifunda, Mtwara Tech, Moshi Tech, Tanga Tech, Musoma Tech na Bwiru Tech zimeongezeka mwadui na chato Tech)
changamoto
• ufundi mnasomea darasani tu hakuna vitendo
Faida
•Engineering science ili somo tamu bana ila sijawahi jua kati ya Physics na ES lipi gumu zaidi madude ya Projectile, angular motion unayapiga ukiwa three tu
• wananolewa vijana ambao wanaenda kuwa wasumbufu sana huko special Advance mfano Cloud Kitumbika pale Tabora school no 3 TO 2020, Edward Lowassa aliwasumbua sana Ilboru na kuwa top ten kitaifa miaka ya 2020
•wanazalishwa maEngineer waliopure sana wakipita Tech
tupia unalolijua kuhusu Technical schools
congrats brotherMazengo Tech.. 1998-2001 sasa inaitwa St. John University.
Kwa sasa ni Eng.
Thanks
😂😂😂Man to man anazijua njia zote za wanafunzi wanazotorokea,alikuwa akianza kukukimbiza ni yeye na wewe ndomana wakampa jina man to manNasikia kuna mwingine aliitwa Man to Man...sijui alikua anafanya nn madenti
Man to man mtu hatari sn...cku moja nilienda mtembelea rafiki yangu kule bweni la Mirambo ndio nilimsikia huyo jamaa. .tulipanda juu ya dari ndio ikawa salama yetu. ..K4 km sikoseiNdio mkuu, vipi unamjua man to man
sisi Iyunga alikuwa jamaa anaitwa Ambonisye huyu alisoma pale pia chocho zote anazijua usiombe mwalimu ajue kila chaka la watotoMan to man mtu hatari sn...cku moja nilienda mtembelea rafiki yangu kule bweni la Mirambo ndio nilimsikia huyo jamaa. .tulipanda juu ya dari ndio ikawa salama yetu. ..K4 km sikosei
Mkwawa 19, Lumumba 14, Lumumba 20Partical ya Moshi Technical nipo hapa from KARUME 33.
Moto " KUTII, KUWAJIBUKA NA KUZIBUNI MBINU ZA KAZI"
Nimesoma Plumbing (CIVIL).
Engineering science ilinifanya niione Mechanics ya Advance ni nyepesi sana wakati wenzangu wanalia.
Kwege mzee wa nditoz bado yupo?We jamaa bila shaka umesoma Iyunga o level 2012-15
Safi sana mkuu.
We shall build our national strong and our school shall shine forever more ...
Nimetoka pale about 48yrs ago labda hakuwepo kipindi hicho.Ndio mkuu, vipi unamjua man to man
Lyamungo Secondary School.Habari za kazi wana Jf, Tunajua kuna level nne za shule (secondary/Ordinal level) hapa kwetu Tanzania
1. Special (Vipaji maalumu)
2. Technical (Ufundi)
3. Boarding (Bweni kawaida)
4. Teule (shule za halmashauri )
5. Day (kata)
wale waliosoma shule za ufundi tujadili ubora na madhaifu yaliyokukuta/ulioyaona kwenye shule hizi (Iyunga, Ifunda, Mtwara Tech, Moshi Tech, Tanga Tech, Musoma Tech na Bwiru Tech zimeongezeka mwadui na chato Tech)
changamoto
• ufundi mnasomea darasani tu hakuna vitendo
Faida
•Engineering science ili somo tamu bana ila sijawahi jua kati ya Physics na ES lipi gumu zaidi madude ya Projectile, angular motion unayapiga ukiwa three tu
• wananolewa vijana ambao wanaenda kuwa wasumbufu sana huko special Advance mfano Cloud Kitumbika pale Tabora school no 3 TO 2020, Edward Lowassa aliwasumbua sana Ilboru na kuwa top ten kitaifa miaka ya 2020
•wanazalishwa maEngineer waliopure sana wakipita Tech
tupia unalolijua kuhusu Technical schools
Tuliita Mazengo Complex, katika shule za tech usithubutu kuisahau hii siku nyingine.o
ooh sawa sikuyajua hayo
Najua engineer utakuwa unawajua akina Kameme, Mwamfupe, Tembo, Kibona n.k.Mazengo Tech.. 1998-2001 sasa inaitwa St. John University.
Kwa sasa ni Eng.
Thanks
Hahaha shikamoo mkuu, man to man alimaliza pale pale Ifunda miaka ya 90 then akarudi pale kama mwalimu, pengine wew ni mkubwa sana kwake.Nimetoka pale about 48yrs ago labda hakuwepo kipindi hicho.