Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #81
weka hoja mezani matusi hayatakusaidia sanaKamwambie shangazi yako aweke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weka hoja mezani matusi hayatakusaidia sanaKamwambie shangazi yako aweke
ndio kiongozi au hamna habari yule ndo mkuu wa nchi?
Haahaa porojo tu izo mkuuEti nasikia Mwenyekiti alichomoa kwenye ziwa jina la mgombea Makamu Mwenyekiti. Kuna mtu ana clip au hizi habari ni za uzushi?
Nimesikitika sana.Waliotaka mhe Rais aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?
Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.
Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.
Na azimio la mgombea Urais nalo halikutolewa kwenye ziwa? Maana mbona kama January mapema sana kumtangaza mgombea UraisHaahaa porojo tu izo mkuu
Umeisoma katiba ya CCM?Waliotaka mhe Rais aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?
Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.
Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.
hakika inasikitisha sana kiongoziNimesikitika sana.
Halafu hawashindiMnapenda kesi nyie
Ova
Kang'ang'ania kiti alipoambiwa atoke wapuge kura akagoma akasema hatokiNi utaratibu shida ni pale watanzania mnageuza kiti cha urais kuwa kama ni Umungu fulani hivi.
kiongozi jielekeze kwenye hoja mambo ya ziwa sijui chuchu za mtu hazitatusaidia hapaNa azimio la mgombea Urais nalo halikutolewa kwenye ziwa
Hoja yangu ni kwamba maudhui ya huo uzi niliouambatanisha, ndo sababu hasa ya jamaa kuwataja wasukuma.hoja yako nn kiongozi?
Alikwenda kwenye kikao kile kama mkuu wa nchi?ndio kiongozi au hamna habari yule ndo mkuu wa nchi?
We unaota au? Kaamke usije jikojolea.Waliotaka mhe Rais aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?
Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.
Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.
Mbn Samia alipisha zoezi la upigaji kura na ht wakati wa kutangazwa matokeo. Nini kimetokea Tena mpk tuhusishe na uhaini?Watanzania mna shida kweli. Huo ndiyo utaratibu hata kipindi cha JPM nilifuatilia mkutano kuna wakati Shein alikaimu, JPM akatoka kura zikapigwa. Ni utaratibu shida ni pale watanzania mnageuza kiti cha urais kuwa kama ni Umungu fulani hivi.