Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,483
- 2,392
Una akili ndogo sana kwa TIMU ya Taifa inacheza Mashindano ya LEVEL gani?Hapa wamuondowe Eng Hersi yeye sasa hivi ni level za CAF, ni kumkosea adabu kumuweka kamati na machawa, huu ni ukosefu wa heshima.
Ndiyo maana hili litimu likifungwa huwa watu wanachekeleaHii nchi ukiwa mwepesi wa Kucheka unaweza kupasuka Mbavu , Yaani Wahuni ndio wanaoteuliwa eti kwenye kuhamasisha timu ya Taifa .
Kwenye kikosi hicho yumo Mwijaku aliyeshindwa kutimiza ahadi yake ya kutembea uchi ikiwa timu yake ingefungwa .
View attachment 2861322View attachment 2861323
View attachment 2861324
Pimbi wewe, Eng Hersi siyo wakukaa kamati na machawa wa Tff au wizara.Una akili ndogo sana kwa TIMU ya Taifa inacheza Mashindano ya LEVEL gani?
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Hii nchi ukiwa mwepesi wa Kucheka unaweza kupasuka Mbavu , Yaani Wahuni ndio wanaoteuliwa eti kwenye kuhamasisha timu ya Taifa .
Kwenye kikosi hicho yumo Mwijaku aliyeshindwa kutimiza ahadi yake ya kutembea uchi ikiwa timu yake ingefungwa .
View attachment 2861322View attachment 2861323
Mpira ni mchezo unaopendwa bila kuhitaji watu wa kuhamasisha ispokuwa wale wenye kipato hawapo kwenyeHii nchi ukiwa mwepesi wa Kucheka unaweza kupasuka Mbavu , Yaani Wahuni ndio wanaoteuliwa eti kwenye kuhamasisha timu ya Taifa .
Kwenye kikosi hicho yumo Mwijaku aliyeshindwa kutimiza ahadi yake ya kutembea uchi ikiwa timu yake ingefungwa .
View attachment 2861322View attachment 2861323
View attachment 2861324
Wacha zitafunwe hazina kazi!Hii nchi ukiwa mwepesi wa Kucheka unaweza kupasuka Mbavu , Yaani Wahuni ndio wanaoteuliwa eti kwenye kuhamasisha timu ya Taifa .
Kwenye kikosi hicho yumo Mwijaku aliyeshindwa kutimiza ahadi yake ya kutembea uchi ikiwa timu yake ingefungwa .
View attachment 2861322View attachment 2861323
View attachment 2861324
Upigaji na uchawa.Hii nchi ukiwa mwepesi wa Kucheka unaweza kupasuka Mbavu , Yaani Wahuni ndio wanaoteuliwa eti kwenye kuhamasisha timu ya Taifa .
Kwenye kikosi hicho yumo Mwijaku aliyeshindwa kutimiza ahadi yake ya kutembea uchi ikiwa timu yake ingefungwa .
View attachment 2861322View attachment 2861323
View attachment 2861324
ila nahisi wewe ni Mwijaku sijui kwanini .Kwani Kuna tatizo gani? Ulitaka atoke nani Ili na wewe uwepo?
Hersi naye si chawa tu?
Pigia mstariwa GSM au?
Unaishi wapi kwanza??Chawa wa Nani?
Mchambawima.Unaishi wapi kwanza??
Sina hakika kama tulipaswa kufanya haya kwasasa hasa kwenye soka la leo. Mantiki yake ni nini? Sijajua. Tumewahi kuwa na hizi kamati huko nyuma ,je zilitusaidia? Tanzania, Tanzania nakupenda kwa moyo wote lakini siku hizi unakosa watu wenye maarifa mapanaHii nchi ukiwa mwepesi wa Kucheka unaweza kupasuka Mbavu , Yaani Wahuni ndio wanaoteuliwa eti kwenye kuhamasisha timu ya Taifa .
Kwenye kikosi hicho yumo Mwijaku aliyeshindwa kutimiza ahadi yake ya kutembea uchi ikiwa timu yake ingefungwa .
View attachment 2861322View attachment 2861323
View attachment 2861324