Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Tanzania ktk ubora wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upigaji wa hela tuUpuuzi wa Nchi ya kipuuzi, yaani unateua kamati ambayo utatumia pesa kuhamasisha na kushangilia timu iliyoko Ivory coast . Matahira wa Nchi naona wamo... Mwijaku, Baba levo... Wakiongozwa na tapeli la FBI bongo zozo.
Hiyo ni miradi ya watu kupiga pesa ndo maana kila mara wanakuja na huo ujinga uku matokeo yakiwa yale yale.Sina hakika kama tulipaswa kufanya haya kwasasa hasa kwenye soka la leo. Mantiki yake ni nini? Sijajua. Tumewahi kuwa na hizi kamati huko nyuma ,je zilitusaidia? Tanzania, Tanzania nakupenda kwa moyo wote lakini siku hizi unakosa watu wenye maarifa mapana
Hebu tuambie wanahamasisha Nini?, Huo uhamasishaji utafanyika wapi na timu zitakuwa zinacheza wapi?. Tumia akili ndogo yaani timu iwe ivory Coast afu wahamasishaji wako Tz?. Ndio maana ujinga hauwezi kuisha TZ.Keyboard worriers mmekusanyika kuiponda kamati. Ninyi mngepewa huo uhamasishaji mungeweza?!
Uhamasishaji wa nini?.tunaacha kuwekeza kwenye mipango yakutengeneza timu ya maana itakayoleta ushindani kwa miaka mingi ijayo tunawekeza kwenye uhamasishaji.na wewe unaona ni sawa.Keyboard worriers mmekusanyika kuiponda kamati. Ninyi mngepewa huo uhamasishaji mungeweza?!
Hii list ni batili bila;Hii nchi ukiwa mwepesi wa Kucheka unaweza kupasuka Mbavu , Yaani Wahuni ndio wanaoteuliwa eti kwenye kuhamasisha timu ya Taifa .
Kwenye kikosi hicho yumo Mwijaku aliyeshindwa kutimiza ahadi yake ya kutembea uchi ikiwa timu yake ingefungwa .
View attachment 2861322View attachment 2861323
View attachment 2861324
Inshu kubwa hapo n upigaji tuHii Nchi kuna mambo ya kipumbavu mengi sana, kwahiyo kuna watu walikaa wakasugua vichwa wakaja na hiyo list?
Sishangai list, nashangaa waliowateua.
Unajifanya hujui waliomuweka? Chawa wa GSM na KikweteChawa wa Nani?
Ingekuwa tunahama nchi kama nyumba za kupanga, Bongo mngenikosa kitambo. Siwezi kuvumilia upuuziHii Nchi kuna mambo ya kipumbavu mengi sana, kwahiyo kuna watu walikaa wakasugua vichwa wakaja na hiyo list?
Sishangai list, nashangaa waliowateua.
Nawewe ni chawa wa nani?Unajifanya hujui waliomuweka? Chawa wa GSM na Kikwete