Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sasa anaalikwa na mabosi wenzake wa vilabu Vikubwa vya ulaya atakuwa bize sana !Hapa wamuondowe Eng Hersi yeye sasa hivi ni level za CAF, ni kumkosea adabu kumuweka kamati na machawa, huu ni ukosefu wa heshima.
Mo Dewji, Fatma Dewji, Azim Dewji.Team inaendeshwa kiukoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu na shem wakee, watu weuweeee.
Ni ujinga mtupu, timu ya taifa ahitaji hamasa ya kulazimishwa, chagueni wachezaji wenye uwezo na kuwapa kocha mzuri. Wakijitahidi wakishinda utaona watu wanajazana uwanjani wakitegemea wanakwenda kupata burudani ya ukweli na ushindi.Hii nchi ukiwa mwepesi wa Kucheka unaweza kupasuka Mbavu , Yaani Wahuni ndio wanaoteuliwa eti kwenye kuhamasisha timu ya Taifa .
Kwenye kikosi hicho yumo Mwijaku aliyeshindwa kutimiza ahadi yake ya kutembea uchi ikiwa timu yake ingefungwa .
View attachment 2861322View attachment 2861323
View attachment 2861324
Bora hao,Mo Dewji, Fatma Dewji, Azim Dewji.