Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa wakoNawewe ni chawa wa nani?
Sio wa MO?Chawa wako
Punguza shoboSio wa MO?
Tunawezaje kuwekeza kwenye Timu ya maana??Uhamasishaji wa nini?.tunaacha kuwekeza kwenye mipango yakutengeneza timu ya maana itakayoleta ushindani kwa miaka mingi ijayo tunawekeza kwenye uhamasishaji.na wewe unaona ni sawa.
nimwjiuliza hili swali, nimekosa jibuHebu tuambie wanahamasisha Nini?, Huo uhamasishaji utafanyika wapi na timu zitakuwa zinacheza wapi?. Tumia akili ndogo yaani timu iwe ivory Coast afu wahamasishaji wako Tz?. Ndio maana ujinga hauwezi kuisha TZ.
CAF hawateui Machawa wa GSMPimbi wewe, Eng Hersi siyo wakukaa kamati na machawa wa Tff au wizara.
Eng Hersi sasa hivi ni wa viwango vya kuteuliwa na CAF kufanya kazi na kina Mamelodi, siyo kumuweka na hawa machawa, hapo nafasi ya Eng Hersi wamuingize Stive Nyerere.
Vimba pasuka kabisa.CAF hawateui Machawa wa GSM
Gharib wa GSMChawa wa Nani?
Eng Hersi àmeowa dada yake Gharib, unalijuwa hili?Gharib wa GSM
GSMChawa wa Nani?
Hebu watajee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna Watu Wawili hapa ni Wanaume Jina tu ila siyo Wanaume Kamili Wamejumuishwa hivyo naiona kabisa tayari Nuksi imeingia na Taifa Stars inaenda Kufanya vibaya mno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukiona hivyo ujue ndo level yake hapo.Pimbi wewe, Eng Hersi siyo wakukaa kamati na machawa wa Tff au wizara.
Eng Hersi sasa hivi ni wa viwango vya kuteuliwa na CAF kufanya kazi na kina Mamelodi, siyo kumuweka na hawa machawa, hapo nafasi ya Eng Hersi wamuingize Stive Nyerere.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii list ni batili bila;
Steve Nyerere
Nabii Tito
Amber Rutty
Maulid Kitenge
Mariam Biriyani
Giggy Money
Zuchu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hersi ndo level yake hapo. Na kawekwa na hajakataa.Hersi atolewe hapo ni dharau
Awekwe mangungu
Team inaendeshwa kiukoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eng Hersi àmeowa dada yake Gharib, unalijuwa hili?
Huyu ni mwanafamilia siyo Chawa, Chawa hawezi kuaminiwa kupewa fungu la usajili.
Hii Inapendeza sana