Walioteuliwa Kwenye Kamati ya Hamasa ya Taifa Stars hawa hapa

Wapi Mzee wa utopolo? Yeye siku zote anahamasisha soka akina mwijaku wanasifia Matajiri. Ni yupi alistahili kuwa hapo,? Mbona huyu Utopolo ( one man show) mnamkosea adabu?
 
Hapa wamuondowe Eng Hersi yeye sasa hivi ni level za CAF, ni kumkosea adabu kumuweka kamati na machawa, huu ni ukosefu wa heshima.
Na sasa anaalikwa na mabosi wenzake wa vilabu Vikubwa vya ulaya atakuwa bize sana !
 

Attachments

  • 5905FB51-A00C-4D9F-B5E5-381A71D2F7E7.jpeg
    158.9 KB · Views: 1
Ni ujinga mtupu, timu ya taifa ahitaji hamasa ya kulazimishwa, chagueni wachezaji wenye uwezo na kuwapa kocha mzuri. Wakijitahidi wakishinda utaona watu wanajazana uwanjani wakitegemea wanakwenda kupata burudani ya ukweli na ushindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…