Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu leo utachoka kwa kuanzisha thread hahaha😂😂😂!Nimepitia mitandao ya kijamii ya walioteliwa wote, wameonyesha furaha na shukrani.
Makonda ni kama kichwa gia zinaruka, mpaka sasa haamini kama hayupo jikoni, kapelekwa akakusanye kuni, hajatoa neno la shukrani.
Sipotezi muda mkuu, haya ndio matumizi ya muda wanguMkuu leo utachoka kwa kuanzisha thread hahaha😂😂😂!
Samia na Makonda wanajuana hata wakikutana unajua kabisa hawa ni tofauti na wengine na hawa ni zaidi ya uongozi kwa hiyo kuna mengi hatuyajui baini yao na ushahidi ni nyakati wakikutana!
Halafu ni wazi Makonda ni mmoja ya watu wa Samia take it or leave it wana connection yao wenyewe….
Kwa hiyo unaweza poteza muda wako bure ukifikiri hivyo……
Mlima umegeuzwa kichuguu daadeq. Na Bado![emoji23] [emoji23] [emoji23] Unaumia sana kwa Makonda!?
Unapiga majungu ila yeye anazidi kupaaa!
Ni kama mamako anakupuuza tu
Hahaha kapigwah busu la YudahKwahiyo hana shukurani na hiyo Zawadi ya Pasaka.😆
Maandamano ya Arusha yalitishia Usalama wa taifa 🐼Mlima umegeuzwa kichuguu daadeq. Na Bado!
Mama anaendelea kuupiga mwingi....
Yuda Iskarioti ni ndugu yake Yesu ujue 🐼🔥Hahaha kapigwah busu la Yudah
Kumbe kizmkaz ni mkristo
Manake kala nao karamu ya mwisho
Huyu bashite hafai kupendwa,[emoji23] [emoji23] [emoji23] Unaumia sana kwa Makonda!?
Unapiga majungu ila yeye anazidi kupaaa!
Ni kama mamako anakupuuza tu
Kwahiyo Ameingia Kwenye System Ya Watu Inaitwa Kumkoma Nyani.......Anatafutiwa njia ya kutoka kwenye mfumo, mwiba unatokea ulipoingilia
Kwani aliomba kuteuliwa?Nimepitia mitandao ya kijamii ya walioteliwa wote, wameonyesha furaha na shukrani.
Makonda ni kama kichwa gia zinaruka, mpaka sasa haamini kama hayupo jikoni, kapelekwa akakusanye kuni, hajatoa neno la shukrani.
Sasa ile kazi ya kusikiliza ufisadi wanaofanyiwa wananchi na vigogo nani ataendeleza? Huyo katibu mkuu mpya aliyemkaribisha 'lucipher' (balozi wa marekani) makao makuu ya ccm hakika sio jadi wala hana sababu ya kupambana na fisadi kwa kuwashika fisadi masikio. Wala haonekani ni rafiki wa umma wanaoteseka kwa ulaji rushwa vigogo na mamlaka za kusimamia haki.Nimepitia mitandao ya kijamii ya walioteliwa wote, wameonyesha furaha na shukrani.
Makonda ni kama kichwa gia zinaruka, mpaka sasa haamini kama hayupo jikoni, kapelekwa akakusanye kuni, hajatoa neno la shukrani.