Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Kwahiyo ukaona ni afadhali kulala pembeni ya kaburi ukiwa kuliko juu ya kaburi? [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ahaaaa na mtoto?
 
*****.. angekula tigo hyo mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]mkuu Ahsante, ila imenibidi nicheke kwa sauti nikikumbuka lile jinamizi daaah hapanaa
Usijali mapito tuu hayo mie napendaga sana kujifunza. Natamani niende huko Siku moja mkuu
 
Tuendelee na mada mkuu Niilingiaga lodge na demu wa udsm kumbe anapumu katikati ya gemu ikamtokea akazirai nikampigia rafiki yake ikabidi nigharamike initoke 100,000 matibabu plus usafiri
Eeh shekh uanaume Mateso. Unafikiri ungekuwa wewe ndio umefaint au imekushika pumu Dem angegharamikia yote hayo! Nakusepa angeona nini , fastaaaa angekula kona. Ila ulikuwa muungwana . Mungu akujalie upate 9 wenye scenario kama hizo. Soo andaa 900,000/= bro. Ahahha just jocking. Ubarikiwe kwa utu wako
 
Hela haipatikani kirahisi . full kusuguliwa
 
***** hiyo naijua niliwahi kulipa pesa ya kulala ila nikaishia saa 5 tu nikasepa
Feyzal mie pia ikabidi nitoke nitafute boda boda akanipeleka Kongowe aisee. Kuuunguni balaaa, afu kelele noma, wenye mipombe, wenye mahaba yao vyumbani, wenye kupigana makofi ya vurugu, wenye kupigana makofi ya sambusa ya papuchi yaani Ta Ta Tah Tah Tah, basii purikushani tuu. Alafu muonekano kwa nje iko Poa kweli.... Nyambaf
 
Mie hao wapiga chabo ndo nawapenda nikijua yupo tuu ndo napiga kama watu wanaopiga makofi vile TAH, TAH , TAH, alafu namwambia kwanguvu dem UMEONAAA EEHN WANAUME TUNAVYOFANYAGAAA ENH. Watatoka tuu kwenye chabo
 
Kiufupi tu, kama sio mshenzy usithubutu kung'oa malaya. Utajuta
Ukuwi amekujibu Veget . nadhani nitashindwa kuandika yote hapa, isitoshe naona Uzi huu wadada wametuachia mens tuu hawachangii.
 
Mkuu kwamba alikuwa ana bwawa au
Nashindwa kuelezea bab TCRA c wapo ningekuonesha mfano wake ungepata angalau picha. Ila unajua kitu kama jani LA mpapai alafu ulichukue lile alafu ulichapechape kwenye jiwe bila kukatika ile hali itakayobakiwa nalo ndo hivyo mfano wake KiTAFSIDA. Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…