Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Uwa silipii kabla sijakagua room nyie mtakua mmezijulia ukubwani Lodge kwanza mi nilianza kuingia guest 18 yrs kipindi iyo Lodge chache wanalala wabunge tu Dodoma
 
Ndugu km bado uko nae usimuache Yuko vizur vibaya ile mihemko yake balaa nakule kujikunja kunja nikaona huyu ashafika kwenye mlima kileleni kabisa kumbe pumu tayari Daaah
hapana mkuu sipo naye japo sometimes kuna vitu fulani hivi navimiss toka kwake 😂😂😂 tukikutana ntajaribu kurudisha majeshi maana tuliachana vibaya kika niblock kila sehemu😂😂
 
Ohooo Kaka umemjuaje mwisho tutajuana Sasa na hizi Idi fake [emoji2] [emoji2]
[emoji106] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji12] JUANENI TUU, NA INAKOELEKEA NA ELIZA NAE ATAREPLY KWA KUSEMA "haikuwa pumu bali ndo swag zangu za kimahabat! [emoji203] nyinyi" (kwa sauti nyembamba kama ya msanii flani wa kike) [emoji12] [emoji12] [emoji15] [emoji12] [emoji12] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji106]
 
😂😂😂😂
 
Mkuu funguka kidogo
 
niliendaga gest moja hv buku 7 nikafika nikaandaa mazingira demu alipofika tu mlangon akasita ili kukaa tu hazikufik dkk 3 demu akaondoka bila kuaga baada ya nusu saa dem ananipigia sim nipo ktk hotel hapa jiran km unatak njoo km hutak bas..dah nilijizarau sana
 
haaa ha haa
 
Sio Miss Chga huyo!?? [emoji85]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni Ifisi au pale katikati ya Ifisi na Mbalizi?
Ifisi kuna sehemu za kulala wageni mbili tu.
ICC ya mzungu mwenye hospital na Mfikemo ambayo ni mpya kabisa.
 
Nishawai chukua guest flani mitaa flani... sasa nili agiza chakula wale waudumu wa chakula walivo leta chakula waka fungua tu mlango bila hodi na mimi nilikua sija funga na funguo... basi waka niona mzee mzima nikiwa nafanya mambo yangu... nakumbuka nilitukana sana
 
hahahaa
 
hahahaa .. nasikiaga tu sifa za buguruni " ngojea weekend hii niende aiseee... huwaga wanawatoza kiasi gani ,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…