Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

hahaaaa ", watu wamevurugwa daaahh tomato kwenye papuchi ""!!? MY foot"
Mzee Baba nikwamba sio inamiminwa na kuvaliwa kabisa ila inawekwa inakaa kwa muda kidogo, inafyonzwa na pedi alafu ndio inavaliwa. Rejea story yangu moja kurasa za nyuma, HAWA WATU WANAMBINU ZA KISHENZI NA KISHETANI balaaa, kama Wewe sio Mshenz mwenzao. USICHUKUE ZIGO UTAJUTAA KIJUTO CHA MBWA KHOKHO
 
aiseee"-..kweli wanaume Tunakutana na mabalaa mnooo" papuchi inawekwa tomatoes kama yatakuungwa na pilau
 
hahahaa" kwangu" imefika hilo dushe la Thailand daahh" miyeyusho kweli mkuu""...khaaaa"
noma sana kiongozi nimefarijika kumbe sio peke yangu yalinikuta kuna mdau kasema kuwa yy washkaji zake iliwakuta na walikuwa wamelewa nahisi wenyewe walipiga/kupigana wakaja gundua asubuhi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
noma sana kiongozi nimefarijika kumbe sio peke yangu yalinikuta kuna mdau kasema kuwa yy washkaji zake iliwakuta na walikuwa wamelewa nahisi wenyewe walipiga/kupigana wakaja gundua asubuhi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
hahaaaa kwahiyo walilila" nilikuwa na mzuka mnooo wakwenda huko" nadhani wakati ukitimu nakwenda huko" nitajionea vituko Aiseee
 
hahaaaa kwahiyo walilila" nilikuwa na mzuka mnooo wakwenda huko" nadhani wakati ukitimu nakwenda huko" nitajionea vituko Aiseee
kuna mawili hapo... walilila au walikulana hyo itabaki kuwa siri yao πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Aisee nimelala juzi morogoro siku ya tarehe saba kuamkia nanenane, kila gest unayoijua ilikuwa imejaa. Nlitoka dodoma saa mbili na mida ya saa sita kasoro nlikuwa morogoro, nikakodi boda tukaanzia maeneo ya stend na mitaa ya jirani sikupata tukazunguka msamvu yote bila bila, jamaa akadai elf 57 nikampa. Wakati nafikiria nn cha kufanya kaja boda akaniambia twende mitaa flani yeye anajua gest ambazo huwa hazifikiwi na watu. Basi tukakubaliana elf tatu, tulizungukaa takriban saa nzima hakuna kitu. Nikamwambia nirudisha msamvu nikalale stand, ile tunarudi akasema ngoja twende hapa pa mwisho, basi nikapitishwa daraja moja hivi finyu sana nahisi ni la waenda kwa miguu, mda huo ni saa nane kasoro usiku. Palikuwa panatisha balaaa, and mfukoni nlikuwa na kama tsh.2millions. Basi akaingia nyumba moja chafchaf tu akaaanza kugonga, haina hata bango la jina la gest, na nje hakuna taa hata moja. Wakasema nafasi zipo. Kuingia ndani mm ndo mteja wa kwanza. Ikabidi tu nilale hapo. Ila hela zote nikazikunja nikaweka kwenye viatu kwa mbele kabisa yaan 1mil kiatu kimoja na 1 mil kiatu kingine, then nikaweka na soks zikiwa zinaonekana kwa juu halaf nikaviweka kama vimelala ubavu na kimoja kimelala miguu juu. Nikaweka mfukoni kama elf 50 tu incace washkaji wakija kuchukua zao niwape elf 50. Yaan kumekucha asubuhi sikuamini
 
Du! Noma hiyo! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Hahah nmecheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…