Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

😀😀😂😂😂😂😂
 
Hahahaha
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daaah mkuu pole sanaaaa!!!!
 
Daaah mkuu pole sanaaaa ungekuja huku mitaa ya mazimbu, modeko, au hata mitaa ya Bigwa zipo nyingi tu
 

Hahah mkuu mimi hii kitu imewah nikuta. Alikuwa ni manzi angu kabisa, hyo siku kaja geto nataka kula vyangu mara ooh simba wanacheza nkashangaa maana dalili zake zote nazijuaga akiwa hvo ile kuangaliza nakuta red red nkakaza macho nkagundua pichu ina rangi ila yeye msaaafi nkam’bana akanichana kaweka tomato bas nkamwambia asepe hakuwah nletea tena ushenz
 

Dup pole mkuu maana najua karaha tunazokutana nazo kwenye kuonwa kalio. Binafsi sidhani kama kuna kitu nachukia kama kuonwa kalio au manz kunishika kalio wakati nipo mchezoni
 
Aahahaha pole Mkuu hawawadudu SIO! MIE NIKIONAGA WANAZINGUA NAWATISHIA KAMA NDIO IVO NAKULA TGO wananywea nakula Mzigo kilaiiiiiiiin
 
Watoto wa uswazi ni shida aiseee....anajua miguno ya baba yake?
 
Huyo Happy alikuwa muhuni tu!
 
Kesho tukijaaliwa uzima ntawapeni moja hiyo ilikuwa kali sana. Aisee hizi gesti tulale tuu jamani ila mmmmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…