Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] waliliwaa kibogaaa...?!!!!

Daah!haya mambo haya
 
Shenzy kabisa Mkulima nakazalika nakazalika[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Nilishawahi kuingia guest house na manzi mara moja tu. Sijawahi tena kupeleka mwanamke guest since then!

Usiniulize nafanyiaga wapi kwichi kwichi.

Apart from that, sina experience mbaya na guest house.
Bab ulikuwa mzee wa Exile nini. Maana unawaambia washkaj naombeni getho Leo unataka nimnyooshe mbavu dem
 
aaaah acha tu kaka sitakuja kusahau hilo tukio... yani baada ya hapo nikaingia chimbo kuwastudy shemales yani hata aweje namgundua kwa kumcheki tu hivi.

thailand hapafai mzee
Ivi kumbe thailand wa malaya wapo so cheap..,,,,$40 allnight??????
 
Embu tueleze unawajuaje kwamba huyu ni shemale?
ukizubaa unaenda kugundualia room.... yan ukiwa maeneo ya thailand ..malaysia au singapore we ukishaona demu ana sauti flan nzito na mashavu yamechongeka fulani na kwenye mikono humu kama ana misuli hivi ujue unaenda kukutana na mkuyenge badala ya papuchi
 
Hapo chalinze, miaka ya 1999 hapo chalinze, nilikuwa na ahadi na mtoto wa kiarabu, nikachukua guest ili nimsubirie huyo mtoto

Kumbe bwana guest ina kunguni, mida ya saa 6 usiku baada ya kumsubiria mtoto na kuchoka, ikabidi nikalale tu,

Nilivyofika chumbani nikakaa kitandani nikijipa moyo kuwa huyo mtoto atakuja

Kufika saa 7 uzalendo ukanishinda, nikaona isiwe tabu, nikalala, dk 15 zilikuwa nyingi sana aisee nilisikia vitu vinatambaa mwilini, kumshika mmoja na kumuua nikasikia alufu kali, nikapigia mstari

Kwa mara ya kwanza nililala kwenye siment bila kujifunika mpaka asubuhi maana nilitafuta muudumu bila mafanikio

Na mwarabu hakuja, kunguni wakanila, nikalala chini mpaka asubuhi, mpaka leo sitasahau guest hiyo ya chalinze
 
Ivi kumbe thailand wa malaya wapo so cheap..,,,,$40 allnight??????
bei inatofautiana na sehemu uliyopo mimi hyo ilikuwa ni nje ya bangkok kidogo kama dar useme bunju hivi kuna kared light street kamoja.... alafu ukumbuke hilo lilikuwa ni shemale hawa always they are cheap compared to girls
 
[emoji106] [emoji107] [emoji203] [emoji725] [emoji724] [emoji724] [emoji724] [emoji724] [emoji724] [emoji724]
 
Share kidogo hiyo ya bankok mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…