Waliozaliwa tarehe zifuatazo wengi wao huwa na mashaka juu ya uwepo wa Mungu (atheists)

Waliozaliwa tarehe zifuatazo wengi wao huwa na mashaka juu ya uwepo wa Mungu (atheists)

Kuzaliwa kwa miezi hiyo kuna uhusiano gani na mtu kuwa na mashaka/kutokutambua uwepo wa Mungu.

Swala la kutambua kwamba kuna Mungu ama hakuna Mungu ni jambo la kiakili zaidi, halina uhusiano wowote na mtu kuzaliwa kipindi flani cha mwaka.

Mungu ni mawazo ya kizamani ya mwanadamu ambaye alitaka kupata jibu jepesi kwa kutumia logic nyepesi kulingana na uzoefu wa jinsi alivyo_uexperience ulimwengu katika point ndogo sana (katika dunia)

By the way Mungu anabaki kuwa ni mhusika wa hadithi tu, and he/she doesn't exist.
Post hii haina uhusiano juu ya uwepo au kutokuwepo kwa Mungu

Kama huamini kama Mungu yupo naomba ufungue post nyingine kuelezea watu kuhusu hilo

Uhusiano huo unaotaka wewe tunaufahamu sisi tuliofanya hiyo research na hakuna wa kukulazimisha au kukubembeleza uamini
 
Ningetaharuki kama ningekuwepo katika hizo assumptions, naona ni assumptions tu hazina ukweli ila pia sio always the case haina proof, au umetumia vigezo gani kusema hayo uliyoyasema
Hakuna sehemu nimesema it's always the case


Huamini ni sawa, unaamini pia ni sawa

Sina muda hata dakika 1 ya kukubembeleza uamini ninachoamini mimi
 
Kuwa atheist hakuhusiani na muda wa kuzaliwa. Atheist ni matokeo ya watu kuishi kwenye uhalisia wa mambo na kuyachunguza yale yasiyojulikana ili kupata majibu yasiyokuwa na mashaka. Concept ya uwepo wa mungu imepingwa na atheists kwa sababu ya kukosa uhalisia na wameprove ni ya uongo kwasababu imejaa contradictions.ulichosema ni mtazamo wako na hakina uhalisia wowote.
 
Post hii haina uhusiano juu ya uwepo au kutokuwepo kwa Mungu

Kama huamini kama Mungu yupo naomba ufungue post nyingine kuelezea watu kuhusu hilo

Uhusiano huo unaotaka wewe tunaufahamu sisi tuliofanya hiyo research na hakuna wa kukulazimisha au kukubembeleza uamini
Haujui hata dhima kuu ya taarifa?

Umeumia kupata maelezo kdogo ambayo yanaelezea tu jibu nlilokupa?

Nmeanza kwa kukuonesha namna ambavyo kipindi cha kuzaliwa hakina uhusiano na kuamini ama kutoamini habari za Mungu kulingana na mada hapo juu,
Mengine ni kama vielezi tu.

What is wrong with you!!
 
Kuwa atheist hakuhusiani na muda wa kuzaliwa. Atheist ni matokeo ya watu kuishi kwenye uhalisia wa mambo na kuyachunguza yale yasiyojulikana ili kupata majibu yasiyokuwa na mashaka. Concept ya uwepo wa mungu imepingwa na atheists kwa sababu ya kukosa uhalisia na wameprove ni ya uongo kwasababu imejaa contradictions.ulichosema ni mtazamo wako na hakina uhalisia wowote.
Hata ulichosema wewe ni mtazamo wako na wala usifikiri mimi nitakukubaliana na maelezo yako
 
Back
Top Bottom