Alistalikopaul
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 720
- 1,995
Mitano tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepatia sana kwa NENO sahihi ulilotuita. Ubaya ni kwamba watawala wandhani wanafaidika na ujinga huu na hivyo hawana haja ya kuchukua hatua kwa wahusika. Ila wanapoguswa wao Mbwa wote wanatoa meno nje.Depraved society!!!
Itaje hiyo dini ili kuanzia Leo tuchukue tahdhari kwa waumini wake.Habib Mchange ni dini gani?
Kuna dini kusema uongo kwa nia njema siyo dhambi bwashee!
Hizi ndio double standard sasa,Habib Mchange ni dini gani?
Kuna dini kusema uongo kwa nia njema siyo dhambi bwashee!
Ila mwananchi wa kawaida jichanganye uone watakachokufanyaMagazeti ya Fahari Yetu, Tanzanite na Jamvi la Habari kila siku yanaandika habari za uzushi na uongo na mhariri wake Habibu Mchage anajulikana lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa na serikali kukomesha tabia hii.
Juzi Waziri Mkuu alishangazwa na watu kukosa uzalendo na utu kwa kushangilia ugonjwa wa mtu, tusisahau kuwa tunapolea uandhishi kama huu tunalea tatizo lenyewe. Jeshi la polisi linapobagua wananchi kiutendaji linapelekea wananchi kuichukia serikali na viongozi wake.
Tunaiangamiza jamii yetu sisi wenyewe kwa ujinga wetu wa kukosa maarifa, tunaacha kuwakemea wanaojulikana tunakimbilia kupambana na Kigogo wa Twita asiyejulikana.
Ipi hiyo bwashee?
Hasa umasikini wa kifikraMaadui Wa Nchi Yetu Ni Hawa:-
1. Umasikini
2. Ujinga
3. Maradhi
[emoji58][emoji52]
Maadui Wa Nchi Yetu Ni Hawa:-
1. Umasikini
2. Ujinga
3. Maradhi
😑😐
Huu utani wa ngumi sasaItaje hiyo dini ili kuanzia Leo tuchukue tahdhari kwa waumini wake.
JF is "Where we dare to talk openly", sasa anapotuacha gizani hatusaidii.Huu utani wa ngumi sasa
Ngumu sana huyo jamaa kuondoka, kumbuka waovu huwa wanaishi miaka mingi sanaKuna mtu akiondoka itakua shangwe badala ya huzuni maana wameonea sana wengi kwa uzushi
Kwa hiyo hata Majaliwa alisema uongo kwenye Mimbari kwa nia njema?Habib Mchange ni dini gani?
Kuna dini kusema uongo kwa nia njema siyo dhambi bwashee!
Mkuu acha kuchafua dini za watu kwa kuhusisha na wahuni wachache.Habib Mchange ni dini gani?
Kuna dini kusema uongo kwa nia njema siyo dhambi bwashee!