Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na siku wakikamatwa ndio siku Sirro atatimuliwa kazi bila kuchelewa , hawaguswi hao watu japo wanaandika mada duni kuliko maelezoHao waliofanya kitendo hiki hawatachukuliwa hatua yeyote.
unabisha nini wewe , hivi unajua haya magazeti yanachapishwa wapi ?Usiite kitengo Cha usalama maana usifananishe usalama na Mambo ya kingese hawawezi kuwa usalama achilia mbali taifa
Sure imejaa mambo ya hovyo kabisaNaam! Ndio maana tunashindwa kuipenda hii serikali ya kihuni
Nakubaliana na wewe.. hakuna usalama wana act reckless kiasi hichi.. hawa ni chawa wa CCM ambao wanapata kinga kutoka kwenye vyombo vya usalama.. Ila naamini kuna siku watakuwa responsible kwa hizi habariUsiite kitengo Cha usalama maana usifananishe usalama na Mambo ya kingese hawawezi kuwa usalama achilia mbali taifa
Sawa lkn siku yaja ambapo waliyekuwa wanamtegemea atakuwa hayupo.Hao waliofanya kitendo hiki hawatachukuliwa hatua yeyote.
Amejenga matabaka mabaya sanaMambo kama hayaa ndo huwa yanafanya nimchukie magufuli maana yeye ndo chanzo ya vyote hivi.
Bora umtetee shetani lakini siyo huu utawala dhalimu na katiliNfio maana tunapoambiwa kuitetea awamu hii tunashindwa kwa sababu ya upuuzi kama huu.
Hata kandanda ni dini kama ulikuwa haujui.
Magazetiyanafadhiliwa na kampuni ya ndege ya taifa ATCL (ambayo mkaguzi mkuu wa serikali haruhusiwi kuikagua), pia mashine ya kuyachapisha ziko kwenye jengo la usalama wa taifa halafu mnauliza kwanini hawachukuliwi hatua? Mmesahau hata Ex Waziri wa habari alishawahi kusema kuwa mmiliki wake hawawawezi kumchukulia hatua maana hakuna aliyemshtaki.Magazeti ya Fahari Yetu, Tanzanite na Jamvi la Habari kila siku yanaandika habari za uzushi na uongo na mhariri wake Habibu Mchange anajulikana lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa na serikali kukomesha tabia hii.
Juzi Waziri Mkuu alishangazwa na watu kukosa uzalendo na utu kwa kushangilia ugonjwa wa mtu, tusisahau kuwa tunapolea uandhishi kama huu tunalea tatizo lenyewe. Jeshi la polisi linapobagua wananchi kiutendaji linapelekea wananchi kuichukia serikali na viongozi wake.
Tunaiangamiza jamii yetu sisi wenyewe kwa ujinga wetu na kukosa maarifa, tunaacha kuwakemea wanaojulikana tunakimbilia kupambana na Kigogo wa Twita asiyejulikana.
Tunapohoji sio kwamba hatujui ni kuweka kumbukumbu sawa na kuwataarifu kuwa wanayofanya yote yanajulikana.Magazetiyanafadhiliwa na kampuni ya ndege ya taifa ATCL (ambayo mkaguzi mkuu wa serikali haruhusiwi kuikagua), pia mashine ya kuyachapisha ziko kwenye jengo la usalama wa taifa halafu mnauliza kwanini hawachukuliwi hatua? Mmesahau hata Ex Waziri wa habari alishawahi kusema kuwa mmiliki wake hawawawezi kumchukulia hatua maana hakuna aliyemshtaki.
Ni mzima wa Afya njema....Bwana ni mwema.......mbona hatangazi kazi anazofanya gizani huyu mteule wa Bwana?Magazeti ya Fahari Yetu, Tanzanite na Jamvi la Habari kila siku yanaandika habari za uzushi na uongo na mhariri wake Habibu Mchange anajulikana lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa na serikali kukomesha tabia hii.
Juzi Waziri Mkuu alishangazwa na watu kukosa uzalendo na utu kwa kushangilia ugonjwa wa mtu, tusisahau kuwa tunapolea uandhishi kama huu tunalea tatizo lenyewe. Jeshi la polisi linapobagua wananchi kiutendaji linapelekea wananchi kuichukia serikali na viongozi wake.
Tunaiangamiza jamii yetu sisi wenyewe kwa ujinga wetu na kukosa maarifa, tunaacha kuwakemea wanaojulikana tunakimbilia kupambana na Kigogo wa Twita asiyejulikana.
4 CCMMaadui Wa Nchi Yetu Ni Hawa:-
1. Umasikini
2. Ujinga
3. Maradhi
😑😐
Ndiyo Ukweli Wenyewe4 CCM