Waliozusha vifo vya Mbowe, Mrema, Maria Sarungi na leo mzee Sarungi wanajulikana

Waliozusha vifo vya Mbowe, Mrema, Maria Sarungi na leo mzee Sarungi wanajulikana

Usiite kitengo Cha usalama maana usifananishe usalama na Mambo ya kingese hawawezi kuwa usalama achilia mbali taifa
Nakubaliana na wewe.. hakuna usalama wana act reckless kiasi hichi.. hawa ni chawa wa CCM ambao wanapata kinga kutoka kwenye vyombo vya usalama.. Ila naamini kuna siku watakuwa responsible kwa hizi habari
 
Wapinzani inaonekana ni kama mbwa ndani ya nchi yao hakuna mamlaka inayowajali hata kidogo, ndiyo hii inajenga chuki mbaya sn
 
Magazeti ya Fahari Yetu, Tanzanite na Jamvi la Habari kila siku yanaandika habari za uzushi na uongo na mhariri wake Habibu Mchange anajulikana lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa na serikali kukomesha tabia hii.

Juzi Waziri Mkuu alishangazwa na watu kukosa uzalendo na utu kwa kushangilia ugonjwa wa mtu, tusisahau kuwa tunapolea uandhishi kama huu tunalea tatizo lenyewe. Jeshi la polisi linapobagua wananchi kiutendaji linapelekea wananchi kuichukia serikali na viongozi wake.

Tunaiangamiza jamii yetu sisi wenyewe kwa ujinga wetu na kukosa maarifa, tunaacha kuwakemea wanaojulikana tunakimbilia kupambana na Kigogo wa Twita asiyejulikana.



Magazetiyanafadhiliwa na kampuni ya ndege ya taifa ATCL (ambayo mkaguzi mkuu wa serikali haruhusiwi kuikagua), pia mashine ya kuyachapisha ziko kwenye jengo la usalama wa taifa halafu mnauliza kwanini hawachukuliwi hatua? Mmesahau hata Ex Waziri wa habari alishawahi kusema kuwa mmiliki wake hawawawezi kumchukulia hatua maana hakuna aliyemshtaki.
 
Magazetiyanafadhiliwa na kampuni ya ndege ya taifa ATCL (ambayo mkaguzi mkuu wa serikali haruhusiwi kuikagua), pia mashine ya kuyachapisha ziko kwenye jengo la usalama wa taifa halafu mnauliza kwanini hawachukuliwi hatua? Mmesahau hata Ex Waziri wa habari alishawahi kusema kuwa mmiliki wake hawawawezi kumchukulia hatua maana hakuna aliyemshtaki.
Tunapohoji sio kwamba hatujui ni kuweka kumbukumbu sawa na kuwataarifu kuwa wanayofanya yote yanajulikana.
 
Magazeti ya Fahari Yetu, Tanzanite na Jamvi la Habari kila siku yanaandika habari za uzushi na uongo na mhariri wake Habibu Mchange anajulikana lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa na serikali kukomesha tabia hii.

Juzi Waziri Mkuu alishangazwa na watu kukosa uzalendo na utu kwa kushangilia ugonjwa wa mtu, tusisahau kuwa tunapolea uandhishi kama huu tunalea tatizo lenyewe. Jeshi la polisi linapobagua wananchi kiutendaji linapelekea wananchi kuichukia serikali na viongozi wake.

Tunaiangamiza jamii yetu sisi wenyewe kwa ujinga wetu na kukosa maarifa, tunaacha kuwakemea wanaojulikana tunakimbilia kupambana na Kigogo wa Twita asiyejulikana.



Ni mzima wa Afya njema....Bwana ni mwema.......mbona hatangazi kazi anazofanya gizani huyu mteule wa Bwana?
 
Wamelikoroga lazima walinywe. Awamu hii imetia fora kuchchea ubaguzi na upendeleo. Sasa inakula kwao
 
Back
Top Bottom