- Thread starter
- #81
How?Hata kandanda ni dini kama ulikuwa haujui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How?Hata kandanda ni dini kama ulikuwa haujui.
Sababu hao waliozushiwa hawana uwezo wa kuwapa teuzi wachukua hatuaHao waliofanya kitendo hiki hawatachukuliwa hatua yeyote.
Mpuuzi wewe . Kuna mahusiano gani kati ya kinachozungumzwa hapa na dini ya mtu???? Unakuwa kama siyo mtu mzima bhana ???? ShetaniHabib Mchange ni dini gani?
Kuna dini kusema uongo kwa nia njema siyo dhambi bwashee!
Umenena vyema mkuuMagazetiyanafadhiliwa na kampuni ya ndege ya taifa ATCL (ambayo mkaguzi mkuu wa serikali haruhusiwi kuikagua), pia mashine ya kuyachapisha ziko kwenye jengo la usalama wa taifa halafu mnauliza kwanini hawachukuliwi hatua? Mmesahau hata Ex Waziri wa habari alishawahi kusema kuwa mmiliki wake hawawawezi kumchukulia hatua maana hakuna aliyemshtaki.
Rudia kusoma mada hata headlines tu ndo u commentYaani Tundu lissu, Mnyika, salum mwalim, Gwarugwa plus Faru John utegemee kupata taarifa reliable kweliiiiiiiiiiiiiiiiii du chadema majanga matupu. Hongera Halima &co kwa kujitambua, hata hivyo mmepoteza muda wenu sana huko