Waliozusha vifo vya Mbowe, Mrema, Maria Sarungi na leo mzee Sarungi wanajulikana

Waliozusha vifo vya Mbowe, Mrema, Maria Sarungi na leo mzee Sarungi wanajulikana

Tunapokubali kuwa sehemu ya utekelezaji wa mpango! Kongole ziende kwa mpangaji mkakati.

Nikikutusi ukacheka mimi niliyekutusi naumia zaidi kuliku niliyemtusi.

Itatuchukua muda Sana kuelewa na tutakapoelewa na mbinu zitakua zimebadilika na au pengine muda utakua umekwishe...
 
Wapinzani wanahaki ya kuzushiwa kifo ama kuuliwa kabisa lakini sio Miungu ya kijani
 
Yaani hizo gazeti za Musiba zinazidiwa manunuzi na toilet paper
 
Magazetiyanafadhiliwa na kampuni ya ndege ya taifa ATCL (ambayo mkaguzi mkuu wa serikali haruhusiwi kuikagua), pia mashine ya kuyachapisha ziko kwenye jengo la usalama wa taifa halafu mnauliza kwanini hawachukuliwi hatua? Mmesahau hata Ex Waziri wa habari alishawahi kusema kuwa mmiliki wake hawawawezi kumchukulia hatua maana hakuna aliyemshtaki.
Umenena vyema mkuu
 
Yaani Tundu lissu, Mnyika, salum mwalim, Gwarugwa plus Faru John utegemee kupata taarifa reliable kweliiiiiiiiiiiiiiiiii du chadema majanga matupu. Hongera Halima &co kwa kujitambua, hata hivyo mmepoteza muda wenu sana huko
 
Yaani Tundu lissu, Mnyika, salum mwalim, Gwarugwa plus Faru John utegemee kupata taarifa reliable kweliiiiiiiiiiiiiiiiii du chadema majanga matupu. Hongera Halima &co kwa kujitambua, hata hivyo mmepoteza muda wenu sana huko
Rudia kusoma mada hata headlines tu ndo u comment
 
Back
Top Bottom