Walipoanzisha Mpango wa biashara ya saa 24 Kariakoo walidhani nani atakesha na atamuuzia nani?

Walipoanzisha Mpango wa biashara ya saa 24 Kariakoo walidhani nani atakesha na atamuuzia nani?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kabla ya kuanzisha mpango huu sisi wengine tulidhani labda wangefanya utafiti wa kujua Wateja wa maduka ya kariakoo wanatoka wapi.

Ukijua wateja hao wanakotokea bila shaka utajua pia kama usafiri wa kuwaleta kariakoo usiku huo wa manane unapatikana.

Katika Nchi ambayo Usalama wa Raia siyo kipaumbele ni nani anaweza kutoka Mbagala, Bonyokwa, Mwanyamala kisiwani au Buza kwa Lulenge usiku mnene kwenda Kariakoo kununua bidhaa, Ili iweje?

Screenshot_2025-02-26-10-33-42-1.png
 
.....wako wale wanaopenda kufanya manunuzi kukiwa kumetulia.....

Jiji hili watanzania hawalali.....wewe wa Mbagala wahi usafiri urudi nyumbani....siye wa Upanga ,Posta ,Ilala na Kinondoni tumefurahi sana uamuzi huo kwani tumeshazoea "kuizururia kariakoo" mida mibovu ya usiku.....

Tuna imani kubwa na Kamanda Mafwele kutuimarishia ulinzi watanzania wenzake hapo Kariakoo...
 
Back
Top Bottom