Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Kudos BIBI !Sure kwa hili napongeza, ukienda hata usiku wa manane unanunua mzigo na kutembea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudos BIBI !Sure kwa hili napongeza, ukienda hata usiku wa manane unanunua mzigo na kutembea
PamojaKudos BIBI !
Nenda Petrol station 😄Nadhani ni jambo jema sn kufanya kazi 24hrs
Kamanda Mafwele yuko kila pahala hapo Kariakoo....Nani akabwe usiku usiku mitaa ya watu
Hivi mlishawahi kuunga mkono wazo lolote la serikali?Kabla ya kuanzisha mpango huu sisi wengine tulidhani labda wangefanya utafiti wa kujua Wateja wa maduka ya kariakoo wanatoka wapi.
Ukijua wateja hao wanakotokea bila shaka utajua pia kama usafiri wa kuwaleta kariakoo usiku huo wa manane unapatikana.
Katika Nchi ambayo Usalama wa Raia siyo kipaumbele ni nani anaweza kutoka Mbagala, Bonyokwa, Mwanyamala kisiwani au Buza kwa Lulenge usiku mnene kwenda Kariakoo kununua bidhaa, Ili iweje?
View attachment 3250226
Yetzer HaTov !Pamoja
Ngoja tusubiri muda upite, hili likomae kwanza tutaanza kwendaKamanda Mafwele yuko kila pahala hapo Kariakoo....
Yule kamanda mzalendo na mpiga kazi......hao VIBAKA salamu ziwafikie huko waliko......
Nikafanyaje?Nenda Petrol station 😄
....dadangu huyo hajawahi hata siku moja....yeye ni pingapinga tu kama wale wafuasi wa ile CUF.....Hivi mlishawahi kuunga mkono wazo lolote la serikali?
Mengi tu, yakiwemo mamilioni waliyoongezwa Wafanyakazi wa TanzaniaHivi mlishawahi kuunga mkono wazo lolote la serikali?
.... kariakoo tulivu ,jinafasi mwananchi mwenzangu....Ngoja tusubiri muda upite, hili likomae kwanza tutaanza kwenda
Ha ha ha haMengi tu, yakiwemo mamilioni waliyoongezwa Wafanyakazi wa Tanzania
Mkuu, unalinganisha vitu viwili visivyoendana...ila sio kitu kibaya kiongozi..ni kama usafiri wa mabasi ya usiku..now kila Mtanzania anaprefer kusafiri usiku..ni mwanzo mzuri..TUTAZOEA
יֵצֶר הַטּוֹבYetzer HaTov !
24hrsNikafanyaje?
Kwa hiyo na wao wanauza bidhaa za majumbani?24hrs
Toh-dah !יֵצֶר הַטּוֹב
תודהToh-dah !
Ukikabwa,Siasa zingine jau!Kabla ya kuanzisha mpango huu sisi wengine tulidhani labda wangefanya utafiti wa kujua Wateja wa maduka ya kariakoo wanatoka wapi.
Ukijua wateja hao wanakotokea bila shaka utajua pia kama usafiri wa kuwaleta kariakoo usiku huo wa manane unapatikana.
Katika Nchi ambayo Usalama wa Raia siyo kipaumbele ni nani anaweza kutoka Mbagala, Bonyokwa, Mwanyamala kisiwani au Buza kwa Lulenge usiku mnene kwenda Kariakoo kununua bidhaa, Ili iweje?
View attachment 3250226
Huwa huzioni min supermarket pembezoni hata ukiwa unajaza wese kwenye bodaboda yenu? 😄😄Kwa hiyo na wao wanauza bidhaa za majumbani?