Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Acha dharau natumia rangeHuwa huzioni min supermarket pembezoni hata ukiwa unajaza wese kwenye bodaboda yenu? 😄😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha dharau natumia rangeHuwa huzioni min supermarket pembezoni hata ukiwa unajaza wese kwenye bodaboda yenu? 😄😄
Kulipaswa kuhakikisha Usalama kwanza kabla ya jambo hili, kufunga Camera 40 kariakoo ikiwa sisi wateja tunaotokea vingunguti au Tandika Davis kona ni usanii wa kiwango cha chini sana.Mkuu, unalinganisha vitu viwili visivyoendana.
K/koo unatakiwa uzunguke duka moja mpaka duka lingine, una pesa kibindoni, wavuta bangi, vibaka ndo muda wao.
Magari ya usiku unamwita boda chap, daladala ➡️stand/ofisi unadaka bus.
Kama mchana tu vibaka wanapita na vitu, huo usiku itakuwaje?
... maendeleo yana gharama....tunapambana na gharama zake....nimepitia vijiwe viwili....wanamuongelea kamanda Mafwele.....wanasema VIBAKA na MAJAMBAZI wanamjua vyema huyo mwamba.....Ukikabwa,Siasa zingine jau!
Upo sahihi kabisa.Kulipaswa kuhakikisha Usalama kwanza kabla ya jambo hili, kufunga Camera 40 kariakoo ikiwa sisi wateja tunaotokea vingunguti au Tandika Davis kona ni usanii wa kiwango cha chini sana.
Usalama wa Raia Tanzania ni jambo lisilowezekana, kwa mfano game za usiku pale panapoitwa kwa Mkapa ni kiama, watu wanaporwa kila kitu na Askari wamejaa wanaangalia mpira
....wanasema kamanda Mafwele ameandaa mpango mzito dhidi ya wahalifu na VIBAKA hapo Kariakoo......Kulipaswa kuhakikisha Usalama kwanza kabla ya jambo hili, kufunga Camera 40 kariakoo ikiwa sisi wateja tunaotokea vingunguti au Tandika Davis kona ni usanii wa kiwango cha chini sana.
Usalama wa Raia Tanzania ni jambo lisilowezekana, kwa mfano game za usiku pale panapoitwa kwa Mkapa ni kiama, watu wanaporwa kila kitu na Askari wamejaa wanaangalia mpira
Pakizoeleka yote yataishaUpo sahihi kabisa.
Camera hazizuii mtu kutokuibiwa ila zitaonesha tukio baada ya mtu kuibiwa ama kuchinjwa.
Ulinzi ukiimarishwa vibaka hawatakuwa na nafasiMkuu, unalinganisha vitu viwili visivyoendana.
K/koo unatakiwa uzunguke duka moja mpaka duka lingine, una pesa kibindoni, wavuta bangi, vibaka ndo muda wao.
Magari ya usiku unamwita boda chap, daladala ➡️stand/ofisi unadaka bus.
Kama mchana tu vibaka wanapita na vitu, huo usiku itakuwaje?
Hakika hakika hakika...mwanzo ni mgumu....Pakizoeleka yote yataisha
💯💯Pakizoeleka yote yataisha
Kwa hili jampo ni nzuri ni kama mabasi ya usiku watu wamezoea vizuri snHakika hakika hakika...mwanzo ni mgumu....
Yule kamanda asiyecheka na vibaka na mijambazi kamanda Mafwele yuko kazini....Ulinzi ukiimarishwa vibaka hawatakuwa na nafasi
Mpaka sasa nani ameibiwa usiku?💯💯
Lakini uzingatiwe usalama kwanza.
Inawezekana ipo kwenye plan lakini halijawekwa wazi.
Sure mkuu wangu !Na wakiweka camera za ulinzi mitaa yote itasiaidia kuboresha zaidi!
Tunaweza hata bila MafweleYule kamanda asiyecheka na vibaka na mijambazi kamanda Mafwele yuko kazini....
Ni maoni tu mkuu.Mpaka sasa nani ameibiwa usiku?
Ni kweli...Mafwele naye yupo pia...humtaki kaka ?!!Tunaweza hata bila Mafwele
Sure!Kwa hili jampo ni nzuri ni kama mabasi ya usiku watu wamezoea vizuri sn
Ni swala la muda tu.Kabla ya kuanzisha mpango huu sisi wengine tulidhani labda wangefanya utafiti wa kujua Wateja wa maduka ya kariakoo wanatoka wapi.
Ukijua wateja hao wanakotokea bila shaka utajua pia kama usafiri wa kuwaleta kariakoo usiku huo wa manane unapatikana.
Katika Nchi ambayo Usalama wa Raia siyo kipaumbele ni nani anaweza kutoka Mbagala, Bonyokwa, Mwanyamala kisiwani au Buza kwa Lulenge usiku mnene kwenda Kariakoo kununua bidhaa, Ili iweje?
View attachment 3250226