Walipoanzisha Mpango wa biashara ya saa 24 Kariakoo walidhani nani atakesha na atamuuzia nani?

Walipoanzisha Mpango wa biashara ya saa 24 Kariakoo walidhani nani atakesha na atamuuzia nani?

Mkuu, unalinganisha vitu viwili visivyoendana.

K/koo unatakiwa uzunguke duka moja mpaka duka lingine, una pesa kibindoni, wavuta bangi, vibaka ndo muda wao.

Magari ya usiku unamwita boda chap, daladala ➡️stand/ofisi unadaka bus.

Kama mchana tu vibaka wanapita na vitu, huo usiku itakuwaje?
Kulipaswa kuhakikisha Usalama kwanza kabla ya jambo hili, kufunga Camera 40 kariakoo ikiwa sisi wateja tunaotokea vingunguti au Tandika Davis kona ni usanii wa kiwango cha chini sana.

Usalama wa Raia Tanzania ni jambo lisilowezekana, kwa mfano game za usiku pale panapoitwa kwa Mkapa ni kiama, watu wanaporwa kila kitu na Askari wamejaa wanaangalia mpira huku Muliro akiwa meza kuu akishabikia timu yake ya Yanga
 
Kulipaswa kuhakikisha Usalama kwanza kabla ya jambo hili, kufunga Camera 40 kariakoo ikiwa sisi wateja tunaotokea vingunguti au Tandika Davis kona ni usanii wa kiwango cha chini sana.

Usalama wa Raia Tanzania ni jambo lisilowezekana, kwa mfano game za usiku pale panapoitwa kwa Mkapa ni kiama, watu wanaporwa kila kitu na Askari wamejaa wanaangalia mpira
Upo sahihi kabisa.
Camera hazizuii mtu kutokuibiwa ila zitaonesha tukio baada ya mtu kuibiwa ama kuchinjwa.
 
Kulipaswa kuhakikisha Usalama kwanza kabla ya jambo hili, kufunga Camera 40 kariakoo ikiwa sisi wateja tunaotokea vingunguti au Tandika Davis kona ni usanii wa kiwango cha chini sana.

Usalama wa Raia Tanzania ni jambo lisilowezekana, kwa mfano game za usiku pale panapoitwa kwa Mkapa ni kiama, watu wanaporwa kila kitu na Askari wamejaa wanaangalia mpira
....wanasema kamanda Mafwele ameandaa mpango mzito dhidi ya wahalifu na VIBAKA hapo Kariakoo......
 
Mkuu, unalinganisha vitu viwili visivyoendana.

K/koo unatakiwa uzunguke duka moja mpaka duka lingine, una pesa kibindoni, wavuta bangi, vibaka ndo muda wao.

Magari ya usiku unamwita boda chap, daladala ➡️stand/ofisi unadaka bus.

Kama mchana tu vibaka wanapita na vitu, huo usiku itakuwaje?
Ulinzi ukiimarishwa vibaka hawatakuwa na nafasi
 
Kabla ya kuanzisha mpango huu sisi wengine tulidhani labda wangefanya utafiti wa kujua Wateja wa maduka ya kariakoo wanatoka wapi.

Ukijua wateja hao wanakotokea bila shaka utajua pia kama usafiri wa kuwaleta kariakoo usiku huo wa manane unapatikana.

Katika Nchi ambayo Usalama wa Raia siyo kipaumbele ni nani anaweza kutoka Mbagala, Bonyokwa, Mwanyamala kisiwani au Buza kwa Lulenge usiku mnene kwenda Kariakoo kununua bidhaa, Ili iweje?

View attachment 3250226
Ni swala la muda tu.

Wanunuzi wa rejareja haiwezekani kwa kuwa muda huo wa usiku wanakuwa wamepumzika kwa usingizi. Lakini kwa wanunuzi wa jumla usiku ni muda mzuri kufuata mzigo kariakoo. Mchana inaweza kuwa kufanya malipo lakini usiku kupakia mzigo kwa kuwa msongamano wa watu na magari unakuwa umepungua. Serikali ikiamua kuweka wapiga doria eneo hilo pekee kama inavyofanywa kwenye viwanja vya mpira kwa usalama wa raia mambo yataenda. Kupitia tozo za soko posho zitapatikana kwa ajili ya polisi wa usalama wakati wa usiku. Huu ni mwanzo mzuri
 
Waimalishe ulinzi kwanza ,madefenda ya patrol yawe mengi ,control room za survillance ziwe active na nyingi ,mwendokasi zipige kazi usiku 24hrs na asubuhi hizo gari zipumzike kwa ajili ya performance.
 
Back
Top Bottom