Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tunawatakieni kila la heriNi suala la muda watu watazoea.
AsanteTunawatakieni kila la heri
Inasikitisha sanaWalitufungia Bar wakaona tunafaidi sasa Kiko wapi?
Unacheza wewe!Ni suala la muda watu watazoea.
Kafulila anawalipa bei gani kumpamba na anazitoa wapi?Ubunifu wa Kafulila 😄
Kariakoo mawinga ni Wengi kuliko Wateja 🐼Ni suala la muda watu watazoea.
Anazitoa Desderia 😂🔥Kafulila anawakipa bei gani kumpamba na anazitoa wapi?
Kutoka mabasi 400 hadi kufikia mabasi matano unadhani ni rahisi?Na mwendokasi ipige kazi 24hrs,
Sure kwa hili napongeza, ukienda hata usiku wa manane unanunua mzigo na kutembeaNi suala la muda watu watazoea.
Aibu tupuKutoka mabasi 400 hadi kufikia mabasi matano unadhani ni rahisi?
Nadhani ni jambo jema sn kufanya kazi 24hrsKariakoo mawinga ni Wengi kuliko Wateja 🐼