Walipoanzisha Mpango wa biashara ya saa 24 Kariakoo walidhani nani atakesha na atamuuzia nani?

Hivi mlishawahi kuunga mkono wazo lolote la serikali?
 
..ila sio kitu kibaya kiongozi..ni kama usafiri wa mabasi ya usiku..now kila Mtanzania anaprefer kusafiri usiku..ni mwanzo mzuri..TUTAZOEA
Mkuu, unalinganisha vitu viwili visivyoendana.

K/koo unatakiwa uzunguke duka moja mpaka duka lingine, una pesa kibindoni, wavuta bangi, vibaka ndo muda wao.

Magari ya usiku unamwita boda chap, daladala ➡️stand/ofisi unadaka bus.

Kama mchana tu vibaka wanapita na vitu, huo usiku itakuwaje?
 
Ukikabwa,Siasa zingine jau!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…