B batalion Member Joined Mar 20, 2024 Posts 76 Reaction score 70 Feb 26, 2025 #81 Mtemi Mbojo said: ..ila sio kitu kibaya kiongozi..ni kama usafiri wa mabasi ya usiku..now kila Mtanzania anaprefer kusafiri usiku..ni mwanzo mzuri..TUTAZOEA Click to expand... Usafiri kwa sisi wahenga, tunajua ulikuwepo tangu siku nyingi kabla haujapigwa marufuku. Karibu mabasi yote ya safari ndefu yalisafiri usiku. Kwa hiyo usarishaji usiku si mgeni, lakini biashara kwa usiku sijui kama itafaniwe. Let's wait and see
Mtemi Mbojo said: ..ila sio kitu kibaya kiongozi..ni kama usafiri wa mabasi ya usiku..now kila Mtanzania anaprefer kusafiri usiku..ni mwanzo mzuri..TUTAZOEA Click to expand... Usafiri kwa sisi wahenga, tunajua ulikuwepo tangu siku nyingi kabla haujapigwa marufuku. Karibu mabasi yote ya safari ndefu yalisafiri usiku. Kwa hiyo usarishaji usiku si mgeni, lakini biashara kwa usiku sijui kama itafaniwe. Let's wait and see