Wallace Karia mwisho wake umefika

Wallace Karia mwisho wake umefika

Ali mayai anahangaika sana na pia analazimisha kuwa kiongozi kwakudanganywa ni mchezaji msomi na elimu yake ya diploma.
Aligombea yanga ujumbe wa kamati ya utendaji akashinda baadae akajiuzulu,
akagombea tena sidhani kama alishinda, juzijuzi kaenguliwa uenyekiti wa Spotanza binafsi naona hana jipya.
 
Abas Tarimba na Mayai watu pekee wenye msuli wa kumshinda Karia na hao wengine.
Ila mimi binafsi natamani Karia ashinde.
Abbas Tarimba ana kipi cha kumsumbua Karia, kwanza hana vigezo kwa kuwa mkurugenzi wa Betting
 
Back
Top Bottom