Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Apa nasikiliza kibao cha konde boy Cha Magufuli (Magufuli cheza nikuone) alo!! msitengeneze video zenu za kinafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi mnaita video za kinafiki, mliposhangilia alipokuwa anaongea utumbo mlifikiria nini?Apa nasikiliza kibao cha konde boy Cha Magufuli (Magufuli cheza nikuone) alo!! msitengeneze video zenu za kinafiki
Ile kauli aliyomuuliza mwanaume mwenzake eti amemuota wakiwa wote kitandani? Ni kauli chafu kutolewa na Rais wa nchi hata kama ni utani! Nilipoisikia nilikasirika sana!Matukio/kauli zilizonidhihirishia kuwa JPM anaumwa:
1. Kuna mwana usalama mmoja alichomekwa kuuliza/kutoa duku duku ile kujichanganya akadai alimuota JPM... JPM akamuuliza kama alimuota wakiwa kitandani?
2. Kuna siku akamuozesha Mama yake mzazi kwa mzee alomtunuku jogoo...
3. Kuna siku alimuuliza mama mmoja anataka apanuliwe wapi...
4. Kuna siku akawaonya waandishi kuwa hawana Uhuru tu that extent...
5. Kuna siku akaamuru mtu anayehoji hoji mambo yaani msaliti afanywe kama wanavyofanya vitani...
6. Kuna siku aliahidi kuwapiga dada, Shangazi na mama zetu...
7.
8.
Ata mimi siwez mpa kura yangu yeyote mwenye kauli kama iziBinafsi kura yangu ni kitu muhimu sana. Kabla sijampa mtu huwa natafakari kwa kina na siwezi kupiga kura kwa mihemko. Siwezi kumpigia kura mgombea mwenye kauli kama hii.
View attachment 1580494
Hii sasa kali?
Ile kauli aliyomuuliza mwanaume mwenzake eti amemuota wakiwa wote kitandani? Ni kauli chafu kutolewa na Rais wa nchi hata kama ni utani! Nilipoisikia nilikasirika sana!
Kwa haya yanayojitokeza katika kampeni zinazoendelea... na yatakayotokea kura zitakapopigwa...Binafsi kura yangu ni kitu muhimu sana. Kabla sijampa mtu huwa natafakari kwa kina na siwezi kupiga kura kwa mihemko. Siwezi kumpigia kura mgombea mwenye kauli kama hii.
View attachment 1580494
No wonder anatuhumiwa kula rambirambi!
Wanaumbuana sasa!!
Roho ya kutojali shida na mateso ya watu wengine!Majizi ndivyo yalivyo hata rambi rambi yanatia ndani bila woga wala aibu!
Roho ya kutojali shida na mateso ya watu wengine!
Hasira abakie nazo,awapatie kibano Bashiru,Polepole,Kabudi,Mangula,Majaliwa,Jaffo&co.Kuna mmoja wao lazima jumba bovu limkandamize siku si nyingi.Tunataka kila hoja ijibiwe kwa ufasaha,onyesheni documents hadi za Twiga Company.Mtandao hau danganyi mzee kauli zake zina mshambulia mwenyewe ana tamani kujikana
Inashangaza mno!Ana tamaa kuliko hata za MAFISI!
Aisee hapana,,aliongea hivi??.duuh kazi tunayoIle kauli aliyomuuliza mwanaume mwenzake eti amemuota wakiwa wote kitandani? Ni kauli chafu kutolewa na Rais wa nchi hata kama ni utani! Nilipoisikia nilikasirika sana!
Duuh hii sijawahi isikia hii, ndio leo.Ile kauli aliyomuuliza mwanaume mwenzake eti amemuota wakiwa wote kitandani? Ni kauli chafu kutolewa na Rais wa nchi hata kama ni utani! Nilipoisikia nilikasirika sana!
Masare yasambukire ( kirangi).Wameparanganyika , Amang'ana gasarikile !
Hata Mie hebu tuwekeeni tupate burudani.Duuh hii sijawahi isikia hii, ndio leo.