Uchaguzi 2020 Wallah siwezi kumpigia kura mtu mwenye kauli kama hizi, labda nichanganyikiwe

Uchaguzi 2020 Wallah siwezi kumpigia kura mtu mwenye kauli kama hizi, labda nichanganyikiwe

Kwa kuiba sawa...CCM wataiba wee mwishowe wataanza kuibiana. Kwa miaka mitano wanajiimarisha kwa wizi na yawezekana wamefuzu kabisa na kupata vyeti lakini wasisahau za mwizi ni arobaini!
. Lissu mwnyw anaelewa kua hashind
 
Hajanikosea! binafsi.... but hayuko moyoni kabisaa! na nisivo penda Africa rangi nyeusi mpauko???? yaani ashinde asishinde sijwahi kumpenda huyu mtu kabisaaa! pamoja na mazuri yake yoote! hivi anavoongea upupu ndo kabisaa.

Tanzania bahati mbaya wajinga ni wengi sana kuliko wenye akili zao. lkn wanaelewa msimpe kura hata akiiba, hivi kwanini COVID-19 haimpati Mungu nisamehe!
 
. Lissu mwnyw anaelewa kua hashind
Andika vizuri basi, unakimbilia wapi? Au unawahi usije ukachelewa hapa...
hongoCCM.jpg


Kwa CCM rushwa ni oxygen, bila rushwa itakufa. Haya wahi ndugu yangu Labani og, nisije nikakukosesha mgao!
 
Huyu jamaa watu wake wakipata shida Kama njaa huwa anawaita wavivu na hakuna chakula Cha njaa eti walizoezwa vibaya,mtu wa ajabu kweli Ila kwa jirani wa mbali anapeleka kwa Nini watu wasiamini kwamba hizo ni njia za kupigia pesa kwa mgongo wa msaada?
 
"Mimi mtu akinishauri ndio ameharibu kabisa maana sitofanya kile anachonishauri".

Rais.John Magufuli

"Hata kama wagombea ubunge wa upinzani ni wazuri msiwape kura".

Rais magufuli 2020.

Huyu mtu hatufai watanzania.
Na sio tu kwamba hafai, ni adui mkubwa wa taifa letu! Anavunja misingi ya taifa letu.
 
Mara Baada ya kuchaguliwa kua Rais
Mama yake aliwaambia waandishi wa Habari waliomtembelea chato
'' Hivi mmemchagua Joni Yee mtakoma''
Hio ni kauli ya mama yake mzazi
Mwaka Jana wakati anapita igunga mwananchi mwanaume alimwambia
' 'Rais mambo magumu tafadhali achia pesa kidogo
Akajibiwa kwa kisukuma kama unataka hela nenda kaolewe
Tafakari mwenyewe huyu Ndio Rais unaenda kummpa kura yako?

huyo aliyeomba hela iachiwe ni aina ya mashabiki wa chadema.[emoji23][emoji23]

jibu lilimfaa sana,unaomba hela mwanaume!!!!
 
Vilio vya kushindwa vinaendelea ,

Tuna upinzani dhaifu na usio na dira.
 
Back
Top Bottom