Uchaguzi 2020 Wallah siwezi kumpigia kura mtu mwenye kauli kama hizi, labda nichanganyikiwe

Uchaguzi 2020 Wallah siwezi kumpigia kura mtu mwenye kauli kama hizi, labda nichanganyikiwe

Magufuli anashinda asubuhiiiii
Kwa kuiba sawa...CCM wataiba wee mwishowe wataanza kuibiana. Kwa miaka mitano wanajiimarisha kwa wizi na yawezekana wamefuzu kabisa na kupata vyeti lakini wasisahau za mwizi ni arobaini!
 
Watanzania tupo zaid ya million 50
Let's say Wapga kura million 49
Ukitoa kura 2000 za jf
Magu anapata kura 48,999998

Magufuli anashinda asubuhiiiii
Mliota naye pamoja kitandani atashinda??!
 
Matukio/kauli zilizonidhihirishia kuwa JPM anaumwa:
1. Kuna mwana usalama mmoja alichomekwa kuuliza/kutoa duku duku ile kujichanganya akadai alimuota JPM... JPM akamuuliza kama alimuota wakiwa kitandani?
2. Kuna siku akamuozesha Mama yake mzazi kwa mzee alomtunuku jogoo...
3. Kuna siku alimuuliza mama mmoja anataka apanuliwe wapi...
4. Kuna siku akawaonya waandishi kuwa hawana Uhuru tu that extent...
5. Kuna siku akaamuru mtu anayehoji hoji mambo yaani msaliti afanywe kama wanavyofanya vitani...
6. Kuna siku aliahidi kuwapiga dada, Shangazi na mama zetu...
7.
8.


28.10.2020 tuna Jambo letu...!!
Hii ya mwaka huu hawawezi kuiba wakatangazwa washindi na wananchi wakawavumilia...
#Sasa Basi!
Tutampa jpm wewe kaaaa na kelele zakooo sawaaa
 
Binafsi kura yangu ni kitu muhimu sana. Kabla sijampa mtu huwa natafakari kwa kina na siwezi kupiga kura kwa mihemko. Siwezi kumpigia kura mgombea mwenye kauli kama hii.

View attachment 1580494

sasa we jamaa, kakura kamoja unafungua thread
1601053870799.png


hapo vp?
 
Nyuma yako ikipata tatizo huwezi litatua kwa vile sio wewe uliolileta ila likitokea kwa jirani unakuwa wa kwanza kwenda kulitatua maajabu haya....only in TZ.
 
Binafsi kura yangu ni kitu muhimu sana. Kabla sijampa mtu huwa natafakari kwa kina na siwezi kupiga kura kwa mihemko. Siwezi kumpigia kura mgombea mwenye kauli kama hii.

View attachment 1580494
Mara Baada ya kuchaguliwa kua Rais
Mama yake aliwaambia waandishi wa Habari waliomtembelea chato
'' Hivi mmemchagua Joni Yee mtakoma''
Hio ni kauli ya mama yake mzazi
Mwaka Jana wakati anapita igunga mwananchi mwanaume alimwambia
' 'Rais mambo magumu tafadhali achia pesa kidogo
Akajibiwa kwa kisukuma kama unataka hela nenda kaolewe
Tafakari mwenyewe huyu Ndio Rais unaenda kummpa kura yako?
 
Ile kauli aliyomuuliza mwanaume mwenzake eti amemuota wakiwa wote kitandani? Ni kauli chafu kutolewa na Rais wa nchi hata kama ni utani! Nilipoisikia nilikasirika sana!
Clip hii inapatikana wapi?
 
Mara Baada ya kuchaguliwa kua Rais
Mama yake aliwaambia waandishi wa Habari waliomtembelea chato
'' Hivi mmemchagua Joni Yee mtakoma''
Hio ni kauli ya mama yake mzazi
Mwaka Jana wakati anapita igunga mwananchi mwanaume alimwambia
' 'Rais mambo magumu tafadhali achia pesa kidogo
Akajibiwa kwa kisukuma kama unataka hela nenda kaolewe
Tafakari mwenyewe huyu Ndio Rais unaenda kummpa kura yako?
Huyu ni Rais 'muhuni' kuliko hata yule Rais wa manzese.
 
Back
Top Bottom