Kwa kuiba sawa...CCM wataiba wee mwishowe wataanza kuibiana. Kwa miaka mitano wanajiimarisha kwa wizi na yawezekana wamefuzu kabisa na kupata vyeti lakini wasisahau za mwizi ni arobaini!Magufuli anashinda asubuhiiiii
Mliota naye pamoja kitandani atashinda??!Watanzania tupo zaid ya million 50
Let's say Wapga kura million 49
Ukitoa kura 2000 za jf
Magu anapata kura 48,999998
Magufuli anashinda asubuhiiiii
Unawewesekamkuu wewe ndio unaumwa.
Tangu ammimbalize shemeji yake toka nitoke na mke wake nimemdharau sana. Halafu kashindwa kumtetea kwenye issue ya vyeti fake
Anaongoza nchi wewe unasema hafai hata kuwa kiongoz wa familia kweli wewe chiziHafai hata kuongoza familia
Tutampa jpm wewe kaaaa na kelele zakooo sawaaaMatukio/kauli zilizonidhihirishia kuwa JPM anaumwa:
1. Kuna mwana usalama mmoja alichomekwa kuuliza/kutoa duku duku ile kujichanganya akadai alimuota JPM... JPM akamuuliza kama alimuota wakiwa kitandani?
2. Kuna siku akamuozesha Mama yake mzazi kwa mzee alomtunuku jogoo...
3. Kuna siku alimuuliza mama mmoja anataka apanuliwe wapi...
4. Kuna siku akawaonya waandishi kuwa hawana Uhuru tu that extent...
5. Kuna siku akaamuru mtu anayehoji hoji mambo yaani msaliti afanywe kama wanavyofanya vitani...
6. Kuna siku aliahidi kuwapiga dada, Shangazi na mama zetu...
7.
8.
28.10.2020 tuna Jambo letu...!!
Hii ya mwaka huu hawawezi kuiba wakatangazwa washindi na wananchi wakawavumilia...
#Sasa Basi!
Binafsi kura yangu ni kitu muhimu sana. Kabla sijampa mtu huwa natafakari kwa kina na siwezi kupiga kura kwa mihemko. Siwezi kumpigia kura mgombea mwenye kauli kama hii.
View attachment 1580494
Hafai hata kuwa kiongozi wa bweni la watoto wa form 2B.Hafai hata kuongoza familia
Mara Baada ya kuchaguliwa kua RaisBinafsi kura yangu ni kitu muhimu sana. Kabla sijampa mtu huwa natafakari kwa kina na siwezi kupiga kura kwa mihemko. Siwezi kumpigia kura mgombea mwenye kauli kama hii.
View attachment 1580494
Clip hii inapatikana wapi?Ile kauli aliyomuuliza mwanaume mwenzake eti amemuota wakiwa wote kitandani? Ni kauli chafu kutolewa na Rais wa nchi hata kama ni utani! Nilipoisikia nilikasirika sana!
Huyu ni Rais 'muhuni' kuliko hata yule Rais wa manzese.Mara Baada ya kuchaguliwa kua Rais
Mama yake aliwaambia waandishi wa Habari waliomtembelea chato
'' Hivi mmemchagua Joni Yee mtakoma''
Hio ni kauli ya mama yake mzazi
Mwaka Jana wakati anapita igunga mwananchi mwanaume alimwambia
' 'Rais mambo magumu tafadhali achia pesa kidogo
Akajibiwa kwa kisukuma kama unataka hela nenda kaolewe
Tafakari mwenyewe huyu Ndio Rais unaenda kummpa kura yako?
. Hapna mkuu subiri utaonaMliota naye pamoja kitandani atashinda??!
Tafuta kwenye you tubeClip hii inapatikana wapi?
Kwa katiba hii hata wewe 'zwazwa' unao uwezo wa kuongoza hii nchi ya kusadikikaAnaongoza nchi wewe unasema hafai hata kuwa kiongoz wa familia kweli wewe chizi
Takwimu hizo umezipatia wapi?Watanzania tupo zaid ya million 50
Let's say Wapga kura million 49
Ukitoa kura 2000 za jf
Magu anapata kura 48,999998
Magufuli anashinda asubuhiiiii
Kwa hiyo wewe akili kubwa katiba ,ndio inachagua viongoz wa nchi ,Kwa katiba hii hata wewe 'zwazwa' unao uwezo wa kuongoza hii nchi ya kusadikika
Chukua form tukuchague basiiiiHuyu ni Rais 'muhuni' kuliko hata yule Rais wa manzese.
Ukikua utaelewa, kwa sasa bado upo kwenye usingizi mzito!Kwa hiyo wewe akili kubwa katiba ,ndio inachagua viongoz wa nchi ,
Aisee kwa hiyoo hapo ndio na wewe umekuwa na kuamka ,jpm atashinda kwa kimbungaUkikua utaelewa, kwa sasa bado upo kwenye usingizi mzito!
Endelea kulala.