. Lissu mwnyw anaelewa kua hashindKwa kuiba sawa...CCM wataiba wee mwishowe wataanza kuibiana. Kwa miaka mitano wanajiimarisha kwa wizi na yawezekana wamefuzu kabisa na kupata vyeti lakini wasisahau za mwizi ni arobaini!
. Amna mkuu hizo ni errors ndogo ndogo but hao tuliwafyeka hatuwapitsha mbnaAndika vizuri basi, unakimbilia wapi? Au unawahi usije ukachelewa hapa...
View attachment 1580838
Kwa CCM rushwa ni oxygen, bila rushwa itakufa. Haya wahi ndugu yangu Labani og, nisije nikakukosesha mgao!
Na sio tu kwamba hafai, ni adui mkubwa wa taifa letu! Anavunja misingi ya taifa letu."Mimi mtu akinishauri ndio ameharibu kabisa maana sitofanya kile anachonishauri".
Rais.John Magufuli
"Hata kama wagombea ubunge wa upinzani ni wazuri msiwape kura".
Rais magufuli 2020.
Huyu mtu hatufai watanzania.
Aiseee hata saa mbovu kuna muda husema ukweli.
Binafsi kura yangu ni kitu muhimu sana. Kabla sijampa mtu huwa natafakari kwa kina na siwezi kupiga kura kwa mihemko. Siwezi kumpigia kura mgombea mwenye kauli kama hii.
View attachment 1580494
Nimeona !Tafuta kwenye you tube
Hatufai. Huyu ni was kuogopa kama ukoma!Msema kweli ni mpenzi wa Mungu,hata mie siwezi kwa kweli!
Mara Baada ya kuchaguliwa kua Rais
Mama yake aliwaambia waandishi wa Habari waliomtembelea chato
'' Hivi mmemchagua Joni Yee mtakoma''
Hio ni kauli ya mama yake mzazi
Mwaka Jana wakati anapita igunga mwananchi mwanaume alimwambia
' 'Rais mambo magumu tafadhali achia pesa kidogo
Akajibiwa kwa kisukuma kama unataka hela nenda kaolewe
Tafakari mwenyewe huyu Ndio Rais unaenda kummpa kura yako?
Nimemisi Post za Lemutuz sana hivi jamaa yupo kweli ama baada ya RC kuhenguliwa naye akawa ameondoka naye. Mzee wa down town you know Bongo Tambaralee na mabebez you know nyie wa uswekeni huko tulieni. Guys ni ijumaa nipo Five Star Hotel you know
Hii post idumu mileleAtapigiwa kura na Ndaishiye na ndugu zake wa Burundi View attachment 1580943View attachment 1580945View attachment 1580946