Waloliondo kufurushwa wenye ardhi ya mababu zao ni kielelezo cha ubovu wa katiba yetu

Waloliondo kufurushwa wenye ardhi ya mababu zao ni kielelezo cha ubovu wa katiba yetu

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kama katiba ingelikuwa nzuri. Wa-Loliondo wasingeondoka kwenye ardhi ya mababu zao. Zuio la kimahakama lingewekwa na rais angeburuzwa mahakamani.

Lakn katiba yetu inamlinda rais kuhojiwa na kushitakiwa na chombo chochote kwa kosa lolote atakalolitenda akiwa anatekeleza kazi zake za urais.

Yaani rais Samia anaweza kushitakiwa na mumewe kwa kutofua nguo na kuosha vyombo nyumbani lkn akiharibu kazi ya urais haguswi. Hatari Sana!

Kwa katiba hii atatokea rais chizi awafurushe watu wa kabila fulani waondoke nchi hii. Kama ilivyotokea kwa warohingya kule Myamar.

  Tu
tengeneze katiba nzuri yenye meno inayojilinda yenyewe. Asiwepo mtu wa kucheza na katiba. Iwe inamkata kila anayejaribu kuigusa vibaya.
 
Kama katiba ingelikuwa nzuri. Wa-Loliondo wasingeondoka kwenye ardhi ya mababu zao. Zuio la kimahakama lingewekwa na rais angeburuzwa mahakamani.

Lakn katiba yetu inamlinda rais kuhojiwa na kushitakiwa na chombo chochote kwa kosa lolote atakalolitenda akiwa anatekeleza kazi zake za urais.

Yaani rais Samia anaweza kushitakiwa na mumewe kwa kutofua nguo na kuosha vyombo nyumbani lkn akiharibu kazi ya urais haguswi. Hatari Sana!

Kwa katiba hii atatokea rais chizi awafurushe watu wa kabila fulani waondoke nchi hii. Kama ilivyotokea kwa warohingya kule Myamar.

  Tu
tengeneze katiba nzuri yenye meno inayojilinda yenyewe. Asiwepo mtu wa kucheza na katiba. Iwe inamkata kila anayejaribu kuigusa vibaya.

Uwepo wa Katiba nzuri ni kitu kimoja, na utashi wa kuiheshimu na kuilinda hiyo Katiba ni kitu kingine.

Laiti siku moja ingetokea miujiza; Watanzania wote wakaamka wako UK, wakaambiwa, “kuanzia leo nyie ni wa hapa na vyote vilivyopo hapa (including sheria na vitu vingine) ni vyenu, na Waingereza nao wakaamka wako Tanzania, huku nao wakiambiwa, “kuanzia leo nyie ni wa hapa na vyote vilivyopo hapa (including sheria na vitu vingine) ni vyenu”, trust me, baada ya miaka kumi, UK ya sasa itakuwa new Tanzania na Tanzania ya sasa itakuwa new UK!
 
Hawa wazanzibar mpaka watoke madarakani, tanganyika itakuwa hoi bin taabani.
 
Uwepo wa Katiba nzuri ni kitu kimoja, na utashi wa kuiheshimu na kuilinda hiyo Katiba ni kitu kingine.
Kuiheshimu katiba nzuri hakutegemei utashi. Katiba mbovu ndiyo huwa zinatoa mwanya wa mtu kuchezea katiba.

Katiba ikiwa nzuri maana yake inakuwa imejengewa mifumo imara ya kujilinda na kuilinda. Hakutakuwa na mtu ambaye yuko juu ya katiba kiasi cha kutegemea utashi wake ili kulinda katiba.
 
Hawa wazanzibar mpaka watoke madarakani, tanganyika itakuwa hoi bin taabani.
Kwa katiba hii mtu anaweza kuiuza Tanganyika halafu akaenda kuishi zake Zanzibar ama Oman na asishitaiiwe popote wala kuhojiwa.
 
Kuiheshimu katiba nzuri hakutegemei utashi. Katiba mbovu ndiyo huwa zinatoa mwanya wa mtu kuchezea katiba.

Katiba ikiwa nzuri maana yake inakuwa imejengewa mifumo imara ya kujilinda na kuilinda. Hakutakuwa na mtu ambaye yuko juu ya katiba kiasi cha kutegemea utashi wake ili kulinda katiba.

Hakuna katiba yenye uwezo wa kujilinda yenyewe, hata kama ingekuwa nzuri kiasi gani. Hivi unajua Marekani iliponea chupuchupu baada ya 2020 General Elections? Yaani kama Rudy Giuliani ndiye angekuwa VP wakati huo, Marekani sasa hivi ingekuwa haina tofauti yoyote na African dictatorships!
 
Kama katiba ingelikuwa nzuri. Wa-Loliondo wasingeondoka kwenye ardhi ya mababu zao. Zuio la kimahakama lingewekwa na rais angeburuzwa mahakamani.

Lakn katiba yetu inamlinda rais kuhojiwa na kushitakiwa na chombo chochote kwa kosa lolote atakalolitenda akiwa anatekeleza kazi zake za urais.

Yaani rais Samia anaweza kushitakiwa na mumewe kwa kutofua nguo na kuosha vyombo nyumbani lkn akiharibu kazi ya urais haguswi. Hatari Sana!

Kwa katiba hii atatokea rais chizi awafurushe watu wa kabila fulani waondoke nchi hii. Kama ilivyotokea kwa warohingya kule Myamar.

  Tu
tengeneze katiba nzuri yenye meno inayojilinda yenyewe. Asiwepo mtu wa kucheza na katiba. Iwe inamkata kila anayejaribu kuigusa vibaya.
Nyoosha maelezo maana ni waislamu ndio walifurushwa na kuuwawa unampendekeza kiongozi yupi ambae atatimiza malengo yako
 
Kama katiba ingelikuwa nzuri. Wa-Loliondo wasingeondoka kwenye ardhi ya mababu zao. Zuio la kimahakama lingewekwa na rais angeburuzwa mahakamani.

Lakn katiba yetu inamlinda rais kuhojiwa na kushitakiwa na chombo chochote kwa kosa lolote atakalolitenda akiwa anatekeleza kazi zake za urais.

Yaani rais Samia anaweza kushitakiwa na mumewe kwa kutofua nguo na kuosha vyombo nyumbani lkn akiharibu kazi ya urais haguswi. Hatari Sana!

Kwa katiba hii atatokea rais chizi awafurushe watu wa kabila fulani waondoke nchi hii. Kama ilivyotokea kwa warohingya kule Myamar.

  Tu
tengeneze katiba nzuri yenye meno inayojilinda yenyewe. Asiwepo mtu wa kucheza na katiba. Iwe inamkata kila anayejaribu kuigusa vibaya.
Hili la katiba imekuwa kama la Urussi na Ukraine, au COVID-19, yanayotupiwa kila lawama hata zisizohusika.

Haya yanayofanywa na watawala hawa wa CCM wala hata halihitaji kuwa na katiba.
Hawa watu wanatumia mwanya wa upole/ ujinga/upumbavu wa waTanzania kufanya lolote wanalotaka kufanya, wakijua hakuna mtu wa kuhoji matendo yao.

Walete wakenya hapa, uone kama hawa wapumbavu wataachwa kufanya upuuzi wanaowafanyia waTanzania, hata bila ya kubadili hiyo katiba.
 
Kwahiyo wamasai hawana mababu?
Wa masai walitelekezwa na waarabu wakati wakisafirisha watumwa kuelekea bagamoyo sokoni, walitolewa huko pokot kaskazini mwa kenya
 
Wa masai walitelekezwa na waarabu wakati wakisafirisha watumwa kuelekea bagamoyo sokoni, walitolewa huko pokot kaskazini mwa kenya
Wewe na historia usioijua historia jahazi yabarikiwa na papa kuelekea ulaya mbona husemi ukweli
 
Kama katiba ingelikuwa nzuri. Wa-Loliondo wasingeondoka kwenye ardhi ya mababu zao. Zuio la kimahakama lingewekwa na rais angeburuzwa mahakamani.

Lakn katiba yetu inamlinda rais kuhojiwa na kushitakiwa na chombo chochote kwa kosa lolote atakalolitenda akiwa anatekeleza kazi zake za urais.

Yaani rais Samia anaweza kushitakiwa na mumewe kwa kutofua nguo na kuosha vyombo nyumbani lkn akiharibu kazi ya urais haguswi. Hatari Sana!

Kwa katiba hii atatokea rais chizi awafurushe watu wa kabila fulani waondoke nchi hii. Kama ilivyotokea kwa warohingya kule Myamar.

  Tu
tengeneze katiba nzuri yenye meno inayojilinda yenyewe. Asiwepo mtu wa kucheza na katiba. Iwe inamkata kila anayejaribu kuigusa vibaya.
Pale sio kwa wamasai ni ardhi ya wahadzabe waliohamishiwa wilaya nyingine. Wamasai walihamia pale 1959.

Mnavyowatetea wamasai utadhani ni watu wenye kuheshimu tamaduni za wengine. Ni jamii ya hovyo sana.
 
Hili la katiba imekuwa kama la Urussi na Ukraine, au COVID-19, yanayotupiwa kila lawama hata zisizohusika.

Haya yanayofanywa na watawala hawa wa CCM wala hata halihitaji kuwa na katiba.
Hawa watu wanatumia mwanya wa upole/ ujinga/upumbavu wa waTanzania kufanya lolote wanalotaka kufanya, wakijua hakuna mtu wa kuhoji matendo yao.

Walete wakenya hapa, uone kama hawa wapumbavu wataachwa kufanya upuuzi wanaowafanyia waTanzania, hata bila ya kubadili hiyo katiba.
Umekuja na malalamiko mengi lakini hayana kichwa wala miguu. Serikali imeweka wazi utetezi wa kwanini ni lazima eneo la kilomita 1500 liwe huru. Ni kwa nia ya kutunza uoto wa asili ambao ndio kila kitu katika suala la ekolojia ya maisha ya viumbe hai.

Ni masuala ya kisayansi yenye kuhitaji hoja za kisayansi sio haya malalamiko ya kupunguzia hasira.
 
Hata hii ya sasa ina vikwazo vingi ila inasiginwa tu na ilikanyagwa kanyagwa na mtangulizi wa huyu
Kwani aliyokuwa anayafanya yanaruhusiwa kwenye Katiba yetu? Au kila anaekuja anafanya anavyotaka ?
 
Kama katiba ingelikuwa nzuri. Wa-Loliondo wasingeondoka kwenye ardhi ya mababu zao. Zuio la kimahakama lingewekwa na rais angeburuzwa mahakamani.

Lakn katiba yetu inamlinda rais kuhojiwa na kushitakiwa na chombo chochote kwa kosa lolote atakalolitenda akiwa anatekeleza kazi zake za urais.

Yaani rais Samia anaweza kushitakiwa na mumewe kwa kutofua nguo na kuosha vyombo nyumbani lkn akiharibu kazi ya urais haguswi. Hatari Sana!

Kwa katiba hii atatokea rais chizi awafurushe watu wa kabila fulani waondoke nchi hii. Kama ilivyotokea kwa warohingya kule Myamar.

  Tu
tengeneze katiba nzuri yenye meno inayojilinda yenyewe. Asiwepo mtu wa kucheza na katiba. Iwe inamkata kila anayejaribu kuigusa vibaya.
Wakati Mababu zao wakozaliwa walikuja na Ardhi yao pia? Wana Nchi yao pia?

Safi Sana mh.Rais kamatia hapo hapo.
 
Hivi wajuvi wa sheria si nasikia aridhi yote ya Tanzania ni Mali ya Raisi? Wanadai wananchi wengine ni wapangaji so mwenye aridhi anaweza amua uamishwe kupisha jambo Fulani lenye manufaa kwa Taifa mda wowote na mpangaji hutakuwa na kinga yoyote kuzuia husiame?. Kwahiyo na wamasai kama mwenye aridhi ameamua waame, na akawapatia pa kwenda inabidi waondoke tu ndo katiba na sheria tulio nazo.
 
Umekuja na malalamiko mengi lakini hayana kichwa wala miguu. Serikali imeweka wazi utetezi wa kwanini ni lazima eneo la kilomita 1500 liwe huru. Ni kwa nia ya kutunza uoto wa asili ambao ndio kila kitu katika suala la ekolojia ya maisha ya viumbe hai.

Ni masuala ya kisayansi yenye kuhitaji hoja za kisayansi sio haya malalamiko ya kupunguzia hasira.
Naona unatamka tuu sayansi bila kujua inahusu nini.

Hujui kuwa kuna njia za kisayansi endelevu zinazoweza kutumika hata bila ya kufanya hayo inayotaka kufanya serikali, huku 'ecology' ya eneo hilo ikihifadhiwa?

Kwa misingi hiyo, una maana nchi zisokuwa na sehemu kubwa za watu kuishi, wao waanze kupunguza raia zake ili kulinda 'ecology'?
 
Watu wanahamishwa kila siku kwa maslahi makubwa ya taifa, kwanini imekua shida kwa wamasai kuhama ikiwa kweli wanatishia uhai wa mbuga?
Naomba elevushwa
 
Back
Top Bottom