CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Eeh bana,sema uzuri ile nyumba ilikuwa ya idongo na haikuwa na sakafu ya cement.Mpangaji ndo alikamuliwa nnya?
Nilikuwa kwenye msiba huo ni jirani na mahali ninapoishI,dah nyumba ya mwarusha ilikuwa ni noma