Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

Kuna watu mtakuja kujuta sana Siku ya mwisho..... Kutokumuamini mungu haitoshi unaamua kumtukana kabisa......Ya rabbi tunusuru

View attachment 2217235
Achana na mawazo ya kipumbavu, mungu hayupo na hata kama yupo hana mawazo ya kitaahira kama yaliyoandikwa kwenye vitabu vyenu vya dini. Kwamba mungu yuko very much interested na mavi ya mtu, ana akili kweli?
 
Mtoa mada acha uzwazwa, mtu kuoshwa ni taratibu ya lazima kwa muislam yoyote atayekufa na maiti yake kupatikana. Kuna heshima ya kumtendea marehemu haswa akiwa alikua na nyumba yake mwenyewe ambayo moja wapo ni kuoshewa nyumbani kwake nai inapendeza wakati kumuosha kama ni nyumbani lichimbwe shimo ili maji yatoyotokana na kuosha yaingie na kuyafukia kazi inapomalizika iwapoitashindikana basi unawekwa mchanga mfano wa beseni kuzunguka sehemu anayooshewa kisha wanafukia na kuzoa ule mchanga.

Sasa kama mtu nyumba ni yako kuna ubaya gani mtu ananyumba yake amefia nyumbani watu wakachimba shimo ili kutimiza sharti la marehemu kuoshwa!? Tena wengine huwa wanaandaa kabisa sehemu ambayo itafanyika hiyo shughuri.

Masharti ya uislam kwa mtu mwenye imani ya kiislam akifa ni Kuosha, kuvishwa sanda, kusaliwa na Kuzikwa. Katika kuosha ndio kuna kitendo cha kukafini ili kuondoa uchafu uliopo tumboni na sio lazima uchafu utoke ila kuoshwa ni lazima.

Sio vizuri kupotosha kitu ambacho hauna elimu nacho kama wewe ni mpenda nasaba basi usiwapangie watu namna ya kuagana na wapendwa wao kwa vile wewe unaogopa chumba alichooshewa marehemu.
 
Achana na mawazo ya kipumbavu, mungu hayupo na hata kama yupo hana mawazo ya kitaahira kama yaliyoandikwa kwenye vitabu vyenu vya dini. Kwamba mungu yuko very much interested na mavi ya mtu, ana akili kweli?
Naamini Mungu Hana shida na kinyesi Cha mfu sijui haya mambo walitoa wapi Hawa watu wa dini.

Kwamba Mungu anashida na marehemu kuoshwa au kutooshwa sasa Marehemu akiliwa na Simba au kuzama baharini sijui itakuaje maana yake hafiki Mbinguni.?

Yaani Huwa nasikia hadi watu wanatishiana sijui siku ya kwanza kaburini kuna mateso kana kwamba Kila mtu Huwa anazikwa yaani.
 
Mkuu upumbavu bado ni tatizo kubwa sana nchini.

Kwani mtu akifa na akazikwa akiwa na mavi huko mbinguni huyo mungu hataki mavi ama hakuna vyoo vya kunya huko mbinguni?

Je hayo mavi akifa anaenda nayo ama yanafukiwa tu ardhini? Kwa mfano mtu akimezwa na samaki na mavi yake, mungu anafanyaje ama anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi? Ama akiliwa na mamba na mavi yake, je mungu anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi?

Ama mtu akiungua na moto ama akilipuliwa na bomu akateketea kabisa ama akaenda na maji akafariki na mwili wake usipatikane, je mungu anawafanyaje watu wa hivyo, anawakataa kwamba hawakukamuliwa mavi?

Dini nyingine bwana, halafu unaambiwa hayo maelekezo yamendikwa na mungu ambae inasemekana ana akili na uwezo kuliko binadamu halafu anaandika uharo kama huo.

Dini+mila na desturi za kipumbavu zinaonyesha kabisa huyo mungu nae hana akili kabisa.
Hayo yote ni mafunzo kutoka kwa mjinga mmoja ambaye hakujua kusoma wala kuandika, akapata wafuasi akawahadaa mpaka leo hii bado wameshikilia mafundisho ya mjinga.
 
Mtoa mada acha uzwazwa, mtu kuoshwa ni taratibu ya lazima kwa muislam yoyote atayekufa na maiti yake kupatikana. Kuna heshima ya kumtendea marehemu haswa akiwa alikua na nyumba yake mwenyewe ambayo moja wapo ni kuoshewa nyumbani kwake nai inapendeza wakati kumuosha kama ni nyumbani lichimbwe shimo ili maji yatoyotokana na kuosha yaingie na kuyafukia kazi inapomalizika iwapoitashindikana basi unawekwa mchanga mfano wa beseni kuzunguka sehemu anayooshewa kisha wanafukia na kuzoa ule mchanga.

Sasa kama mtu nyumba ni yako kuna ubaya gani mtu ananyumba yake amefia nyumbani watu wakachimba shimo ili kutimiza sharti la marehemu kuoshwa!? Tena wengine huwa wanaandaa kabisa sehemu ambayo itafanyika hiyo shughuri.

Masharti ya uislam kwa mtu mwenye imani ya kiislam akifa ni Kuosha, kuvishwa sanda, kusaliwa na Kuzikwa. Katika kuosha ndio kuna kitendo cha kukafini ili kuondoa uchafu uliopo tumboni na sio lazima uchafu utoke ila kuoshwa ni lazima.

Sio vizuri kupotosha kitu ambacho hauna elimu nacho kama wewe ni mpenda nasaba basi usiwapangie watu namna ya kuagana na wapendwa wao kwa vile wewe unaogopa chumba alichooshewa marehemu.
Duh... kumbe Mleta hoja kasema ukweli. Mi nilidhani anatania..

Kwahiyo hayo mavi wanayatoaje?
 
Back
Top Bottom