ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Inakuwaje kama marehemu hana mavi siku hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kupotosha watu wewe,labda kama hujasoma dini yako mwenyewe,ukihitaji ushahidi wa vitabu soma mkusanyo wa hadithi za mtume.Huu Uzi umejaa upotoshaji. Kwanza Kukafini ni kumvisha Sanda maiti. Lakin pia kwenye uislam hakuna hiyo mnaita kumkamua maiti mavi
Daah!!Kwenye kuyala au na kuyachakata?
Unadhani utani yanakamua haya majamaa,mwaka jana tu yametoka kumkamua mzee wangu,dini nyingine bhana.Duh... kumbe Mleta hoja kasema ukweli. Mi nilidhani anatania..
Kwahiyo hayo mavi wanayatoaje?
Ni balaa!
Wanasema nikujenga ushirika wa kudumu na mpendwa wao. Mimi sioni tatio, shida ni kwamba kwanini wawalishe wahudhuriaji wote?! Walipaswa kula peke yao kama ndugu wa marehemu
Najaribu kuwaza hilo zoezi la ukamuaji linafanyikaje. Maana mtu akidedi anakuwa kakakamaa...Mkuu niamini mimi waisalamu wanakamua uchafu maiti wala hili halihitaji mjadala na hata ukitaka vitabu vyao vya dini vimeruhusu jambo hili kimojawapo kinaitwa MKWELI MWAMINIFU - JUZUU YA PILI.
Kinasema " anayemuosha maiti sharti amkamue hadi utoke uchafu wote tumboni mwake"
Huyo anayebisha aje hapa akanushe,ni hadithi sahihi za mtume.
Afu mrembo unafanya nini huku kwenye thread za maiti?Babu wewe kinga ya mwili kupitia .... ya mtu kweli, acha tu nisiwe na kinga 😒
Mkuu wanatumia maji ya moto kiasi(vuguvugu).Wanakuwa na mafuta ya taa ili kukata harufu,maji ya moto yanasaidia kuuweka mwili katika hali ya kutokakamaa,sio utani,kama wanabisha waje hapa wakanushe.Najaribu kuwaza hilo zoezi la ukamuaji linafanyikaje. Maana mtu akidedi anakuwa kakakamaa...
Mungu apitishe mbali yasinikute mambo haya
Nimeshtushwa na hayo maelezo ya wadau ikabidi nikae nisikilize vizuriAfu mrembo unafanya nini huku kwenye thread za maiti?
Hebu rudi kule MMU haraka sana
Unataka useme ukifa bila kukamuliwa Mungu (wako) hapokei roho yako?Siku hizi mpo hai mnaishi na mavi yenu vyumbani, tena wazi, kwenye ma self-contain. Si heri hayo ya kukafiniwa yanafukiwa panasakafiwa hakuna kinachobaki.
ha hahahahahaHapo ndipo utakapojua nguvu ya mavi
atabinywa mpaka ajue hajuiInakuwaje kama marehemu hana mavi siku hiyo?
Waruuuuu........!Wana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti
Inasikitisha sanaMkuu wanatumia maji ya moto kiasi(vuguvugu).Wanakuwa na mafuta ya taa ili kukata harufu,maji ya moto yanasaidia kuuweka mwili katika hali ya kutokakamaa,sio utani,kama wanabisha waje hapa wakanushe.
Dhumuni ya yenyewe kubaki ni nini mkuu?Ushaambiwa mavi lazima yabaki. Usichoelewa nn? Kama huelew kausha mbona mnakula Nguruwe watu wamekausha tu
Waluguru noma!Mtu amefia nyumbani kwake tena chumbani kwake anapolala na mke wake.
Sasa kwakuwa marehemu ni muislam wameamua kupitia mila ya waluguru kumuosha mwili wake mulemule chumbani.
Na wewe ipo siku watakukamua 🤣🤣🤣Unadhani utani yanakamua haya majamaa,mwaka jana tu yametoka kumkamua mzee wangu,dini nyingine bhana.
Inaelekea huko Ahera hakuna vyooUnataka useme ukifa bila kukamuliwa Mungu (wako) hapokei roho yako?
Na kama anapokea, ulazima wa kukamua mtu ni upi kama mtu anafukiwa ?
tuelimishe tafadhali....
Me siamini katika maujinga hayo mkuu,wakisogeza ujinga wao siku nimekufa nitanyanyuka niwazabe vibaoNa wewe ipo siku watakukamua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]