Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
WanamkafiniDuh... kumbe Mleta hoja kasema ukweli. Mi nilidhani anatania..
Kwahiyo hayo mavi wanayatoaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WanamkafiniDuh... kumbe Mleta hoja kasema ukweli. Mi nilidhani anatania..
Kwahiyo hayo mavi wanayatoaje?
Sijakuelewa swali lako maana naona umeshatowa majibu yako kwa ujuavyo wewe. Unataka kuelewa au kubishana?Unataka useme ukifa bila kukamuliwa Mungu (wako) hapokei roho yako?
Na kama anapokea, ulazima wa kukamua mtu ni upi kama mtu anafukiwa ?
tuelimishe tafadhali....
Punguza jazba mkuu[emoji28]Mkuu upumbavu bado ni tatizo kubwa sana nchini.
Kwani mtu akifa na akazikwa akiwa na mavi huko mbinguni huyo mungu hataki mavi ama hakuna vyoo vya kunya huko mbinguni?
Je hayo mavi akifa anaenda nayo ama yanafukiwa tu ardhini? Kwa mfano mtu akimezwa na samaki na mavi yake, mungu anafanyaje ama anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi? Ama akiliwa na mamba na mavi yake, je mungu anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi?
Ama mtu akiungua na moto ama akilipuliwa na bomu akateketea kabisa ama akaenda na maji akafariki na mwili wake usipatikane, je mungu anawafanyaje watu wa hivyo, anawakataa kwamba hawakukamuliwa mavi?
Dini nyingine bwana, halafu unaambiwa hayo maelekezo yamendikwa na mungu ambae inasemekana ana akili na uwezo kuliko binadamu halafu anaandika uharo kama huo.
Dini+mila na desturi za kipumbavu zinaonyesha kabisa huyo mungu nae hana akili kabisa.
Mazafaka[emoji51]Wana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti
Mmh aiseee....... kumbe hili jambo nikweli? Niliwahi kusikia ila nikapuuza nikadhani ni story za vijiwe vya Kahawa tuWana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti
Hapa umejidanganya wewe na kuwadanganya watu, kukafini siyo kumkamua maiti mavi, hili kwanza halipo katika uislamu, kukafini ni kumpamba maiti yaani kumvika Sanda.(wasiojua maana ya kukafini ni kumtoa mavi marehemu kabla ya kumzika)
[emoji28]kausha mwanaHayo yote ni mafunzo kutoka kwa mjinga mmoja ambaye hakujua kusoma wala kuandika, akapata wafuasi akawahadaa mpaka leo hii bado wameshikilia mafundisho ya mjinga.
[emoji28][emoji28][emoji28]Unadhani utani yanakamua haya majamaa,mwaka jana tu yametoka kumkamua mzee wangu,dini nyingine bhana.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787]atabinywa mpaka ajue hajui
Kuna watu mtakuja kujuta sana Siku ya mwisho..... Kutokumuamini mungu haitoshi unaamua kumtukana kabisa......Ya rabbi tunusuru
View attachment 2217235
LoohKilichotokea wamechimba shimo mule chumbani kwake na ni nyumba ya smenti wametindua smenti mpaka kukawa na shimo halafu marehemu wakamkafini hapohapo kwenye shimo chumbani.(wasiojua maana ya kukafini ni kumtoa mavi marehemu kabla ya kumzika) walipomaliza kumkafini yale maji yakaachwa mulemule chumbani alipofia marehemu.
Nikauliza sasa hayo maji inakuwaje wakasema hiyo ni mila ya waluguru yani mtu anaacha wosia kabisa kwamba nikifa ufuo wangu uachwe humuhumu chumbani. (Ufuo ni mavi ya marehemu)
MmmmhSasa kitakachofanywa baadae eti pale patasakafiwa hivyohivyo na maji ya marehemu pamoja na kinyesi kilichotoka baada ya kukafiniwa.
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana wengine hawalagi chakula cha msibani.Wana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti
HUOGOPI KUANDIKA DHIHAKA JUU YA MUNGU WETU MZEE????[emoji848][emoji848][emoji848]Mkuu upumbavu bado ni tatizo kubwa sana nchini.
Kwani mtu akifa na akazikwa akiwa na mavi huko mbinguni huyo mungu hataki mavi ama hakuna vyoo vya kunya huko mbinguni?
Je hayo mavi akifa anaenda nayo ama yanafukiwa tu ardhini? Kwa mfano mtu akimezwa na samaki na mavi yake, mungu anafanyaje ama anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi? Ama akiliwa na mamba na mavi yake, je mungu anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi?
Ama mtu akiungua na moto ama akilipuliwa na bomu akateketea kabisa ama akaenda na maji akafariki na mwili wake usipatikane, je mungu anawafanyaje watu wa hivyo, anawakataa kwamba hawakukamuliwa mavi?
Dini nyingine bwana, halafu unaambiwa hayo maelekezo yamendikwa na mungu ambae inasemekana ana akili na uwezo kuliko binadamu halafu anaandika uharo kama huo.
Dini+mila na desturi za kipumbavu zinaonyesha kabisa huyo mungu nae hana akili kabisa.
Too primitive. Mpaka leo unapinga uwepo wa MUNGU.Achana na mawazo ya kipumbavu, mungu hayupo na hata kama yupo hana mawazo ya kitaahira kama yaliyoandikwa kwenye vitabu vyenu vya dini. Kwamba mungu yuko very much interested na mavi ya mtu, ana akili kweli?
Basi lala kitoto cha babu. Usiku nitakubembekezaAhahahahaaa malabuku zako babu, na hapa utahusika kunibembeleza hadi nilale.
Haya ni mamila ambayo yanakuwa motivated na ibada za kichawi za kimizimu......nashangaa kuna dini zinafanya mambo kama hayo, unamwosha na kumkamua mavi mtu aliyekufa ili iweje?
Hio avatar yako [emoji23][emoji23]Mkuu upumbavu bado ni tatizo kubwa sana nchini.
Kwani mtu akifa na akazikwa akiwa na mavi huko mbinguni huyo mungu hataki mavi ama hakuna vyoo vya kunya huko mbinguni?
Je hayo mavi akifa anaenda nayo ama yanafukiwa tu ardhini? Kwa mfano mtu akimezwa na samaki na mavi yake, mungu anafanyaje ama anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi? Ama akiliwa na mamba na mavi yake, je mungu anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi?
Ama mtu akiungua na moto ama akilipuliwa na bomu akateketea kabisa ama akaenda na maji akafariki na mwili wake usipatikane, je mungu anawafanyaje watu wa hivyo, anawakataa kwamba hawakukamuliwa mavi?
Dini nyingine bwana, halafu unaambiwa hayo maelekezo yamendikwa na mungu ambae inasemekana ana akili na uwezo kuliko binadamu halafu anaandika uharo kama huo.
Dini+mila na desturi za kipumbavu zinaonyesha kabisa huyo mungu nae hana akili kabisa.