Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

Aaaah, sili tena chakula msibani. Kumbeee!!!!😠😠😠
... sio misiba yote lakini! Pale unapoona roho yako inakataa, una haki ya kukataa kula.
 
Kwahiyo hamtolewi mavi mkidedi?
 
Achana na mawazo ya kipumbavu, mungu hayupo na hata kama yupo hana mawazo ya kitaahira kama yaliyoandikwa kwenye vitabu vyenu vya dini. Kwamba mungu yuko very much interested na mavi ya mtu, ana akili kweli?
Dini Nizawatu Wenye Akili Kuja Kuwaibia Wapumbavu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Acha kudanganywa,hakuna kitu kama hicho,mbona wakristo mko wepesi kudanganywa mkadanganyika.Ndio maana,mkaamini mkombozi wentu,alipigwa na kusulubiwa,vipi ashindwe kujikomboa mwenyewe kwenye kipigo na kusulubiwa,aje akukombowe wewe.
Akili yako ni sawa na ya mungu wako.

Wewe mtu yoyote anaeponda dini yenu na mungu wenu wa qiquma lazima awe mkiristo?

Huwezi kua na akili timamu ukawa mfuasi wa huyo mungu.
 
Sijui maana ya reply yako. Labda ueleze unataka kumaanisha nini
 
Siyo hilo kabila tu, sema wote wanafanya hivyo ila mambo hayo wakati mwingine yanakuwa kimya kimya tu.

Kibaya zaidi ni matumizi ya hayo maji na waste products zake.
 
Vipi kuhusu matumizi ya hayo maji?
 
Tumia akili,acha kudanganywa,ukadanganyika.Kama kinyesi kinachanganywa,kwenye chakula,hayo maradhi ya mlipuko,yangekuwa hayachezi mbali,sehemu hizo.
Na hao mabibi afya na mabwana afya,Waone hivyo,wakae kimya,bila kuwafungulia mashtaka wahusika.
Kweli siwezi kuamini,haiwezekani eti kinyesi kuchanganywa kwwnye chakula,

Coz mwenyewe napenda sana kupika msibani,sijawahi kuona hivyo,

Maneno ya watu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo hamtolewi mavi mkidedi?
Hata wewe ukifa unaweza kutolewa mavi,inategemea umekufa vipi.Kuna wanaokufa wakitoka mavi,mkojo,damu,usaha na kuharisha,udenda.Vifo vipo vya aina nyingi,kuna ajali,kuna kufa kwa kipindupindu,kuharisha,kufa kwa ghafla.Nk.
 
Mie naona labda ni mila

Hapa jirani,baba mwenye nyumba alivyofariki walimuoshea ndani,tena hicho chomba walkitindua kabisa,,na yale maji walinawishwa usoni wafiwa wote.na kabla ya gari iliyobeba jeneza kuondoka yale maji yanamwagwa barabarani. ,,niliuliza kwanini mnatumia hayo maji kunawishwa usoni??.......wakaseme eti wakinawishwa yale maji wanakuwa hawaogopi.

Huu ulikuwa msiba wa KIKRISTO.

Nyie endeleeni kukariri,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee upuuzi mkubwa sana huu tena uchafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…