Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

Hayo yote ni mafunzo kutoka kwa mjinga mmoja ambaye hakujua kusoma wala kuandika, akapata wafuasi akawahadaa mpaka leo hii bado wameshikilia mafundisho ya mjinga.
Wakristo,mbona mko wepesi wa kudanganywa,mkadanganyika.Tumieni akili,kama chakula kinachanganywa na kinyesi,unafikiri,hao wanaokuka chakula hicho,isingekuwa maradhi ya mlipuko,hayaishi maeneo husika.
Ndio maana,mnadanganywa mengi,na mnaamini,ndio wakazuka,wanaowakanyaga watu makanisani,wanaowalisha majani makanisani,wanaojifunga kamba mabegani,wakajifanya wanapaa,wanaojifanya ni Mungu,waabudiwe,kuna wanaojifanya wanawafutia dhambi nk.
Kama kuoshwa,hata wakristo wanaoshwa,kwa hiyo hayo maji,unaoshea maiti,mnachanganya na chakula.
 
HUOGOPI KUANDIKA DHIHAKA JUU YA MUNGU WETU MZEE????[emoji848][emoji848][emoji848]

NI YEYE ALIKUUMBA NA KUKUPA AKILI ZA KUJA KUMDHIHAKI NA KUMTUSI.

KUWA MAKINI NA KAULI ZAKO, HAKUNA ALIYEWAHI KUMDHIHAKI NA AKAPATA MATOKEO CHANYA. JITAHIDI UBONGO WAKO UUNGANIKANE NA ULIMI WAKO USIONGEE BILA KICHWA. ITAKUGHARIMU.
Tumia akili na wewe
 
Duh... kumbe Mleta hoja kasema ukweli. Mi nilidhani anatania..

Kwahiyo hayo mavi wanayatoaje?
Acha kudanganywa,ukadanganyika,hata wakristo wanaoshwa na kusafishwa,unafikiri wakristo hawaoshwi.Sasa wanapooshwa hayo maji,pia wanachanfanya kwenye chakula cha msiba.Tumieni akili wakristo,sio kila mnalodanganywa mnadanganyika,ndio mkaamini kuwa Yesu,alipigwa na kusulibiwa,bila hatakujiuliza,alipigwaje na kusulibiwa ,wakati yeye ndio mkombozi,mkombozi anashindwa kujikomboa.
 
Mkuu huwezi kua na akili timamu ukawa mfuasi wa huyo jamaa. Ukisoma alichokiandika halafu ukaambiwa eti alishushiwa kutoka kwa mungu unaweza kulia.
Acha kudanganywa,hakuna kitu kama hicho,mbona wakristo mko wepesi kudanganywa mkadanganyika.Ndio maana,mkaamini mkombozi wentu,alipigwa na kusulubiwa,vipi ashindwe kujikomboa mwenyewe kwenye kipigo na kusulubiwa,aje akukombowe wewe.
 
Sio kweli kukafiniwa ni kutolewa mavi, bali ni kuoshwa
 
Huu Uzi umejaa upotoshaji. Kwanza Kukafini ni kumvisha Sanda maiti. Lakin pia kwenye uislam hakuna hiyo mnaita kumkamua maiti mavi
Binadamu ni wa ajabu sana.
Mtu anakomaa kabisa eti kukafini maana yake ni kumkamua maiti mavi!.
Ni vyema kitu usichokijua ukauliza au ukajifunza ili uelimike na sio kupotosha.
 
Hapa umejidanganya wewe na kuwadanganya watu, kukafini siyo kumkamua maiti mavi, hili kwanza halipo katika uislamu, kukafini ni kumpamba maiti yaani kumvika Sanda.

Soma hadithi hizi zifuatazo :

Aaishah (Radhwiya Allaahu ‘anhaa) “Alikafiniwa Nabiy (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) katika nguo tatu nyeupe, hakuna kanzu wala kilemba katika sanda hizo.” [Imaam Ahmad na Abu Daawuud].

Nyingine ni :

Amesema Mtume wa Allah, amani ya Allah iwe juu yake wakati alipofariki mtu akiwa katika hali ya kuhirimia, “Mkafinini kwa nguo yake” [Al-Bukhaariy na Muslim]

Tunaona kukafini ni kumpamba maiti kwa vazi maalumu nalo ni sanda, yaani kumvika sanda maiti.

Shukrani.
Wakristo wameshazoea kudanganywa.Wakipata mtu akiwadanganya wanadanganyika kiurahisi sana.Wangetumia akili tu,vipi kinyesi kichanganywe na chakula,si ingekuwa maradhi ya mlipuko,maeneo hayo,hayachezi mbali.
Na wangetumia akili tu,kuwa kila kata kuna bibi na bwana afya,wafikiri wangekubali iwe hivyo,bila kuwafungulia mashtaka wahusika wa kuchanganya kinyesi na chakula.
 
Wana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti

Wanasema ni kujenga ushirika wa kudumu na mpendwa wao. Mimi sioni tatio. shida ni kwamba, kwanini wawalishe wahudhuriaji wote?! Walipaswa kula peke yao kama ndugu wa marehemu.
Qumemerke zao [emoji31][emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961]
 
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana wengine hawalagi chakula cha msibani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia akili,acha kudanganywa,ukadanganyika.Kama kinyesi kinachanganywa,kwenye chakula,hayo maradhi ya mlipuko,yangekuwa hayachezi mbali,sehemu hizo.
Na hao mabibi afya na mabwana afya,Waone hivyo,wakae kimya,bila kuwafungulia mashtaka wahusika.
 
Leo ndo nimeelewa kwanini wanashauri watu au watoto wasome elimu ya dunia na akhera ili mtu atapofiwa na mzazi au ndugu amsafishe na amfichie aibu ndugu yake mleta mada ungekuwa unaundugu wa karibu sana na marehemu usingekuja kuanika yalotendeka msibani.
Na washuhudiaji wengi wanakuwepo pale binti akioshwa bora ungesema hata ni vijana kwa sababu nchi hii ina vijana wa hovyo ni wababa na familia zao wengine wanadindisha wakitoka hapo wanaadithiana

Na huu ni ukweli sisingizii mtu
 
Too primitive. Mpaka leo unapinga uwepo wa MUNGU.



MUNGU TUSAMEHE SANA, SISI NI WENYE MADHAIFU MENGI, HUKUTUUMBA KUWA WAKAMILIFU. HATUJUI TULITENDALO.
Wameshazoea kudanganywa,wakadanganyika,mtu na akili yake,hawezi kukubali,kudanganywa chakula kuchanganywa na kinyesi,hayo magonjwa ya mlipuko,yasingecheza mbali,ingekuwa kipindupindu,kuharisha na mwagonjwa mengi tu.
Na hata mabibi Afya na mabwana Afya,wasingeruhusu,hayo yafanyike,ingekuwa kuna kesi nyingi mahakamani za waliochanganya chakula na kinyesi,msibani.Na hatujawahi kusikia kesi kama hizo,toka dunia ianze kuwepo.
 
Mimi pia nashangaa, point ya kumkamua mavi ni nini, akizikwa na hayo mavi kuna madhara gani! Naona ni upumbavu tu.
Maiti hakamuliwi mavi,unapofariki,misuli yote ya mwili inalegea,uwe wa dini yoyote.Hata wakristo hii kitu inakuwepo,uchafu unatoka wenyewe,ili usiendelee kutoka mbele za watu.Waoshaji wa maiti(maiti hata asiye na dini,anaoshwa),huwa anasafishwa sehemu zote zenye uchafu,kama damul,usaha,nk.
 
Mluguru hana tamaduni ya kukamua mavi kwa asili, hii imekuja baada ya kuiteract na waislamu ambao tamaduni zao ziko visible kwa kiasi kikubwa uluguruni
Mtu yoyote anapofariki,misuli ya mwili wake,haifanyikazi tena.Kila kuliko na tundu,kama kuna uchafu,kinyesi,damu,usaha,hutoka.Wapo wengi wanaofariki na haja kubwa inawatoka,haja ndogo pia huwatoka,inategemea na maiti amefariki vipi,wapo wanaofariki kwa ajali,wanaofariki hawakuumwa,au wameumwa mda mfupi,na wana nguvu,kwa hiyo ndani ya miilli yao kuna mabaki ya chakula(kinyesi),au mkojo au damu ya ajal,wengine wameumia kwa ndani,damu zinavuja mdomoni,puani,kwenye njia za haja kubwa na ndogo,unafikiri bila kusafishwa na kutolewa hivuyo vinavyotoka,hata kwa mkristo,utaweza kuuaga mwili,hiyo harufu ya vinyesi,damu,usaha,mikojo,si itakuwa mnabana pua.Hata maiti za kikristo,husafishwa,ila kwa vile hamsomi dini zenu,huwa hamjui.Na kwa vile kazi hiyo hufanywa na watu malukmu,wanaoliopwa,hamjui hayo.
 
Hebu jibu hoja yake....

""hata kama yupo hana mawazo ya kitaahira kama yaliyoandikwa kwenye vitabu vyenu vya dini. Kwamba mungu yuko very much interested na mavi ya mtu, ana akili kweli?""

Ametoa chance ya kuamini kwamba Mungu yupo.

Haya Mungu anakuaje na concern na kinyesi chako?

#YNWA
Kuwa na akili,Maiti husafishwa,ni heshima kwa maiti.Wapo wanaofariki hutoka vinyesi,hutoka damu hutoka usaha.Inategemea na maiti amefariki vipi.
Pale unapokwenda kuaga maiti,unapomuona yupo msafi,fahamu kuwa alisafishwa,ndio ukaweza wewe kwenda kumuaga,angeachwa kama alivyofariki,usingeweza kukaa maeneo hayo.Wapo wanaofariki,wametoka vinyesi,damu,usaha,mikojo,kutoka roho sio mchezo.Kuna maiti za ajali,huwa mpaka mnazika,zinavuja damu,sehrmu mbali mbali na damu ya binadamu,ikioza ina harufu kali na mbaya.Inabidi kutumike utaalamu,wa kuosha na kuyandoa yote.
 
Misiba ya Hizi jamii zenye tamaduni za kiarabu ndiyo ya kukwepa. Kwanza Unachinjaje maiti kwa hoja ya kumsafisha?!
Hakuna maiti isiooshwa.Watu wanafariki wengine,wametoka kinyesi mkojo,damu,usaha.Kutoka roho sio mchezo.Wengine wanakufa kwenye ajali,ndio ukaona wakati unaaga maiti za kikristo,kuna pamba mpaka puani,ujuwe hapo alisafishwa,pamba haipo hapo puani tu,ni kila tundu,zimewekwa pamba.Na kwa dini na wasio na dini,ni hivyo hivyo.
 
Achana na mawazo ya kipumbavu. Mungu hayupo.

Na hata kama angekuwepo basi lakini ametoa maagizo ama maelekezo ya kise.ngerema kama hayo siwezi kua mfuasi wake.

Wewe aliekwambia mungu ameniumba ni nani? Alikuja mkaongea nae akakwambia kwamba ndie alieniumba?

Hivyo vitisho mnapeana nyie mataahira na wafuasi wake mnaoogopa kitu kisichokuwepo.
Hakuna maiti isioshwa,awe na dini,asiwe na dini.Watu wanafariki wametoka vinyesi,mikojo,usaha,damu,wengine wamelufa kwenye ajali.Wafikiri wakati wa kuaga maiti,aachwe na kinyesi,mikojo,usaha na damu,msibani kutakalika,au wakati wa kuaga maiti,kutakalika kwa harufu.Maiti mpaka anaagwa,ujuwe kasafishwa na kuandaliwa na kutiea harufu za kunukia.
 
Back
Top Bottom