Wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania

Wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Kubali au ukatae wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania,kabila tajiri,kabila la watu wakarimu na kabila la watu wanaojielewa sana na pia kabila ambalo halina ubinafsi kama makabila mengine.

Yaani kuna mikoa mingine ukienda kutafuta pesa au maisha wenyeji hawakuruhusu kumiliki ardhi wala nyumba ila nenda umakondeni Lindi na mtwara mgeni anaweza kumiliki ardhi kwa ma ardhi bila wenyeji kukusumbua wala kukuonea wivu ila kwa wenzetu ni hatari kabisa aisee.

Viva wamakonde, viva Mtwara the land of hope and cashew 🥜.
 
Kabila la hovyo kuliko lote ni la wasukuma hasa Wanyantuzu..

Wezi, wachafu, roho mbaya, wabinafsi, uchawi ndio usiseme anaweza akuroge ili tu ukose choo...
Hili kabila tulidanganywa sana.

Potelea kote, Lawama hapewi mbuzi nirogeni na humu.
Nimeoa mnyantuzu ila ninayoyapitia aisee,hawa watu ni wanafiki sijawahi kuwaona anakuigizia kwenye uchumba ila muoe ndiyo utajua aisee wapo kimaslahi tu baada ya kumuoa ananiuliza napokea shilingi ngapi weeee
 
Kabila la hovyo kuliko lote ni la wasukuma hasa Wanyantuzu..

Wezi, wachafu, roho mbaya, wabinafsi, uchawi ndio usiseme anaweza akuroge ili tu ukose choo...
Hili kabila tulidanganywa sana.

Potelea kote, Lawama hapewi mbuzi nirogeni na humu.
Hahahahah we jamaa unachuki binafsi mbona ni watu peace sana
 
Kubali au ukatae wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania,kabila tajiri,kabila la watu wakarimu na kabila la watu wanaojielewa sana na pia kabila ambalo halina ubinafsi kama makabila mengine.

Yaani kuna mikoa mingine ukienda kutafuta pesa au maisha wenyeji hawakuruhusu kumiliki ardhi wala nyumba ila nenda umakondeni Lindi na mtwara mgeni anaweza kumiliki ardhi kwa ma ardhi bila wenyeji kukusumbua wala kukuonea wivu ila kwa wenzetu ni hatari kabisa aisee.

Viva wamakonde, viva Mtwara the land of hope and cashew 🥜.
Hawajielewi
 
Back
Top Bottom