Wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania

Wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania

Kubali au ukatae wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania,kabila tajiri,kabila la watu wakarimu na kabila la watu wanaojielewa sana na pia kabila ambalo halina ubinafsi kama makabila mengine.

Yaani kuna mikoa mingine ukienda kutafuta pesa au maisha wenyeji hawakuruhusu kumiliki ardhi wala nyumba ila nenda umakondeni Lindi na mtwara mgeni anaweza kumiliki ardhi kwa ma ardhi bila wenyeji kukusumbua wala kukuonea wivu ila kwa wenzetu ni hatari kabisa aisee.

Viva wamakonde, viva Mtwara the land of hope and cashew 🥜.
Ila KUTITA PORINI WANAONGOZAA!!!😂😂😂
 
Sijawahi ishi na wamakonde ila Kuna jamaa mmoja nilikaa nae pori alikuwa anatega wanyama sana. Mcheshi sana ila kwenye nyama anaweza kukuta panga asee .


Hao jamaa wanakula vitu vya ajabu sana jamii ya vitoweo hadi vile ambavyo haviliwagi.
Panya, fuko, na wengine nimewasahau majina jamaa wanakula bila hiyana.
Vibudu ndio usiseme!
 
𝑲𝒂𝒃𝒊𝒍𝒂 𝒍𝒊𝒏𝒂 𝒎𝒂𝒎𝒃𝒐 𝒚𝒂 𝒉𝒐𝒗𝒚𝒐 𝒉𝒊𝒍𝒊 𝒉𝒂𝒔𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒘𝒂𝒌𝒆 𝒉𝒂𝒘𝒂𝒇𝒂𝒊

Kabisa !
Vya wote.
Kwa uchawi sasa na ushirikina ni balaa.
 
Wewe ndio umesema ukweli halisi, wamakua wenyewe wanawakimbia wamakonde. Umesahau uchoyo wa chakula hadi kwa familia zao.
Yeah nilikuwa miakaa flani huko, nikawa na rafiki yangu yeye akitoka na hindi la kuchomwa kwao alikuwa anapukuchua anaweka mfukoni hindi
Lote guz analitupa ndio anakuja kijiweni bhasi akawa anakula moja moja kuogopa kuombwa
 
Matokeo ya form four kila yakitoka kusini wanashika mkia kwenye the worse performance 10 .
Eti PM akaingilia kati kuzuia hiyo fedheha .
Sasa najiuliza hapo ametibu tatizo au ndio amelipaka mafuta kwa mgongo wa chupa ???
 
Wamakonde ni wavivu sana, Mkoa wa Lindi na Mtwara una ardhi nzuri sana ila ndio wanaishikilia mikia kwenye uchumi...

Hawa wanachojua ni kufanya mapenzi tu, kuoa mapema ni ujanja sana kwao, kua na wanawake wawili au zaidi ndiyo sifa kwa wanaume wakimakonde...

Kama unataka mke wa kukulelea watoto hapo umechemka, kwanza hawajui kufanya kazi ila Kama unataka vibuno hapo ndo maala pake ...
Orodha ya top ten mikoa maskini mtwara haipo au unajisemea tu bila fact? Umefika simiyu,shinyanga,Tabora n.k? Au upo form six unasubiri pepa la necta?
 
Hi
Matokeo ya form four kila yakitoka kusini wanashika mkia kwenye the worse performance 10 .
Eti PM akaingilia kati kuzuia hiyo fedheha .
Sasa najiuliza hapo ametibu tatizo au ndio amelipaka mafuta kwa mgongo wa chupa ???
yo mikoa top 10 inayofanya vizuri kitaifa ina nini cha ziada zaidi ya kuwa vibaraka vya CCM?
 
Mwambao wa Pwani ya bahari ya Hindi wako hivyo.
Hawataki kufanya kazi wala kusoma kupata elimu.
Kazi kuendeleza uchi, uchawi na ushirikina.
Hao watu wenye elimu wamesaidia nini kuipeleka nchi kimaendeleo? Zaidi ya CCM kuwaburuza tu
 
Back
Top Bottom