Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
- Thread starter
- #81
Wewe unawajua wasukuma?Kabisa !
Vya wote.
Kwa uchawi sasa na ushirikina ni balaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unawajua wasukuma?Kabisa !
Vya wote.
Kwa uchawi sasa na ushirikina ni balaa.
ianza lini?Mmeacha kula Panya?
ewe kwenu ni wapi? Nilichambue kabila lakoSio kwa ubaya
Swala la ukarimu hiyo sifa ya Tanzania nzima, sasa hivi niko Mtwara, nina kama miezi mi5. Nilichojifunza
-Wamakonde hawajui kujielezea sijui wanaogopa nini nimetumia kama miezi kadhaa kujua kwamba ukimuuliza kitu usitarajie kupata jibu la moja kwa moja aidha akudanganye au asijieleze vizuri
-Wamakonde hawajui kupika. Mimi ni bachelor nimepita migahawa kibao sijafanikiwa kupata mgahawa wamaopika chakula cha radha na bei zao ghali, wamekariri kutumia nazi lakini hawajui kuleta radha ya chakula
-Wamakonde hawapendi kusoma. Nimeshuhudia idadi kubwa ya watoto hawana hamasa ya kusoma na wazazi hawana hamasa pia
-Vijana wana makundi sana hasa ya kuvutishana bangi lkn heshima iko
NILICHOPENDA
-Watoto wana heshima
-Kuna dini hasa waislamu na wanaheshimu sana mida ya swala
Wewe kabila gani?Wana Kila tabia mbaya unayoifahamu,wachawi wachafu ,wezi,umalaya ,ulawiti,Tena kwenye umri mdogo,ngono kama ibada.watu wengi wa mbagala ni wamakonde
We jamaa muongo sana ahahah.Umeme up
Wala panya nawapendea kitu kimoja ni wachangamfu huwezi jisikia mpweke basi siku moja nimeenda chitoholi oya 🤣mwana nikamkuta anakula yupo serias bas s nikapiga kipande cha Nyama baadae akaniambia mkuu Ile ni nyama ya mouse🤣🥶
Atakua Mtaka huyo, Labda biashara ya Kijungu jiko a.k.a kuganga njaa,Duuh...mbona mkuu mmoja wa mkoa anasema ni wafanyabiashara hodari sana?
"Form vi nasubiria pepa la NECTA" - unanikumbusha mbali mno 2012 hiyoOrodha ya top ten mikoa maskini mtwara haipo au unajisemea tu bila fact? Umefika simiyu,shinyanga,Tabora n.k? Au upo form six unasubiri pepa la necta?
Sahihi yule jamaa kil Mnyama amewahi kula hata nyani. Ila huku alikuwa anajikausha anasema hawezi kula Kwa SasaHao jamaa wanakula vitu vya ajabu sana jamii ya vitoweo hadi vile ambavyo haviliwagi.
Panya, fuko, na wengine nimewasahau majina jamaa wanakula bila hiyana.
Vibudu ndio usiseme!
Kwenye nini?Sidhani kama wanawazidi Wapare