Wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania

Wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania

Sio kwa ubaya
Swala la ukarimu hiyo sifa ya Tanzania nzima, sasa hivi niko Mtwara, nina kama miezi mi5. Nilichojifunza

-Wamakonde hawajui kujielezea sijui wanaogopa nini nimetumia kama miezi kadhaa kujua kwamba ukimuuliza kitu usitarajie kupata jibu la moja kwa moja aidha akudanganye au asijieleze vizuri

-Wamakonde hawajui kupika. Mimi ni bachelor nimepita migahawa kibao sijafanikiwa kupata mgahawa wamaopika chakula cha radha na bei zao ghali, wamekariri kutumia nazi lakini hawajui kuleta radha ya chakula

-Wamakonde hawapendi kusoma. Nimeshuhudia idadi kubwa ya watoto hawana hamasa ya kusoma na wazazi hawana hamasa pia

-Vijana wana makundi sana hasa ya kuvutishana bangi lkn heshima iko

NILICHOPENDA
-Watoto wana heshima
-Kuna dini hasa waislamu na wanaheshimu sana mida ya swala
 
W
Sio kwa ubaya
Swala la ukarimu hiyo sifa ya Tanzania nzima, sasa hivi niko Mtwara, nina kama miezi mi5. Nilichojifunza

-Wamakonde hawajui kujielezea sijui wanaogopa nini nimetumia kama miezi kadhaa kujua kwamba ukimuuliza kitu usitarajie kupata jibu la moja kwa moja aidha akudanganye au asijieleze vizuri

-Wamakonde hawajui kupika. Mimi ni bachelor nimepita migahawa kibao sijafanikiwa kupata mgahawa wamaopika chakula cha radha na bei zao ghali, wamekariri kutumia nazi lakini hawajui kuleta radha ya chakula

-Wamakonde hawapendi kusoma. Nimeshuhudia idadi kubwa ya watoto hawana hamasa ya kusoma na wazazi hawana hamasa pia

-Vijana wana makundi sana hasa ya kuvutishana bangi lkn heshima iko

NILICHOPENDA
-Watoto wana heshima
-Kuna dini hasa waislamu na wanaheshimu sana mida ya swala
ewe kwenu ni wapi? Nilichambue kabila lako
 
Wana Kila tabia mbaya unayoifahamu,wachawi wachafu ,wezi,umalaya ,ulawiti,Tena kwenye umri mdogo,ngono kama ibada.watu wengi wa mbagala ni wamakonde
 
Umeme up

Wala panya nawapendea kitu kimoja ni wachangamfu huwezi jisikia mpweke basi siku moja nimeenda chitoholi oya 🤣mwana nikamkuta anakula yupo serias bas s nikapiga kipande cha Nyama baadae akaniambia mkuu Ile ni nyama ya mouse🤣🥶
We jamaa muongo sana ahahah.

Sasa panya ana nyama Gani hadi useme nikapiga kipande cha nyama.
 
Duuh...mbona mkuu mmoja wa mkoa anasema ni wafanyabiashara hodari sana?
Atakua Mtaka huyo, Labda biashara ya Kijungu jiko a.k.a kuganga njaa,
Yaani atazubaa weee, akiona njaa inaelekea kumpiga anatafuta cha kuuza, Ni mfugo anauza, Sufuria anapeleka kwa chuma chakavu, Kuku hata ana vifaranga anabebwa.
Halafu anataka ununue kwa bei yake, ukikaza anakubali, ila huko mbeleni akifika anakuroga.
 
Orodha ya top ten mikoa maskini mtwara haipo au unajisemea tu bila fact? Umefika simiyu,shinyanga,Tabora n.k? Au upo form six unasubiri pepa la necta?
"Form vi nasubiria pepa la NECTA" - unanikumbusha mbali mno 2012 hiyo

😆😆😆

Hata Tanzania iko kwenye uchumi wa kati ila wananchi wake hali si hali, usiangalie data Angalia maisha ya mtu mmoja mmoja hapo lindi ..
 
Hao jamaa wanakula vitu vya ajabu sana jamii ya vitoweo hadi vile ambavyo haviliwagi.
Panya, fuko, na wengine nimewasahau majina jamaa wanakula bila hiyana.
Vibudu ndio usiseme!
Sahihi yule jamaa kil Mnyama amewahi kula hata nyani. Ila huku alikuwa anajikausha anasema hawezi kula Kwa Sasa
 
Wamakonde hawa Wazee wa Chale ukisimama nchale ukikaa nchale...nadhani Wasukuma ndio wapo poa sana na pia wana maadili ya kiafrika na uaminifu wanao pia kwa mambo mengi..
 
Uzi mwingine wa kikabila. Upumbafu. Tafuta hela makabila ya nini unataka kutambika?
 
Back
Top Bottom