Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ukarimu,heshima, hekima, haki na kujaliSijui umemanisha nini kuhusu wapare
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukarimu,heshima, hekima, haki na kujaliSijui umemanisha nini kuhusu wapare
Hii mada labda ni ya nchi jirani na siyo TanzaniaKubali au ukatae wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania,kabila tajiri,kabila la watu wakarimu na kabila la watu wanaojielewa sana na pia kabila ambalo halina ubinafsi kama makabila mengine.
Yaani kuna mikoa mingine ukienda kutafuta pesa au maisha wenyeji hawakuruhusu kumiliki ardhi wala nyumba ila nenda umakondeni Lindi na mtwara mgeni anaweza kumiliki ardhi kwa ma ardhi bila wenyeji kukusumbua wala kukuonea wivu ila kwa wenzetu ni hatari kabisa aisee.
Viva wamakonde, viva Mtwara the land of hope and cashew 🥜.
Kukuuliza unapokea shilingi ngapi hilo swali wanaulizaga wanawake wote na siyo swali la kabila fulani.Nimeoa mnyantuzu ila ninayoyapitia aisee,hawa watu ni wanafiki sijawahi kuwaona anakuigizia kwenye uchumba ila muoe ndiyo utajua aisee wapo kimaslahi tu baada ya kumuoa ananiuliza napokea shilingi ngapi weeee
Kumekucha ngoja niikuitie ntuzu og@kirangaKabila la hovyo kuliko lote ni la wasukuma hasa Wanyantuzu..
Wezi, wachafu, roho mbaya, wabinafsi, uchawi ndio usiseme anaweza akuroge ili tu ukose choo...
Hili kabila tulidanganywa sana.
Potelea kote, Lawama hapewi mbuzi nirogeni na humu.
Mkuu wapare hawa hawa ,watani zetu ? Au kuna kontena jipya la wapare kutoka China lipo bandari 🤔🤔🤔🤔Sidhani kama wanawazidi Wapare
Kukatika?Ukarimu,heshima, hekima, haki na kujali
Wala panya nawapendea kitu kimoja ni wachangamfu huwezi jisikia mpweke basi siku moja nimeenda chitoholi oya 🤣mwana nikamkuta anakula yupo serias bas s nikapiga kipande cha Nyama baadae akaniambia mkuu Ile ni nyama ya mouse🤣🥶Kubali au ukatae wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania,kabila tajiri,kabila la watu wakarimu na kabila la watu wanaojielewa sana na pia kabila ambalo halina ubinafsi kama makabila mengine.
Yaani kuna mikoa mingine ukienda kutafuta pesa au maisha wenyeji hawakuruhusu kumiliki ardhi wala nyumba ila nenda umakondeni Lindi na mtwara mgeni anaweza kumiliki ardhi kwa ma ardhi bila wenyeji kukusumbua wala kukuonea wivu ila kwa wenzetu ni hatari kabisa aisee.
Viva wamakonde, viva Mtwara the land of hope and cashew 🥜.
Hahaaa waparee kazi kweli kujaliUkarimu,heshima, hekima, haki na kujali
𝑲𝒂𝒃𝒊𝒍𝒂 𝒍𝒊𝒏𝒂 𝒎𝒂𝒎𝒃𝒐 𝒚𝒂 𝒉𝒐𝒗𝒚𝒐 𝒉𝒊𝒍𝒊 𝒉𝒂𝒔𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒘𝒂𝒌𝒆 𝒉𝒂𝒘𝒂𝒇𝒂𝒊Sidhani kama wanawazidi wadigo!
Ni kweli kabisa, mmakonde hawezi kumzidi mpare kwa ubahili.Sidhani kama wanawazidi Wapare
𝑯𝒂𝒐 𝒉𝒂𝒐 𝒘𝒆𝒘𝒆 𝒖𝒍𝒊𝒑𝒂𝒕𝒂 𝒇𝒆𝒌𝒊 𝒎𝒂𝒂𝒏𝒂 𝒔𝒂𝒔𝒂 𝒉𝒊𝒗𝒊 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒇𝒊𝒌𝒊 𝒘𝒂𝒎𝒆𝒋𝒂𝒛𝒂𝒏𝒂Wasukuma hawa hawa ninaowajua Mimi? Kwa taarifa yako wasukuma nawajua nje ndani aisee
Mmh na uchoyo wao....Sidhani kama wanawazidi Wapare
HahahaaaKabila la hovyo kuliko lote ni la wasukuma hasa Wanyantuzu..
Wezi, wachafu, roho mbaya, wabinafsi, uchawi ndio usiseme anaweza akuroge ili tu ukose choo...
Hili kabila tulidanganywa sana.
Potelea kote, Lawama hapewi mbuzi nirogeni na humu.
Sasa mkuu mke wako kukuuliza kipato chako ana kosa gani?Nimeoa mnyantuzu ila ninayoyapitia aisee,hawa watu ni wanafiki sijawahi kuwaona anakuigizia kwenye uchumba ila muoe ndiyo utajua aisee wapo kimaslahi tu baada ya kumuoa ananiuliza napokea shilingi ngapi weeee
Mkuu nipe location nimeingia Juzi Ruangwa hapaNaishi lindi huku n peace sana sijawahi kuona watu wakigombana..nataka niwe na getto mtwara,masasi..na dar na singida ndo mikoa yangu pendwa ...sana
Tuko pamoja harmonizeeeeeeee
Kwani ni ndugu yako huyo,si unafukuza unavuta chombo kingine.Nimeoa mnyantuzu ila ninayoyapitia aisee,hawa watu ni wanafiki sijawahi kuwaona anakuigizia kwenye uchumba ila muoe ndiyo utajua aisee wapo kimaslahi tu baada ya kumuoa ananiuliza napokea shilingi ngapi weeee
Wanapenda uchi kuliko kazi𝑲𝒂𝒃𝒊𝒍𝒂 𝒍𝒊𝒏𝒂 𝒎𝒂𝒎𝒃𝒐 𝒚𝒂 𝒉𝒐𝒗𝒚𝒐 𝒉𝒊𝒍𝒊 𝒉𝒂𝒔𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒘𝒂𝒌𝒆 𝒉𝒂𝒘𝒂𝒇𝒂𝒊