Wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania

Wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania

Kubali au ukatae wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania,kabila tajiri,kabila la watu wakarimu na kabila la watu wanaojielewa sana na pia kabila ambalo halina ubinafsi kama makabila mengine.

Yaani kuna mikoa mingine ukienda kutafuta pesa au maisha wenyeji hawakuruhusu kumiliki ardhi wala nyumba ila nenda umakondeni Lindi na mtwara mgeni anaweza kumiliki ardhi kwa ma ardhi bila wenyeji kukusumbua wala kukuonea wivu ila kwa wenzetu ni hatari kabisa aisee.

Viva wamakonde, viva Mtwara the land of hope and cashew 🥜.
Hii mada labda ni ya nchi jirani na siyo Tanzania
 
Nimeoa mnyantuzu ila ninayoyapitia aisee,hawa watu ni wanafiki sijawahi kuwaona anakuigizia kwenye uchumba ila muoe ndiyo utajua aisee wapo kimaslahi tu baada ya kumuoa ananiuliza napokea shilingi ngapi weeee
Kukuuliza unapokea shilingi ngapi hilo swali wanaulizaga wanawake wote na siyo swali la kabila fulani.
 
Kabila la hovyo kuliko lote ni la wasukuma hasa Wanyantuzu..

Wezi, wachafu, roho mbaya, wabinafsi, uchawi ndio usiseme anaweza akuroge ili tu ukose choo...
Hili kabila tulidanganywa sana.

Potelea kote, Lawama hapewi mbuzi nirogeni na humu.
Kumekucha ngoja niikuitie ntuzu og@kiranga
 
Umeme up
Kubali au ukatae wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania,kabila tajiri,kabila la watu wakarimu na kabila la watu wanaojielewa sana na pia kabila ambalo halina ubinafsi kama makabila mengine.

Yaani kuna mikoa mingine ukienda kutafuta pesa au maisha wenyeji hawakuruhusu kumiliki ardhi wala nyumba ila nenda umakondeni Lindi na mtwara mgeni anaweza kumiliki ardhi kwa ma ardhi bila wenyeji kukusumbua wala kukuonea wivu ila kwa wenzetu ni hatari kabisa aisee.

Viva wamakonde, viva Mtwara the land of hope and cashew 🥜.
Wala panya nawapendea kitu kimoja ni wachangamfu huwezi jisikia mpweke basi siku moja nimeenda chitoholi oya 🤣mwana nikamkuta anakula yupo serias bas s nikapiga kipande cha Nyama baadae akaniambia mkuu Ile ni nyama ya mouse🤣🥶
 
Wasukuma hawa hawa ninaowajua Mimi? Kwa taarifa yako wasukuma nawajua nje ndani aisee
𝑯𝒂𝒐 𝒉𝒂𝒐 𝒘𝒆𝒘𝒆 𝒖𝒍𝒊𝒑𝒂𝒕𝒂 𝒇𝒆𝒌𝒊 𝒎𝒂𝒂𝒏𝒂 𝒔𝒂𝒔𝒂 𝒉𝒊𝒗𝒊 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒇𝒊𝒌𝒊 𝒘𝒂𝒎𝒆𝒋𝒂𝒛𝒂𝒏𝒂
 
Kabila la hovyo kuliko lote ni la wasukuma hasa Wanyantuzu..

Wezi, wachafu, roho mbaya, wabinafsi, uchawi ndio usiseme anaweza akuroge ili tu ukose choo...
Hili kabila tulidanganywa sana.

Potelea kote, Lawama hapewi mbuzi nirogeni na humu.
Hahahaaa
 
Nimeoa mnyantuzu ila ninayoyapitia aisee,hawa watu ni wanafiki sijawahi kuwaona anakuigizia kwenye uchumba ila muoe ndiyo utajua aisee wapo kimaslahi tu baada ya kumuoa ananiuliza napokea shilingi ngapi weeee
Sasa mkuu mke wako kukuuliza kipato chako ana kosa gani?
 
Nimeoa mnyantuzu ila ninayoyapitia aisee,hawa watu ni wanafiki sijawahi kuwaona anakuigizia kwenye uchumba ila muoe ndiyo utajua aisee wapo kimaslahi tu baada ya kumuoa ananiuliza napokea shilingi ngapi weeee
Kwani ni ndugu yako huyo,si unafukuza unavuta chombo kingine.
Waafrika mnapenda kugandana kama kupe.
 
Back
Top Bottom