Wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania

Wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania

Kubali au ukatae wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania,kabila tajiri,kabila la watu wakarimu na kabila la watu wanaojielewa sana na pia kabila ambalo halina ubinafsi kama makabila mengine.

Yaani kuna mikoa mingine ukienda kutafuta pesa au maisha wenyeji hawakuruhusu kumiliki ardhi wala nyumba ila nenda umakondeni Lindi na mtwara mgeni anaweza kumiliki ardhi kwa ma ardhi bila wenyeji kukusumbua wala kukuonea wivu ila kwa wenzetu ni hatari kabisa aisee.

Viva wamakonde, viva Mtwara the land of hope and cashew 🥜.
Kisa wamekuuzia viplot vya laki tatu hujakuwa ww
 
Kubali au ukatae wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania,kabila tajiri,kabila la watu wakarimu na kabila la watu wanaojielewa sana na pia kabila ambalo halina ubinafsi kama makabila mengine.

Yaani kuna mikoa mingine ukienda kutafuta pesa au maisha wenyeji hawakuruhusu kumiliki ardhi wala nyumba ila nenda umakondeni Lindi na mtwara mgeni anaweza kumiliki ardhi kwa ma ardhi bila wenyeji kukusumbua wala kukuonea wivu ila kwa wenzetu ni hatari kabisa aisee.

Viva wamakonde, viva Mtwara the land of hope and cashew 🥜.
Umeongea vizuri mno sema ndio karibu mtwara.
 
Mtoa mada ngoja nikuambie makabila poa kusini ambao hawana roho ya korosho ni Wakakua kabila la Mkapa, wamwera Kwa Pm majaliwa, na wayao

Wamakonde wapo wa pwani wanajiita Wamaraba hao Kila kitu wanajua, wambwenyenye na wavivu na wa bara hao ni wapambanaji na wabahili wapare wakasome na roho ya kwa nini, ukitaka uamini nenda kafanye bizness Newala, Tandahimba, Kitangali kama ujuhi kimamonde wateja hawafiki

Wageni wanaenda kuwekeza Ruangwa, Masasi, Nanyumbu maana hamna kujuana hizo sehemu

Wako uchidachi? wako kunengela chani, Chinduli kimeiva (hahah sijuhi kama nimepatia kidogo)
 
Kubali au ukatae wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania,kabila tajiri,kabila la watu wakarimu na kabila la watu wanaojielewa sana na pia kabila ambalo halina ubinafsi kama makabila mengine.

Yaani kuna mikoa mingine ukienda kutafuta pesa au maisha wenyeji hawakuruhusu kumiliki ardhi wala nyumba ila nenda umakondeni Lindi na mtwara mgeni anaweza kumiliki ardhi kwa ma ardhi bila wenyeji kukusumbua wala kukuonea wivu ila kwa wenzetu ni hatari kabisa aisee.

Viva wamakonde, viva Mtwara the land of hope and cashew 🥜.


View: https://www.youtube.com/watch?v=aEyt8_Nigu8&list=PLcd22M-Hp6gTKHMiiARc5HSI5sffdfTBp&index=4

Zamani zetu wamakonde walikuwa wengi Dar wanalinda karibu kila sehemu. Mzee mmoja alikuwa akilewa anaimba huu wimbo. Tiende pamozi. Inaelekea alikuwa ni mtu wa Nsumbiji
 
Labda kwa mademu wao, maana wanapokea moto balaa...

View: https://youtube.com/shorts/r7Ev6u7yti8?si=-_tKakYXQdXNinq8

Wamakonde ni wavivu sana, Mkoa wa Lindi na Mtwara una ardhi nzuri sana ila ndio wanaishikilia mikia kwenye uchumi...

Hawa wanachojua ni kufanya mapenzi tu, kuoa mapema ni ujanja sana kwao, kua na wanawake wawili au zaidi ndiyo sifa kwa wanaume wakimakonde...

Kama unataka mke wa kukulelea watoto hapo umechemka, kwanza hawajui kufanya kazi ila Kama unataka vibuno hapo ndo maala pake ...
 
Kabila la hovyo kuliko yote ni la wasukuma hasa Wanyantuzu wa simiyu

Wezi(Wanadai kitu cha kuiba ni pesa tuu, vingine wanachukua),
wachafu(juzi tuu nimeona mkuu wa mkoa wa Simiyu akiwambia wanakijiji huko itilima, kua mkoa wao na wilaya vinaongoza kwa kipindupindu kwa miaka yote, kupuu nje kwao sio shida kabisa, wanasema eti mila zao haziruhusu ku puu na mkwe wako choo kimoja, hivyo ni mwendo wa pori),
Roho mbaya(anaweza akuroge ili tuu ukose choo),
wabinafsi(mgeni usijichanganye ufanye maendeleo),
uchawi ndio usiseme, inakadiriwa simiyu kuna wachawi wengi zaidi ya watu wanoishi,
Mazoea ya ajabu, ukiwakaribisha kwako wanakuja ukoo mzima wakae mpaka darini.
Hili kabila tulidanganywa sana.

Potelea kote, Lawama hapewi mbuzi nirogeni na humu,
Mhiii ndo maana nyerere aliona mbali katupilia ukabila ..kama.comments ndo hizi
 
Wamakonde ni wavivu sana, Mkoa wa Lindi na Mtwara una ardhi nzuri sana ila ndio wanaishikilia mikia kwenye uchumi...

Hawa wanachojua ni kufanya mapenzi tu, kuoa mapema ni ujanja sana kwao, kua na wanawake wawili au zaidi ndiyo sifa kwa wanaume wakimakonde...

Kama unataka mke wa kukulelea watoto hapo umechemka, kwanza hawajui kufanya kazi ila Kama unataka vibuno hapo ndo maala pake ...
Wataalamu wa kukata viuno. Wachaga wakienda kule huwa hawarudi tena Moshi
 
Kabila la hovyo kuliko yote ni la wasukuma hasa Wanyantuzu wa simiyu

Wezi(Wanadai kitu cha kuiba ni pesa tuu, vingine wanachukua),
wachafu(juzi tuu nimeona mkuu wa mkoa wa Simiyu akiwambia wanakijiji huko itilima, kua mkoa wao na wilaya vinaongoza kwa kipindupindu kwa miaka yote, kupuu nje kwao sio shida kabisa, wanasema eti mila zao haziruhusu ku puu na mkwe wako choo kimoja, hivyo ni mwendo wa pori),
Roho mbaya(anaweza akuroge ili tuu ukose choo),
wabinafsi(mgeni usijichanganye ufanye maendeleo),
uchawi ndio usiseme, inakadiriwa simiyu kuna wachawi wengi zaidi ya watu wanoishi,
Mazoea ya ajabu, ukiwakaribisha kwako wanakuja ukoo mzima wakae mpaka darini.
Hili kabila tulidanganywa sana.

Potelea kote, Lawama hapewi mbuzi nirogeni na humu,
Boss umesema wanaroga had ku~nya?
 
Kabila la hovyo kuliko yote ni la wasukuma hasa Wanyantuzu wa simiyu

Wezi(Wanadai kitu cha kuiba ni pesa tuu, vingine wanachukua),
wachafu(juzi tuu nimeona mkuu wa mkoa wa Simiyu akiwambia wanakijiji huko itilima, kua mkoa wao na wilaya vinaongoza kwa kipindupindu kwa miaka yote, kupuu nje kwao sio shida kabisa, wanasema eti mila zao haziruhusu ku puu na mkwe wako choo kimoja, hivyo ni mwendo wa pori),
Roho mbaya(anaweza akuroge ili tuu ukose choo),
wabinafsi(mgeni usijichanganye ufanye maendeleo),
uchawi ndio usiseme, inakadiriwa simiyu kuna wachawi wengi zaidi ya watu wanoishi,
Mazoea ya ajabu, ukiwakaribisha kwako wanakuja ukoo mzima wakae mpaka darini.
Hili kabila tulidanganywa sana.

Potelea kote, Lawama hapewi mbuzi nirogeni na humu,
Boss umesema wanaroga had ku~nya?
 
Mtoa mada ngoja nikuambie makabila poa kusini ambao hawana roho ya korosho ni Wakakua kabila la Mkapa, wamwera Kwa Pm majaliwa, na wayao

Wamakonde wapo wa pwani wanajiita Wamaraba hao Kila kitu wanajua, wambwenyenye na wavivu na wa bara hao ni wapambanaji na wabahili wapare wakasome na roho ya kwa nini, ukitaka uamini nenda kafanye bizness Newala, Tandahimba, Kitangali kama ujuhi kimamonde wateja hawafiki

Wageni wanaenda kuwekeza Ruangwa, Masasi, Nanyumbu maana hamna kujuana hizo sehemu

Wako uchidachi? wako kunengela chani, Chinduli kimeiva (hahah sijuhi kama nimepatia kidogo)

Kuwekeza kule ni sehemu sahihi kama utakuwa na usalama. wao wana mambo ya ajabu ajabu sana. Lakini kwa kiasi kikubwa hawana shida na wageni
 
Kabila la hovyo kuliko yote ni la wasukuma hasa Wanyantuzu wa simiyu

Wezi(Wanadai kitu cha kuiba ni pesa tuu, vingine wanachukua),
wachafu(juzi tuu nimeona mkuu wa mkoa wa Simiyu akiwambia wanakijiji huko itilima, kua mkoa wao na wilaya vinaongoza kwa kipindupindu kwa miaka yote, kupuu nje kwao sio shida kabisa, wanasema eti mila zao haziruhusu ku puu na mkwe wako choo kimoja, hivyo ni mwendo wa pori),
Roho mbaya(anaweza akuroge ili tuu ukose choo),
wabinafsi(mgeni usijichanganye ufanye maendeleo),
uchawi ndio usiseme, inakadiriwa simiyu kuna wachawi wengi zaidi ya watu wanoishi,
Mazoea ya ajabu, ukiwakaribisha kwako wanakuja ukoo mzima wakae mpaka darini.
Hili kabila tulidanganywa sana.

Potelea kote, Lawama hapewi mbuzi nirogeni na humu,

Duuh...mbona mkuu mmoja wa mkoa anasema ni wafanyabiashara hodari sana?
 
Mtoa mada ngoja nikuambie makabila poa kusini ambao hawana roho ya korosho ni Wakakua kabila la Mkapa, wamwera Kwa Pm majaliwa, na wayao

Wamakonde wapo wa pwani wanajiita Wamaraba hao Kila kitu wanajua, wambwenyenye na wavivu na wa bara hao ni wapambanaji na wabahili wapare wakasome na roho ya kwa nini, ukitaka uamini nenda kafanye bizness Newala, Tandahimba, Kitangali kama ujuhi kimamonde wateja hawafiki

Wageni wanaenda kuwekeza Ruangwa, Masasi, Nanyumbu maana hamna kujuana hizo sehemu

Wako uchidachi? wako kunengela chani, Chinduli kimeiva (hahah sijuhi kama nimepatia kidogo)
Wewe ndio umesema ukweli halisi, wamakua wenyewe wanawakimbia wamakonde. Umesahau uchoyo wa chakula hadi kwa familia zao.
 
Back
Top Bottom