Ukarimu,heshima, hekima, haki na kujaliSijui umemanisha nini kuhusu wapare
Hii mada labda ni ya nchi jirani na siyo TanzaniaKubali au ukatae wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania,kabila tajiri,kabila la watu wakarimu na kabila la watu wanaojielewa sana na pia kabila ambalo halina ubinafsi kama makabila mengine.
Yaani kuna mikoa mingine ukienda kutafuta pesa au maisha wenyeji hawakuruhusu kumiliki ardhi wala nyumba ila nenda umakondeni Lindi na mtwara mgeni anaweza kumiliki ardhi kwa ma ardhi bila wenyeji kukusumbua wala kukuonea wivu ila kwa wenzetu ni hatari kabisa aisee.
Viva wamakonde, viva Mtwara the land of hope and cashew π₯.
Kukuuliza unapokea shilingi ngapi hilo swali wanaulizaga wanawake wote na siyo swali la kabila fulani.Nimeoa mnyantuzu ila ninayoyapitia aisee,hawa watu ni wanafiki sijawahi kuwaona anakuigizia kwenye uchumba ila muoe ndiyo utajua aisee wapo kimaslahi tu baada ya kumuoa ananiuliza napokea shilingi ngapi weeee
Kumekucha ngoja niikuitie ntuzu og@kirangaKabila la hovyo kuliko lote ni la wasukuma hasa Wanyantuzu..
Wezi, wachafu, roho mbaya, wabinafsi, uchawi ndio usiseme anaweza akuroge ili tu ukose choo...
Hili kabila tulidanganywa sana.
Potelea kote, Lawama hapewi mbuzi nirogeni na humu.
Mkuu wapare hawa hawa ,watani zetu ? Au kuna kontena jipya la wapare kutoka China lipo bandari π€π€π€π€Sidhani kama wanawazidi Wapare
Kukatika?Ukarimu,heshima, hekima, haki na kujali
Wala panya nawapendea kitu kimoja ni wachangamfu huwezi jisikia mpweke basi siku moja nimeenda chitoholi oya π€£mwana nikamkuta anakula yupo serias bas s nikapiga kipande cha Nyama baadae akaniambia mkuu Ile ni nyama ya mouseπ€£π₯ΆKubali au ukatae wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania,kabila tajiri,kabila la watu wakarimu na kabila la watu wanaojielewa sana na pia kabila ambalo halina ubinafsi kama makabila mengine.
Yaani kuna mikoa mingine ukienda kutafuta pesa au maisha wenyeji hawakuruhusu kumiliki ardhi wala nyumba ila nenda umakondeni Lindi na mtwara mgeni anaweza kumiliki ardhi kwa ma ardhi bila wenyeji kukusumbua wala kukuonea wivu ila kwa wenzetu ni hatari kabisa aisee.
Viva wamakonde, viva Mtwara the land of hope and cashew π₯.
Hahaaa waparee kazi kweli kujaliUkarimu,heshima, hekima, haki na kujali
π²πππππ ππππ πππππ ππ πππππ ππππ ππππ ππππππππ πππππππSidhani kama wanawazidi wadigo!
Ni kweli kabisa, mmakonde hawezi kumzidi mpare kwa ubahili.Sidhani kama wanawazidi Wapare
π―ππ πππ ππππ πππππππ ππππ πππππ ππππ ππππ ππππππππ ππππππππππWasukuma hawa hawa ninaowajua Mimi? Kwa taarifa yako wasukuma nawajua nje ndani aisee
Mmh na uchoyo wao....Sidhani kama wanawazidi Wapare
HahahaaaKabila la hovyo kuliko lote ni la wasukuma hasa Wanyantuzu..
Wezi, wachafu, roho mbaya, wabinafsi, uchawi ndio usiseme anaweza akuroge ili tu ukose choo...
Hili kabila tulidanganywa sana.
Potelea kote, Lawama hapewi mbuzi nirogeni na humu.
Sasa mkuu mke wako kukuuliza kipato chako ana kosa gani?Nimeoa mnyantuzu ila ninayoyapitia aisee,hawa watu ni wanafiki sijawahi kuwaona anakuigizia kwenye uchumba ila muoe ndiyo utajua aisee wapo kimaslahi tu baada ya kumuoa ananiuliza napokea shilingi ngapi weeee
Mkuu nipe location nimeingia Juzi Ruangwa hapaNaishi lindi huku n peace sana sijawahi kuona watu wakigombana..nataka niwe na getto mtwara,masasi..na dar na singida ndo mikoa yangu pendwa ...sana
Tuko pamoja harmonizeeeeeeee
Kwani ni ndugu yako huyo,si unafukuza unavuta chombo kingine.Nimeoa mnyantuzu ila ninayoyapitia aisee,hawa watu ni wanafiki sijawahi kuwaona anakuigizia kwenye uchumba ila muoe ndiyo utajua aisee wapo kimaslahi tu baada ya kumuoa ananiuliza napokea shilingi ngapi weeee
Wanapenda uchi kuliko kaziπ²πππππ ππππ πππππ ππ πππππ ππππ ππππ ππππππππ πππππππ