Upo sahih.wangemuachia wote, watoto wawili ndio wamshinde? wangesupport tu akiwa anaishi na watoto wake, hakuna mwanamke watoto wake wataelelewa na mwingine abaki na aman na raha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahih.wangemuachia wote, watoto wawili ndio wamshinde? wangesupport tu akiwa anaishi na watoto wake, hakuna mwanamke watoto wake wataelelewa na mwingine abaki na aman na raha
Mama jinga pumbavu kabisa kuna dogo lipo hapa lilienda kukaa na Mama yake darasa la sita hajui hata A mpaka Z yaan ni madudu mfululizo ku;mamake nikasema huyu mama yake angekua karibu ningemuwesha makofi kazi kula hela za matunzo tu na kutombwa tombwa huko huku toto limekua zeroIli waendelee kuwa wajinga jinga kama mama yao?
Maana huyo mama anawaambukiza ujinga watoto wake.
Umeongea ukweli kabisa. Labda huyo mwanamke ukute ana mambo mengi ya dunia aone watoto wanampotezea muda ila kama hana mambo mengi hakuna mwanamke anayeweza kukaa mbali na wanawe na awe na amani.wangemuachia wote, watoto wawili ndio wamshinde? wangesupport tu akiwa anaishi na watoto wake, hakuna mwanamke watoto wake wataelelewa na mwingine wabaki na aman na raha
Ili aongeze idadi ya masifuriUmeongea ukweli kabisa. Labda huyo mwanamke ukute ana mambo mengi ya dunia aone watoto wanampotezea muda ila kama hana mambo mengi hakuna mwanamke anayeweza kukaa mbali na wanawe na awe na amani.
Wapo watu wengi wamelelewa na mama zao tu lakini walikuwa vizuri sana darasani. Na wanafanya vizuri sana kwenye maisha. Hata humu jf wapo.Ili aongeze idadi ya masifuri
kaka yake amesema dada yake alianza kubadilisha wanaume maana yake hakutulia, alishukuru mumewe kufa pengineUmeongea ukweli kabisa. Labda huyo mwanamke ukute ana mambo mengi ya dunia aone watoto wanampotezea muda ila kama hana mambo mengi hakuna mwanamke anayeweza kukaa mbali na wanawe na awe na amani.
Hapana tafuta hakuna mtoto wa Baba alie na akili za kizombi, mitoto yenye akili za kizombi mingi imelelewa na mama au bibi upande wa mamaWapo watu wengi wamelelewa na mama zao tu lakini walikuwa vizuri sana darasani. Na wanafanya vizuri sana kwenye maisha. Hata humu jf wapo.
Mtoto kama hana akili ni hana akili hata alelewe na baba yake.
Labda kama yupo hivo.kaka yake amesema dada yake alianza kubadilisha wanaume maana yake hakutulia, alishukuru mumewe kufa pengine
Mimi ni mwalimu. Watoto wengi ambao hawafanyi vizuri darasani wana wazazi wote na wengi wametoka maisha mazuri kwahiyo usikariri.Hapana tafuta hakuna mtoto wa Baba alie na akili za kizombi, mitoto yenye akili za kizombi mingi imelelewa na mama au bibi upande wa mama
Mimi pia ni mwalimu wa kujitegemea nina dada zangu walioolewa nimezungukwa na jamii ya namna hio toto linaishi na mama tu kichwani zero labda aishi na Babu au mjomba mtoto anakua kipanga ninakwambia kitu ninachokijuaMimi ni mwalimu. Watoto wengi ambao hawafanyi vizuri darasani wana wazazi wote na wengi wametoka maisha mazuri kwahiyo usikariri.
Kumbe ulikua haujui picha lilivyo hayo matoto yote yanaenda kuharibikia kwa mama yao peleka kwa wajomba zake au babu yake km yupo kamkabidhi mtoto atakua kwa utii na nidhamuLabda kama yupo hivo.
Tabu ya mashemeji hao,ni kuhisi hela yao itamegwa kwa kuliwa na huyo mjane, ni hisia mbaya sana,wangekuwa wanaweka tu ada kwenye accounti za shule husika,na za matumizi ya ndani ziwe na utaratibu maalumu,au wamfungulie biashara.wangemuachia wote, watoto wawili ndio wamshinde? wangesupport tu akiwa anaishi na watoto wake, hakuna mwanamke watoto wake wataelelewa na mwingine wabaki na aman na raha
Walio elewa wameelewaUnaandiika hovyo Yani hata hueleweki mama yake kaka mama baba mkubwa Yani unachanganya sana
Ushaambiwa huyo mwanamke ni Kitombise yaan anagawa maku kila area sasa unafikiri watoto watajifunza nini kwa mama yao Umalaya?Tabu ya mashemeji hao,ni kuhisi hela yao itamegwa kwa kuliwa na huyo mjane, ni hisia mbaya sana,wangekuwa wanaweka tu ada kwenye accounti za shule husika,na za matumizi ya ndani ziwe na utaratibu maalumu,au wamfungulie biashara.
Walio elewa wameeUnaandiika hovyo Yani hata hueleweki mama yake kaka mama baba mkubwa Yani unachanganya sana
Palipo fikia atajua yeyeHilo toto likienda kukaa kwa mama yake tu kwisha habari ku;mamake mama yake
Mwambie dada yako apunguze kutombwa sana watoto atawaharibuWalio elewa wameelewa
Ilo ni ukweliMama jinga pumbavu kabisa kuna dogo lipo hapa lilienda kukaa na Mama yake darasa la sita hajui hata A mpaka Z yaan ni madudu mfululizo ku;mamake nikasema huyu mama yake angekua karibu ningemuwesha makofi kazi kula hela za matunzo tu na kutombwa tombwa huko huku toto limekua zero
Wanataka kukaa na watoto kimkakati kuna Pesa wanaitafuta inapitia kwa watoto hapo ndio wanaponea sasa mtoto akiwa mbali ndio hawataki wanakosa hela